KERO Waganga wa Kienyeji Simiyu tumechoka na michango ya Mwenge

KERO Waganga wa Kienyeji Simiyu tumechoka na michango ya Mwenge

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua

KwetuKwanza

Senior Member
Joined
Mar 13, 2023
Posts
124
Reaction score
238
Ndugu wana jukwaa, leo naomba nilete hii hoja kwenu.

Sisi Waganga wa Tiba Asili au Waganga wa Kienyeji Mkoa wa Simiyu, tumechoka na michango ya lazima kwa ajili ya Mwenge.

Kila Mwaka tumekuwa tunachangishwa tena kwa lazima, usipochanga unawekewa vikwazo na vitisho kibao.

Kila Mwaka tunachangishwa, kwanini Serikali isiwekee bajeti Mwenge, Kwanini watu tuchangishwe? Tena kwa lazima?

Tumechoka kuchangishwa hela za Mwenge kila mwaka. Lakini Ma-Sheikh na Wachungaji wao wanaachwa wakati wote tunatoa huduma sawa kwenye jamii.

Serikali iwe inautengea mwenge bajeti yake.
 
Wanalazimisha hao anakuja mtendaji ofisini kwako kukudai Mpaka utalipa tu!
Me ni mfanyabiasha nalipa Kodi TRA.
Sina pesa ya kulipwa zaidi ya kodi ya serikali.
Wakijaga Huwa nawambia wazi siyo nishalipa Kodi TRA.
Yaani nichangie pesa watu wakacheze mziki na kulombana Kwa kondom za bure
 
Me ni mfanyabiasha nalipa Kodi TRA.
Sina pesa ya kulipwa zaidi ya kodi ya serikali.
Wakijaga Huwa nawambia wazi siyo nishalipa Kodi TRA.
Yaani nichangie pesa watu wakacheze mziki na kulombana Kwa kondom za bure
Na wanauzungusha ukimwi nchi nzima hao mbwa! Sema nini ushanipa mbinu aisee, next time hata waje na polisi siwapi makota oya!
 
Lipen hela nyie mbona huwa mnatulazmisha tuwaletee kuku na hatulalamiki
 
Na wanauzungusha ukimwi nchi nzima hao mbwa! Sema nini ushanipa mbinu aisee, next time hata waje na polisi siwapi makota oya!
Usitoe pesa Bora nipe Mimi nikutie mimba ulee mtoto mwenyewe
 
Ki asili hasa mwenge umetokana na ushauri wenu (waganga) ulioambatana na mazindiko yaliyofanyika kwenye mapango ya Bagamoyo.
Kuwepo kwake kunaheshimisha ushauri wenu wa kuleta heshima na matumaini kwa taifa.

Hivyo changieni Mwenge ili utimize malengo yake.
 
Back
Top Bottom