mwanamke

  1. C

    JamiiForums Tanzania Natafuta Mwanamke wa kuoa ambaye ana hizi sifa

    1. si mpenda pesa 2. si mwenye dharau 3. si mwana wa shetani 4. si muongo na mbabaishaji 5. si malaya / muhuni 6. si mwizi na mchawi 7. si mpumbavu na mnafiki wasifu wangu kiufupi majina: cellulaire mjukuu chirama dini: mkristo wa dhehebu la katoliki kabila: myao kutoka mkoani lindi umri...
  2. JamiiForums Tanzania Kumridhisha Mwanamke inategemeana na nini?

    Wadau hivi kuna uhusiano wowote kati ya size ya uume na kumfikisha mwanamke kileleni? Mwenye uzoefu tafadhari sana.
  3. JamiiForums Tanzania Sifa 10 za mwanamke bora wa kuoa

    Mwanamke ni utukufu wa mwanaume kwa sababu ametoka kwenye ubavu wake. Mwanamke bora ni huyu hapa: 1. Mwenye heshima kwa wadogo mpaka wakubwa. (USAFI WA MWILI, MATENDO & MDOMO) -Sio anatukana tu ovyo ovyo halafu we unaenda kuoa, atakuja kutukana wazazi wako...
  4. JamiiForums Tanzania Mwanamke njoo usimulie ulivyompata mme wako wa ndoa!!

    Wanawake hupata wanaume wa kuwaoa kwa njia mbalimbali kama vile: 1.ulimpa tunda kimasihara baadae akawa mmeo 2.ulienda kuombewa kwa mchungaji 3.ulitafta mtandaon 4.alikuwa mwalimu wako darasan 5.alikuwa mpangaji mwenzio 6.alikuchumbia Wanawake karibun mtaje njia mlizotumia kuwapata wanaume...
  5. JamiiForums Tanzania Mwanamke atakubomoa, mwanamke atakujenga!

    HAIPUNGUI miaka mitatu sijakutana na Kajole. Hapo kabla tulikutana mara ya nyingi. Alikuwa anapitia nyakati ngumu. Nami nilihakikisha nampa kila kilichokuwa ndani ya uwezo wangu ili kumwezesha kuvuka magumu aliyopitia. Kajole akawa rafiki. Hapo katikati alikuwa akinipigia simu. Aliniambia...
  6. JamiiForums Tanzania Nahitaji mwanamke black beauty

    Mimi ni ME, umri wangu miaka 32. Naishi Dar. Nahitaji mwanamke black, umri usizidi miaka 32. PM me..
  7. JamiiForums Tanzania Mwanamke uliyeachana nae 'Kiugomvi ' katika Mahusiano yenu, Siku akipata mtu wa kumuoa na akikuletea kadi ya Mwaliko huwa anawaza nini kati ya haya?

    Je, huwa anakuwa... 1. Anakukoga ( Anakuringishia ) kuwa umeanika watu Wameanua? 2. Anakuambia kuwa bado anakupenda ila huyo Boya anayemuoa kaingia tu Mkenge kwake? 3. Anakualika uje umshuhudie Mwanaume wake mpya 'anayemsuuza' vizuri Kitandani? 4. Anakuwa anataka tu Kukudhalilisha...
  8. A

    JamiiForums Tanzania Mwanamke kukubana au kukuvutia kwake wakati wa sex

    Wanawake wakati wa sex kuna muda inafika anakubana na miguu pamoja na mikono yake hadi unashindwa kupump in and out huku akitaka uzamishe hadi pumbu wakati mwingine akisindikiza na sauti ya mahaba "hapo hapo".pale ni kusema kwamba mmefika kileleni, mnakaribia au uhondo umezidi na kilele unakiona...
  9. J

    JamiiForums Tanzania Natafuta mwanamke aliye serious kwa maisha

    Habari wanajamii wenzangu, nimeona leo nami kuweka hitaji langu kwenye forum. Mimi ni mtanzania mkristo umri 33 na kwasasa nipo mkoa was tabora najitokeza kutafuta mwanamke ambaye mbeleni atakuja kuwa mke na mama watoto wangu, sina ubaguzi wa dini wala rangi lakini umri ningependelea angalau...
  10. JamiiForums Tanzania Angalia huyu mwanamke

    Wanawake wengi wanataka wanaume ambao tayari wana kila kitu ili waweze kuingia ndani na kuwa na maisha rahisi, lakini angalia huyu mwanamke.
  11. JamiiForums Tanzania Kweli katika hii dunia,mwanaume bila mwanamke hajakamilika

