wa stendi
JF-Expert Member
- Jul 7, 2016
- 24,688
- 26,796
Huyu mwanamke tulimuheshimu sana hapa ofisini (alikuwa secretary wetu) yaani lunch na break fast tunamtoa karibuni kila siku sisi wanaume tofauti tofauti na hakuna alie mtongoza maana yeye kwanza ni mke wa mtu tunamheshimu na sisi bado ma single .
Sasa yeye kahamishwa kitengo kapelekwa ofisi nyingine sehemu nyingine huko ila ofisi ni moja kwa kweli hicho tulichosikia kwa wenzetu anatangaza huko kinatuuma sana yaani ametudharau sana hadi najilaumu kwa nini nimemuacha.
Nyie wanawake mnaofanya ofisi moja wa wanaume ukiheshimiwa hapo ofisini jiheshimu sio kwamba tunashindwa kuwaburuza.
Sasa yeye kahamishwa kitengo kapelekwa ofisi nyingine sehemu nyingine huko ila ofisi ni moja kwa kweli hicho tulichosikia kwa wenzetu anatangaza huko kinatuuma sana yaani ametudharau sana hadi najilaumu kwa nini nimemuacha.
Nyie wanawake mnaofanya ofisi moja wa wanaume ukiheshimiwa hapo ofisini jiheshimu sio kwamba tunashindwa kuwaburuza.