Mwanamayu
JF-Expert Member
- May 7, 2010
- 11,349
- 6,476
Darassa kamshirikisha Sho Madjozi wa South Afrika ambaye ameishi kwa muda Tanzania pia kwenye ngoma 'I like it.'
Sura ya mwanadada, Madjozi, inabadilika wakati wa kupelekwa taratibu na then puta na kukanyagiwa mafuta (angalia kati ya around 1:59 na 2:04). Maswali, ili ni somo kwa wanadada namna ya kusikilizia it? Pia je, fake zinawezekana pia?
Sura ya mwanadada, Madjozi, inabadilika wakati wa kupelekwa taratibu na then puta na kukanyagiwa mafuta (angalia kati ya around 1:59 na 2:04). Maswali, ili ni somo kwa wanadada namna ya kusikilizia it? Pia je, fake zinawezekana pia?