Mwanza ndio Jiji la pili Kwa ukubwa Tanzania lakini miundombinu yake ni AIBU. Hasa nyamagana na Mbunge ni yule yule miaka na miaka.
Mwanza, Haina taa za Barabarani. Ukitoka mjini, taa utakuja kuziona Tena Shinyanga mjini Tena.
Mwanza taa za Barabarani hamna na ni aibu. Miundombinu ya taa za...