mwanaharakati

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. evangelical

    JamiiForums Tanzania Uganda kutomfukuza mwanaharakati wa Kenya alipokwenda kusikiliza kesi ya Besigye huku wakimsifu Samia kwa kumfukuza

    Kuna mambo yanafurahisha sana . Yaani watu wanakusifia wewe kwa kufanya kitendo flani kibaya . Kitendo hicho kibaya aliyekusifia yeye mwenyewe hakifanyi. Hii kwa wenye akili inaonyesha huyo mtu anakudharau anakuona wewe lofa flani anakupoteza manake huko ni kutoa sifa za uongo. Kuna watu...
  2. Cute Wife

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Polisi waenda Hoteli ya Serena kutaka kumkamata Mpiga picha na Mwanaharakati Kenya Boniface Mwangi ikihusishwa na kesi ya Lissu

    Wakuu, Polisi wameendelea kufanya ujinga na mambo ya ajabu kwa usalama wa wananchi. Asubuhi hii ya leo polisi wavamia chumbani kwa mpigapicha na na mwanaharakati wa masuala ya kisiasa kutoka kenya Boniface Mwangi wakisema wanataka kufanya ukaguzi. Boniface alikataa kufungua mlango na kuongea...
  3. I

    JamiiForums Tanzania Peter Kibatala ni Wakili au Mwanaharakati?

    Mimi sio Mwanasheria wala Mwanadiplomasia lakini juzi nimestushwa sana na andiko la Wakili ambaye anatajwa kuwa Mweledi sana wa Sheria Wakili Peter Kibatala,kuhusu Kesi ya Ndugu Tundu Antipas Lissu,andiko ambalo alipost kupitia mtandao wa X zamani Twitter! Katika andiko hilo Wakili Peter...
  4. contask

    JamiiForums Tanzania Kama ni mwanaharakati wa fedha za mtandaoni hutakiwi kukosa hivi vitu

    Habari wakuu Kama kichwa kinavyojieleza vitu hvyo ni kama vifutavyo ✅Good profile ✅Goodsite kama vile upwork,fiverr na zingineezo ✅Skills ✅Mullavid VPN ✅Tor browser ✅Crypto wallet kama vile binance ✅burner phone ✅Proxy 5 ✅Good OPSEC ✅RDP ✅Cc cleaner Vingine tuendelee kuvishusha kwenye comment...
  5. Mkalukungone Mwamba

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mvutano waongezeka baada ya mwanaharakati wa Molo kuuawa

    Wakazi wenye hasira walivamia chumba cha kuhifadhi maiti na kuchukua mwili wa mwanaharakati Richard Otieno, aliyeuawa Jumamosi usiku, kabla ya kuvamia Kituo cha Polisi cha Elburgon. Otieno, anayejulikana kama "Rais wa Molo," alishambuliwa na watu wasiojulikana nje ya nyumba yake, takriban mita...
  6. Mkalukungone Mwamba

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Lema: Nikigundua kwamba Kumuunga mkono Lissu imewakwaza nitakuwa mwanaharakati huru na sitaweza kuwa mwana CCM

    Wajameni! Lema leo ametema cheche zake katika kuelekea uchaguzi wa CHADEMA taifa. Na ameonyesha kummunga mkono Tundu Lissu ==================== Na nikigundua kwamba mimi kuwa mwanachama wa chama hiki CHADEMA kwa maamuzi haya (kumuunga mkono Lissu) ambayo ni ya kidemokrasia sana yatawakwaza...
  7. Lord Denning

    JamiiForums Tanzania Ushauri wa bure! Ukiwa mwanaharakati dhidi ya CCM usikimbilie nchi za Afrika Mashariki au Urusi au China. Nenda Marekani, UK au Nchi ya Umoja wa Ulaya

