mwamba

Musonda Trevor Selwyn Mwamba (born 1958), known as Trevor Mwamba, is an Anglican bishop. He was consecrated Bishop of Botswana on 6 February 2005. He tendered his resignation as Bishop of Botswana on 30 September 2012 – the day on which Botswana marks the anniversary of its independence from Britain. His successor was consecrated on 14 July 2013. On April 4th 2021, he was elected President of the United National Independence Party.
A true ‘citizen of the world’, at home in many cultures. Passionate about justice, equality and the empowerment of all God’s children. Outgoing, well-read, approachable, with a sense of humour and strong diplomatic skills.
He took up the post of Team Rector of Barking in the Church of England on 1 January 2014, a post he resigned in December 2019. On 9 November 2013 he was made an honorary assistant bishop in the Diocese of Chelmsford.He made a cameo appearance on the third episode of the HBO and BBC co-produced miniseries The No. 1 Ladies' Detective Agency. He appears in the episode entitled "Poison" as himself thanking members of the business community of Gaborone for their donations to the fictional orphanage portrayed in the series. He is married to Mmasekgoa Masire-Mwamba, a Commonwealth Deputy Secretary-General from 2008 to 2014.He was made a deacon at Petertide 1984 (1 July) by Mark Santer, Bishop of Kensington (by letters dimissory from Leonard Mwenda, Bishop of Lusaka), at St Luke's, Chelsea, Greater London and served briefly as curate of All Saints, Notting Hill. He left the UK in 1985 to become Rector of Luanshya and Vocations Director for Central Zambia, and was ordained a priest that year.On April 4th 2021, he won the presidency of the United National Independence Party. He managed to wrestle power away from long time incumbent Tilyenji Kaunda who held on to power for 20 years after succeeding his father Dr. Kenneth Kaunda. This marks the first time (UNIP) has not been lead by a Kaunda since the 1960s.

View More On Wikipedia.org
  1. eli -DEFIANT- cohen

    JamiiForums Tanzania Wakomonisti wa JF walijua Trump anafeli hii vita ya makato wakati mwamba yupo Uarabuni anasaini deals tena kwa kuhumizwa

    Nyie muendelee kukubali kuchukuliwa tu vibanda vyenu vya umachinga na wakina jet li🤣
  2. Bhikalamba

    JamiiForums Tanzania Napendekeza mwamba huyu ajengewe mnara au sanamu

    Wapendwa wa jukwaa letu pendwa la JF, where we dare to talk openly; kutokana na kilichotokea kisutu na viunga vya Dar es salaam tarehe 24/04/2025, ambapo najua wasomi na wafatiliaji wa mambo humu JF mnajua Sina haja ya kuelezea. Ila hii video kupitia link hii itasaidia kuelewa...
  3. Setfree

    JamiiForums Tanzania Marufuku kumwita mtu fulani: "Mwamba"

    Imezuka tabia, siku hizi, watu wanapomuona mtu fulani ana msimamo thabiti, imara, wanamwita “Mwamba.” Kwa mujibu wa Maandiko, "Mwamba" ni jina lenye uzito mkubwa kiroho. Jina hilo ni la Yesu Kristo peke yake, kama Maandiko yanenavyo katika 1 Wakorintho 10:4b. Kumwita mwanadamu “Mwamba” ni...
  4. R

    JamiiForums Tanzania Aliwahi kuwa star kwenye mitandao, kapotelea wapi huyu mwamba

    CHIKUMBALAGA
  5. MwananchiOG

    JamiiForums Tanzania Kwa miaka 10 iliyopita sijaona mtu anayeongoza kwa kuishi maisha ya Anasa, Starehe na Gharama ya hali ya juu ulimwenguni kama huyu mwamba

    Huenda kuna matajiri ulimwenguni waliopo na waliopata kuishi, kama kina Mobutu seseko, Kina King khan, Bill gates, Elon musk nk. Pia wapo matajiri wa mafuta huko Saud Arabia na watoto wa mabilionea kama Prince of Saud Arabia nk. Pia wapo celebrities wenye uwezo mkubwa kifedha wanaomiliki Lavish...
  6. eli -DEFIANT- cohen

