mwaka

"Mwaka Moon" is a song by French rapper Kalash featuring Damso and Sfera Ebbasta released in October 2017. The song reached number one on the French Singles Chart.

View More On Wikipedia.org
  1. Manyanza

    JamiiForums Tanzania Mwaka 1989 picha

    Picha hii ni ya aliyewahi kuwa Rais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania. Hayati Dkt John Pombe Magufuli na Mke wake Mama Janeth Magufuli. Vijana wenzangu, maisha ni safari tuamini mchakato. Picha kwa hisani ya mtandao wa Facebook
  2. Mbalizi feedstuff

    JamiiForums Tanzania Hivi maonyesho ya nane nane Mbeya kwa mwaka huu(2025) hayatakuwepo?

    Sababu ya kuuliza iwapo mashindano haya kama yapo ni kusawazishwa kwa eneo lile kana kwamba kwamba unatengenezwa upya.
  3. Kitimoto

    JamiiForums Tanzania Viongozi wa TFF na Bodi ya Ligi Wanahujumu Chama na Serikali Kuelekea Uchaguzi Mkuu wa Mwaka Huu 2025

    Wanachokifanya Chama cha soka nchini TFF na Bodi ya Ligi kuhusiana na mechi ya mkondo wa pili ya watani wa jadi Young Africans SC na Simba SC ni wazi wanatumika na baadhi ya wanasiasa kuhujumu uchaguzi mkuu wa mwaka huu. Ikumbukwe vilabu hivi vikubwa vina wanachama na mashabiki ambao wale wenye...
  4. FRANCIS DA DON

    JamiiForums Tanzania Fumbo la Hisabati: Analipa Shs. 14 kila mwaka, lakini deni lake linaongezeka kwa Shs. 10 kwa mwaka

    Kwa mfano mtu anadaiwa Shs. 60/= , akiwa analipa hilo deni kwa wastani wa shs. 15/= kwa mwaka , tunategemea baada ya miaka mitatu deni libaki Shs.15/=. Au kama anakopa tena kila mwaka sawa sawa na kiasi anacholipa, basi deni tunatarajia kibaki pale pale Shs.60/=. Maajabu. Pamoja na kulipa...
  5. K

    JamiiForums Tanzania WIZARA ya Fedha imewasilisha mafungu nane ikiomba kuidhinishiwa kiasi cha Sh trilioni 20.19 kwa mwaka wa fedha 2025/26

    DODOMA; WIZARA ya Fedha imewasilisha mafungu nane ikiomba kuidhinishiwa kiasi cha Sh trilioni 20.19 kwa mwaka wa fedha 2025/26 kwa matumizi ya kawaida na maendeleo. - Akiwasilisha mapitio ya utekelezaji wa mpango na bajeti kwa mwaka 2024/25 na mapendekezo ya mpango na bajeti ya wizara hiyo kwa...
  6. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania Waziri wa Fedha, Dkt. Mwigulu: Pato la Taifa (GDP) lakua hadi 5.5% mwaka 2024, mfumuko wa bei wabaki imara

    Waziri wa Fedha, Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba, amesema kuwa ukuaji wa Pato la Taifa (GDP) kwa mwaka 2024 umefikia asilimia 5.5, ukilinganishwa na asilimia 5.1 kwa mwaka 2023 na asilimia 5.4 kwa mwaka 2022. Akiwasilisha Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara ya Fedha mwaka 2025/26 Bungeni leo...
  7. 888I

    JamiiForums Tanzania Utapiga kura mwaka huu?

    Tuambizane Binafsi sitapiga kura
  8. eli -DEFIANT- cohen

    JamiiForums Tanzania Ukiambiwa utengeneze first 11 ya muda wote katika historia ya La Liga kuanzia mwaka 2000 utaweka wachezaji gani?

    Mimi nitaenda na formation ya 4-4-2 DIAMOND 1. Casillas 2. Alves 3. Ramos 4. Pique 5. Marcelo .Alonso . Xavi . Modric . Iniesta . Messi . Ronaldo
  9. eli -DEFIANT- cohen

    JamiiForums Tanzania Ukiambiwa utengeneze first 11 ya muda wote katika historia ya EPL kuanzia mwaka 2000 utaweka wachezaji gani?

