Nimeipenda sana picha ya bondia Hassan Mwakinyo, ikimuonesha Simba wa vita vya haki nchini, Tundu Antiphas Lissu, na Simba mwingine wa vita vyake, Samia Suluhu Hassan.
Kwa maono ya kinabii, naweza kusema kwamba, kitendo cha bondia Mwakinyo, kina kauli ya Mwenyezi Mungu - ambaye kwa mujibu wa...