    JamiiForums Tanzania Kwa miaka mingi watu wengi tulidhani Mikka Mwamba ni jamaa fulani jeusi la Kigoma kumbe jamaa ni chapa ya Trump kabisa

    Wakongwe tulimjua tangu awali ila hadi sasa watu wengi ukiwaambia kwamba mwamba ni mzungu wana bisha kabisa
  7. Echolima1

    JamiiForums Tanzania Waziri Mkuu wa Israel Mwamba Benjamin Netanyahu atembelea wanajeshi wake huko Gaza

    Waziri Mkuu wa Israel Mwamba Benjamin Netanyahu a.k.a. BIBI leo hii kaamua kuwa te Bełda wanajeshi wake walioko huko Gaza aliambatana na Waziri wa Ulinzi wa Israel na Mkuu wa Majeshi wa Israel na kuwatia moyo kwa kuwaambia kuwa wako huko kwa ajili ya kulinda Taifa lao na wako huko ili...
  8. B

    JamiiForums Tanzania CCM yakiri, Lissu ni mwiba mchungu; ilitamani mno kuwa na CHADEMA yenye mwenyekiti aliyepigwa mweleka, aka: Mwamba!

    Maneno haya hayaachi shaka hata kidogo: Tuweke rekodi sawa sawa, ipo tofauti baina ya kustaafu na kupigwa mweleka. Misamiati miwili hii ni tofauti. Ama kwa hakika ukisikia mtu mzima kama huyu analalama hivi, "no reforms no election" ni kukamatia hapo hapo mapambazuko ni karibu. "Kamanda...
  9. L

    JamiiForums Tanzania Hayawi Hayawi Sasa Yamekuwa. Huko Aliko Mwamba Mbowe Anachekaaaa Sanaaa na kufyonya

    Ndugu zangu Watanzania, Niliwaambieni Sana ,niliwaeleza sana CHADEMA, niliwapa Elimu wana CHADEMA,niliwatahadhalisha wana CHADEMA kuwa kumchagua Lissu kuwa Mwenyekiti ilikuwa ni sawa na kujipiga kitanzi,ilikuwa ni kujitundika juu ya kamba na kuweka shingo ndani yake na kisha kutegua kiti chini...
  10. eli -DEFIANT- cohen

    JamiiForums Tanzania Mnaikumbuka hii picha ya huyu mwamba anae wabeza wasomi?

    Maisha hayana formula, Maisha ni mchakato na mafanikio ni pale bahati inapokutana na michakato na mapambano yako kujumlisha na pale utakapokuwa sehemu sahihi ambayo mwanga wa bahati utakapo pita ukumilke wewe. Mimi nafikiri unapoipata bahati ya mafanikio kitakacho fata ni wewe kuwa humble, sio...
  11. Crocodiletooth

    JamiiForums Tanzania KWA HERI CDM LALA UNONO, UTAAMKA TENA 2030 CHINI YA MWAMBA!

    That is reality!, wasiokujua cdm wamekufuja, wanataka kukugeuza kama chanzo cha machafuko, hawaijui intelegencia ya uendeshaji wa chama hichi, ambayo haiendani na mihemko, chuki ghadhabu uasi, na machafu yote hatari kwa taifa letu.
  12. Mstahiki Mea

    JamiiForums Tanzania Matapeli wa Telegram walivyogonga mwamba kunitapeli

    Matapeli wa telegram walivyogonga Mwamba kunitapeli Walinicheki na kazi ya kutoa review kwenye hotel za Dar google map , Wakaniuliza , jina, umri na occupation (Alert) nikawajibu . Kanitumia hizo link tatu nikarate , kanirushia Pesa ya malipo ya hizo nilizo rate . Baada ya hapo akaniderect...
  13. mcTobby

    JamiiForums Tanzania Double agent Oleg Gordievsky afariki akiwa na umri wa miaka 86

    Huyu bwana oleg Gordievsky alikuwa ni jasusi wa KGB aliyeifanyia kazi MI6 ya uingereza , amefariki tokea mwezi march halafu mimi hata sikukumbuka kufuatilia habari zake. (of course nilikuwa offline almost a 2 weeks ). Oleg Gordievsky, the long-standing KGB double agent who defected to...
  14. Mshana Jr

