Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 29,345
- 40,219
Nipo hapa ugenini naona masaa hayaendi kabisa. Naona kinywaji kichungu, naangalia kulia, kushoto,mbele, nyuma sioni kifaa matata. Na baridi hii kujikunja mwenyewe ni kutokuitendea haki uumbaji wa muumba.
Najaribu kuwapigia makoloni yangu ya zamani angalau wanipe maneno matamu ya kunifariji...hawapatikani. Kweli katika hii dunia,mwanaume bila mwanamke hajakamilika.
Najaribu kuwapigia makoloni yangu ya zamani angalau wanipe maneno matamu ya kunifariji...hawapatikani. Kweli katika hii dunia,mwanaume bila mwanamke hajakamilika.