    Nipo hapa ugenini naona masaa hayaendi kabisa. Naona kinywaji kichungu, naangalia kulia, kushoto,mbele, nyuma sioni kifaa matata. Na baridi hii kujikunja mwenyewe ni kutokuitendea haki uumbaji wa muumba. Najaribu kuwapigia makoloni yangu ya zamani angalau wanipe maneno matamu ya...
  12. JamiiForums Tanzania Mambo yanayoweza kugusa moyo wa mwanamke

    WANAUME wengi wanaamini wanawake, kwa kawaida, ‘wanapenda hela.’ Kwamba ukiweza kumhakikishia mwanamke 'uhakika wa kiuchumi' unakuwa umemaliza. Ingawa hatuwezi kupuuza ukweli kuwa uhakika wa 'kiuchumi' ni moja wapo ya mahitaji ya mwanamke, lakini si sahihi kuamini kuwa moyo wa mwanamke unaweza...
  13. JamiiForums Tanzania Nataka Nioe Mwanamke kama huyu, ushauri na maoni yenu tafadhari..

  14. JamiiForums Tanzania Ukimfanyia hivi mwanamke mpenda hela wallah hatakusahau

    Katika mizunguko yako ikiwa umeonana na mwanamke nawe ukajiongeza juu yake. Mwanamke naye akaamua kujiongeza juu yako kwa kukufanya ATM machine huku akikizuga kwa vimeseji vya I love you na wakati mwingine hata kukutumia picha zake za ndani ilimradi tu ukamilishe muamala. Huyo demu muhuni...
  15. M

    JamiiForums Tanzania Mwanamke serious wa kuoa

    Kwa hakika upweke ni mbaya sana unaweza jikuta unajinyonga ndani Peke yako, ninatafuta mwanamke umri kuanzia 20 mpka 28 , awe anajielewa na anapenda kujishughulisha, ila awe tayari kuhamia kwangu tuishi . Mimi vigezo vyangu nina umri Kati 25-29, dini mkristo, makazi dar es salaam, kipato kila...
  16. JamiiForums Tanzania Simulizi ya mwanamke anayekabiliana na ugonjwa uliobadili muonekano wake

    Farah Khalek ni mwanamke mwenye miaka 33 kutoka nchini Kenya, kama wanawake mwingine wa umri wake mwenye ndoto kubwa katika maisha yake. Licha ya kuwa anakabiliana na ugonjwa wa ngozi ambao umebadilisha muonekano wake wa sura kabisa. Ugonjwa huu unajulikana kama Scleroderma. Farah Khalek...
  17. T

    JamiiForums Tanzania Nachukia sana mwanamke anayetoa mimba

    Binafsi kuna wanawake nimewahi date nao na wametoa mimba yangu Wa kwanza niliishi nae kama mke pindi nimemaliza chuo nilimpata field then nikamsaundisha akanikubalia, tulikuwa tukitumia condom mara nyingi wakati wa kugegedana but tulikuja acha baada ya kupima. Alivyopata mimba hakuniambia ila...
  18. JamiiForums Tanzania Mwanamke na mbio za sakafuni

    Mwanamke akiwa na umri wa miaka 13 ukimwambia "Mambo? Atakujibu safi shikamoo Mwanamke akiwa na umri wa miaka 15, ukimwambia "Mambo? Atakujibu powa vipi? Hapo ameshaanza kuelevuka hata shikamoo anaiona ni mzigo Mwanamke akiwa na umri wa miaka 18, ukimwambia "Mambo! Atakujibu safi tu huku...
  19. JamiiForums Tanzania Kutoka JamiiForums: Kliniki ya Kidigitali Maalum kwa Wanawake katika kumsheherekea Mwanamke

    Habari Wakuu, Siku ya kusheherekea siku ya Mwanamke duniani, inahusu si wanawake tu, bali hata wanaume pia. Hii ni siku maalum ya kila mwanadamu kutambua umuhimu na nafasi ya Mwanamke kwa kumwangalia kama mwanadamu na si kwa vigezo vya sifa ya kuzaliwa Mwanamke. Na kwamba anastahili haki na...
  20. JamiiForums Tanzania Mfano wa sura ya mwanamke pale anapopewa taratibu halafu puta na kukanyagiwa mafuta

    Darassa kamshirikisha Sho Madjozi wa South Afrika ambaye ameishi kwa muda Tanzania pia kwenye ngoma 'I like it.' Sura ya mwanadada, Madjozi, inabadilika wakati wa kupelekwa taratibu na then puta na kukanyagiwa mafuta (angalia kati ya around 1:59 na 2:04). Maswali, ili ni somo kwa wanadada namna...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…