    JamiiForums Tanzania Tuna mengi ya kujifunza Burkinafaso

    Rais wa Burkinafaso Bwana Ibrahim Traore ameamua kuwaongezea mshahara walimu na madaktari nchini kwake Burkina Faso huku akiwa ameshusha mishahara ya wabunge wa nchini humo. Maoni ya mdau: Yaani kaangalia kaona wabunge wanachukua pesa za bure bila kufanya kazi, hizo pesa bora nikawaongezee...
  15. eli -DEFIANT- cohen

    JamiiForums Tanzania Kuna mwamba huku kijijini kwetu,wake zake wawili vicheche, kila mama anamtoto amezaliwa nyumbani, watoto wakiume wanachuja "nafaka", aisee.

    Marafiki zake wanamchapia wake zake, Mabinti zake ni sukari ya mji, vijana zake akiwatafutia vibarua wiki moja wanarudi maskani kuchuja nafaka, hakika huyu msukuma ana balaa, sasa sijui ni usimamizi mbovu wa familia yake au wanawake zake ndio wanamharibia watoto All in all usiombee hii ikikute.
  16. GENTAMYCINE

    JamiiForums Tanzania Mwamba kamaliza kila Kitu na nakubaliana nae 100% sasa tumpuuze tuendelee kuwa Masikini na Nuksi hadi Kiama

    Naomba radhi kwa Maneno kadhaa Makali yaliyomo, ila Kikubwa tu naomba tuyasikie yale ya maana / muhimu ambayo kayasema ambayo kwa 100% yamesababisha Wanaume wengi kuwa na Nuksi nyingi na kila Siku tu Maisha yetu kuwa Magumu huku tukimsingizia Shetani kuwa Msababishi wakati kumbe Kiuhalisia...
  17. eli -DEFIANT- cohen

    JamiiForums Tanzania Vijana tunazidi kuwa wadhaifu, i waonder ni kipi tuta inspire watoto wetu wa kiume wajao

    Sasa hivi unakuta baba anaiimba "nyama ya mbuzi ni tamu, nyama ya mbuzi ni taamu"🤣🤣 alafu anakatika viuno kuliko mke wake. Unakuta Mtoto wake anamjibu mgeni vibaya, instead ya kuadhibu mtoto anamuambia mgeni "si unajua tena watoto wa siku hiz" Alafu akitoka hapo anaenda yale majumba ya betting...
  18. Muimba SINGELI

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Yule mwamba ambae alimshika mkewe ugoni akaenda kutoa taarifa kwa bimkubwa wake yamemkuta tena

    Nyiee Nyiee Nyiee Juzi Kamkamata tena ugoni mkewe kupitia meseji (sijajuwa ni za mgoni wa mwanzo yuleyule ama la..) na sasa kamtaliki kabisa. MTU AKIJA KUSEMA NIMEKOSA KAZI ZA KUFANYA HADI NAFUATILIA MAISHA YA WATU, YUKO SAHIHI. Uzi wa ugoni wa mwanzo...
  19. C

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mwamba kasamehe ..........kataa ndoa hii imekula kwenu. Ndoa ya Tiwa Savage imerudi upya

    RECONCILIATION AFTER 6 YEARS OF DIVORCE???. Afrobeats Diva Tiwa Savage has reconciled with her ex-husband and baby daddy @Teebillz after six years of divorce. The couple who were married in 2013 were blessed with a son, but their relationship went south in 2018 when the husband accused Tiwa of...
  20. Msanii

    JamiiForums Tanzania Tutafakari pamoja: Waziri Mkenda anaposema wasaidizi wa Rais waliweka kauzibe asimwone mkuu wa nchi, hadhi ya Waziri ipoje kwani?

    Waziri wa Elimu ndugu Mkenda katika hotuba yake ya uzinduzi wa Mtaala mpya wa elimu ametoa kali ya mwaka pale aliposema kuwa Yeye na timu ya wataalam walipata ugumu kuonana na Rais ili wampatie briefing ya yaliyomo kwenye mtaala mpya. Nimezalisha maswali kadhaa ya tafakuri hapa.... Waziri...
Back
Top Bottom