    Nawaonea huruma sana wanaopingana na madhalimu CCM alafu wanakimbilia nchi za Afrika Mashariki au China au Urusi. Kwa kifupi hutakuwa salama nchi yeyote ya Afrika au kwenye hizo nchi marafiki wa CCM. Nchi za Kiarabu ndo kabisa maana majasusi wa nchi mbalimbali ndo wanafanya field zao hata...
  8. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Tundu Lissu: Bora niitwe Mwanaharakati kuliko Mwanasiasa wa nipe nikupe, wanajua mimi sinunuliki

    Makamu Mwenyekiti CHADEMA Bara, Tundu Lissu kuhusu kuitwa Mwanaharakati na sio Mwanasiasa kwahiyo hafai kuwa Mwenyekiti wa Chama. "Mwanaharakati inatumika kama neno huna sifa, Wanaharakati maarufu wa dunia hii ni kama Julius Nyerere, Nelson Mandela. Yeyote yule unayemfikiria katika Afrika hii...
  9. KHM 1995

    JamiiForums Tanzania Je Erythrocyte ni chawa au mwanaharakati?

    Erythrocyte ni red blood cell inayohusika na usafirishaji wa oxygen kutoka kwenye lung kwenda kwenye tissue za mwili vilevile inahusika na usafirishaji dioksidi kaboni(carbon dioxide) kutoka kwenye tissue za mwili kwenda kwenye lung Mr. Erythrocyte unathamani kubwa sana kwa sisi kingdom...
  10. M

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Uchaguzi wa CHADEMA umedhihirisha Lissu ni Mwanaharakati Mbowe ni Mwanasiasa

    Kwa wanaofuatilia Uchaguzi huu watakubaliana na mimi kwamba ukimsikiliza Mbowe unaona picha ya Mwanasiasa imara na Kiongozi na ukimsikiliza Lissu unaona Picha ya ya Mwanaharakati aliyekomaa ila Mwanasiasa dhaifu sana. Ukiangalia kwa undani zaidi utaona Hotuba nyingi za Lissu zinaiumiza sana...
  11. Q

    JamiiForums Tanzania Lissu jifunze, Huwezi kushika dola kwa kupambana na dola, Never

    Lissu sio mwanasiasa haijui siasa kaingia kwenye siasa ili kufanikisha malengo yake ya uanaharakati. Lengo la mwanaharakati sio kushika dola ni kutetea haki na kuleta mageuzi, tofauti na lengo la mwanasiasa ambalo ni kushika dola. Mbowe ni mwanasiasa, mwanasiasa makini hutumia hoja, dialogue...
  12. Robert Heriel Mtibeli

    JamiiForums Tanzania Kweli kuna Wanachadema Hamnazo. Utawezaje kupigania haki bila kuwa na kiongozi mwanaharakati?

    KWELI KUNA WANACHADEMA HAMNAZO. UTAWEZAJE KUPIGANIA HAKI BILA KUWA NA KIONGOZI MWANAHARAKATI? Anaandika, Robert Heriel Mtibeli Kwa kweli Wanachadema wamenishangaza Sana. Uchaguzi huu umeniongezea uelewa kuhusu CHADEMA inawatu wa aina gani. Hivi mtu anawezaje kupambania HAKI, ukombozi pasipo...
  13. I

    JamiiForums Tanzania Mwanaharakati: Kizazi baada ya Nyerere ni cha Ovyo

    “Kizazi baada ya Nyerere ndiyo kimefanya Tanzania imekuwa maskini. Kizazi kimeuza viwanda. Kizazi kinang’ang’ania kubaki madarakani. Kizazi kimewekeza kwenda bungeni na kununua V8. Kizazi kinasifu kila kitu Rais anachofanya. Ni kizazi chenye watu wasiokuwa na akili timamu”
  14. Lady Whistledown

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mwanaharakati afichua Miradi Mfu na Hewa ya Rais Ruto