    Mimi nitaenda na formation: 4-3-1-2 1. Cech 2. Neville 3. Vidic 4. Terry 5. Cole 6. Scholes 7. Gerrard 8. Lampard 9.Rooney 10. Ronaldo 11. Henry
  10. Dennis Robert Shughuru

    JamiiForums Tanzania Kutatengwa zaidi ya shillingi Trillion 15 kwa ajili ya kuboresha miundombinu na kitakuwa kinaongezeka kila mwaka

    "The total road network length in Tanzania is 181,190 kilometers (112,590 miles). This includes 36,760 km of national roads and 144,429 km of district roads" Nikiwa Rais kutatengwa zaidi ya Trillion 15 kwa ajili ya kuboresha miundombinu ya Barabara kupigwa lami Kutengenezwa highway nyingi sana...
  11. mama D

    JamiiForums Tanzania Kwetu kumeanza kunoga na milango iko wazi kwa wote

    Huku kwetu rahaa tuu stress tupa kule https://youtube.com/shorts/Uu8LGlSjxPU?si=IgmDTaKogzbmGJP8 Ukiwa na makasiriko pole
  12. A

    JamiiForums Tanzania Kwa hizi hotuba za Rais wetu, CHADEMA ni vyema mjiandae kimkakati kuelekea 2030, uchaguzi wa mwaka huu ni wazi hata kwa 0% hautakuwa wa huru na haki.

    Nawasikitikia sana wale wanaosema watapambana wakiwa uwanjani, kiukweli mtachakazwa na kila aina ya rafu hadi mtakimbia kabla hata ya dakika 90. Wale walioahidiwa ubunge wa bure sahauni, simuoni mwana ccm yeyote wa kukubali kuachia jimbo kizembe eti kisa wewe mpinzani. Chadema mwaka huu...
  13. Just Pray

    JamiiForums Tanzania Je, wajua? Kati ya mwaka 1998 hadi 2012, Nokia ilikuwa mtengenezaji mkubwa zaidi wa simu za mkononi duniani

    Nokia ni kampuni ya Kifinland iliyozinduliwa mwaka 1865. Hii ni kampuni ya kimataifa inayojishughulisha na mawasiliano na teknolojia ya taarifa. Makao makuu ya Nokia yako Espoo, Finland. Kampuni inafanya kazi katika zaidi ya nchi 100 na ina wafanyakazi takribani 130,000 duniani kote. Nokia...
  14. Idugunde

    JamiiForums Tanzania Uchaguzi uliofanyika mwaka 2020 na kupitisha Wabunge wa CCM kwa mizengwe unalighalimu taifa letu. Hawa sio wabunge ni Wapigaji wa pesa za umma.

    Fuatilia mijadala yao Bungeni kwa ujumla utaona kuwa wapo kwa ajili ya kupata posho na mshahara tu. Mbunge anaropoka hovyo kuwa Watu washughulikiwe kwa kutekwa! Mbaya Zaidi anakazia kuwa Waanziwe wana CCM baadae wapinzani na wasio wapinzani. Msukuma hovyo kabisa... Bunge hili ni lile ambalo...
  15. The redemeer

    JamiiForums Tanzania Kufika mwaka 2030 mwanadamu ataweza unganisha akili yake na akili bandia AI

    Mtaalamu maarufu wa mustakabali wa teknolojia, Ray Kurzweil, ametabiri kuwa kufikia mwaka 2030, binadamu wataweza kuunganisha akili zao moja kwa moja na akili bandia (AI) kwa kutumia nanoboti, Virobiti vidogo vya kimitambo vinavyosafiri kupitia damu bila hitaji la upasuaji. Kwa mujibu wa...
  16. secretarybird

    JamiiForums Tanzania Hiki kisa changu cha mwaka 2004 huwa nikikumbuka huwa kinanifanya nicheke kwa sauti hata nikiwa peke yangu

    Shalom jukwaa! Nilipokuwa mwanfunzi nilikuwa nina tabia ya kutofika shuleni kwa sababu nilikuwa sipendi shule kuliko kitu chochote kwa kipindi kile lakini wazazi walikuwa wananilazimisha kwenda shule hata kwa fimbo wakati mwingine (nawashukuru sana kwa hilo). Kule kutokupenda shule kulinifanya...
  17. Kitimoto

    JamiiForums Tanzania Mama Mbona Ujaipongeza Timu ya Simba Kushika Nafasi ya Pili Kwenye Kombe la Shirikisho Mwaka Huu 2025?

    Inawezekana Mama amepitiwa kulikosababishwa na Majirani zetu wapendwa wa hapo Kenya!
  18. funaku

    JamiiForums Tanzania Uchaguzi wa mwaka 2000 Chadema haikuwa na mgombea Urais

    Hii ni kumbukumbu kwa vijana wa 2000
  19. stakehigh

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kuanzia mwaka 2022 mpaka 2024, Serikali imetumia 3B Ksh kulipia uzembe

    https://www.youtube.com/watch?v=iMrLys3Q9iM
  20. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania Dkt. Gwajima: Vitendo vya Ubakaji na Ulawiti vimepungua kwa asilimia 6.3 na 19 mwaka 2024

    Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalumu, Dkt. Dorothy Gwajima, amesema kuwa vitendo vya ukatili wa kijinsia nchini vimeanza kupungua, hususan matukio ya ubakaji na ulawiti, kufuatia juhudi mbalimbali za Serikali na wadau kuelimisha jamii. Akiwasilisha makadirio ya...
Back
Top Bottom