    Mwanaharakati afichua Miradi Hewa ya Rais Ruto Wakili na Mwanaharakati wa Uwajibikaji, Morara Kebaso alianzisha ziara ya kitaifa ili kukagua Maendeleo ya Miradi iliyoanzishwa na Rais William Ruto Lengo likiwa ni kuthibitisha hali halisi ikiwemo utendaji kazi wa Miradi ambayo Rais amezindua...
  15. Pascal Mayalla

    JamiiForums Tanzania Hakuna Ubishi Mwabukusi ni Mwanaharakati, Je TLS Yake Iwe ya Kiharakati, Au Asilete Harakati Zake kwenye TLS Yetu, Ibaki Kuwa Profesheno Body?

    Wanabodi, Hii ni makala yangu gazeti la Nipashe la leo Hii ni makala yangu ya pongezi kwa Wakili Mwabukusi kuchaguliwa kuwa rais wa TLS, na kumpa ushauri wa bure, aibadili TLS kutoka kule juu ilipo, aishushe chini ground zero Ihudumie wananchi wa kawaida wanaohitaji huduma za kisheria, badala...
  16. I

    JamiiForums Tanzania Mwanaharakati wa haki za akina mama ahukumiwa jela miaka 11 nchini Saudi Arabia kwa kutetea haki za wanawake

    Mwanaharakati wa haki za wanawake vijana nchini Saudi Arabia alihukumiwa kifungo cha miaka 11 jela kwa siri na mahakama ya kupambana na ugaidi baada ya kukamatwa kwa "chaguo lake la mavazi na kuunga mkono haki za wanawake". Maafisa wa Saudi Arabia walithibitisha katika taarifa kwa kamishna mkuu...
  17. MamaSamia2025

    JamiiForums Tanzania Je, Mwanaharakati huru Musiba ni role model wa vijana wa CHADEMA?

    Sio masikhara kuhusu hili swali. Inawezekana mwanaharakati huru Cprin Musiba ni mtu anayehusudiwa (role model) na vijana wa chama cha Mbowe (CCM B). Kwanini natamka hivi? Kwanza ikumbukwe mwanaharakati huru alikuwa akitukana yeyote aliyehisi ni kikwazo kwenye utawala wa awamu ya 5. Tumeona...
  18. JanguKamaJangu

    JamiiForums Tanzania Mwanaharakati asema Matukio ya Ubakaji nchini Sudan imekuwa sehemu ya maisha

    Hala Al-Karib ambaye ni Mkurugenzi wa Taasisi ya SIHA inayojihusisha kutetea Haki za Wanawake Barani Afrika amesema Asilimia 70 ya matukio yaliyorekodiwa ya Unyanyasaji wa Kijinsia ni Ubakaji wa Magenge Anasema hali hiyo imeongezeka hasa baada ya kuibuka kwa vita Aprili, 2023 Akizungumza na...
  19. FaizaFoxy

    JamiiForums Tanzania Mahojiano ya Miko Peled, mwanaharakati Myahudi Muisrael

    Yafatayo ni mahojiano na Miko Peled. Mwanaharakati Myahudi wa Israel na Marekani Miko Peled anaelezea kile Israel inakifanya na kwa nini wanafanya hivyo. Pia anaelezea baadhi ya historia yake na mazingira yasiyojukana na wengi yanayozunguka Israeli na Palestina. Miko Peled ni mwandishi...
  20. Teslarati

    JamiiForums Tanzania Nchi tutampa visionary leader sio mwanaharakati. Ukweli mchungu ni kwamba bado upinzani hawana Visionary leader

    Sina la kuandika zaidi sababu title imejielezea. Sijaona visionary leader yyt kutoka upinzani hadi sasa, endeleeni tu kutimiza wajibu wenu wa kuikosoa serikali na kuchangamsha mitandao ya kijamii lakini kule juu sidhan kama mtafika, labda miaka 100 ijayo. Tuongee ukweli ndugu zangu, nani...
Back
Top Bottom