music

  1. O

    Kumbi za cinema na music concerts ni chache au hakuna promo?

    Ukitoa Dar ni majiji gani mengine yana kumbi za cinema atleast Kila weekend WATU wanaweza jipoza. Aya Kwa music wapi UNAWEZA sikia Kuna burudani ukiacha bar za mbagala kule atleast kama ni music ya injili au ya Dunia in a weekend tunaweza PATA burudani? Kama zipo Dar, vipi majiji mengine...
  2. Waziri Mayai Wa Maradhi

    Live Music Performance or Playback Performance?

    What is your take and preference on music performance? Would you pay to attend a live music performance or a playback performance?
  3. Moaz

    BONGO FLAVOR COIN (BFC) WHITEPAPER: The Rhythm of Revolution: Empowering Africa's Music Ecosystem Through Blockchain

    Version 1.0 Release Date: September 2025 Authors: BFC Core Team Website: www.bongoflavorcoin.com (Placeholder) Contact: info@bongoflavorcoin.com 1. Abstract In the pulsating heart of Africa's music scene, where rhythms like Bongo Flavor echo the continent's spirit, lies an untapped revolution...
  4. Mhaya

    Music Producer ni nani, na kuna aina ngapi za Music Producers?

    Kwa uchache tu mfahamu Mtayarishaji wa mziki au kwa kimombo Music Producer Music Producer au Mtayarishaji wa muziki ni mtaalamu anayehusika na kusimamia na kuratibu mchakato mzima wa kutengeneza wimbo au albamu. Mchukue kama meneja wa mradi (kwa kimombo unaweza kumuita Project Manager) na pia...
  5. Sema kama nenga

    Kumbukizi: Mwaka 2016 kijana mmoja wa Iraq akamatwa na Wanajihad kwa kusikiliza muziki wa Kimagharibi wakati wa Swala

    Mnamo mwaka 2016, nchini Iraq, kijana Ayham Hussein alikamatwa na wanajihadi alipokuwa akisikiliza muziki wa Kimagharibi katika duka la baba yake. Alifikishwa katika mahakama ya Sharia ambayo ilimhukumu kunyongwa. Kijana huyo alikatwa kichwa hadharani kabla ya mwili wake kurejeshwa kwa familia...
  6. Baba Rhobi

    Music Enthusiasts na Wakali wa Sound System, Pitieni hapa mtoe ushauri.

    Wakubwa nimecheki huko Mjini Facebook, kuna wakenya huko wanatamba na hizi Sound System za magari wanaweka majumbani mwao hii idea imekaaje, make sote tunajua mziki wa gari huwezi linganisha na Sabufa za hapa na pale.
  7. Kalamu Nzito

    Gospel Music Manager/Management

    Habari wadau, Nina kiu ya kuwekeza kwenye muziki wa Injili lakini sina pa kuanzia. Nina maono ambayo naamini ninaweza kumshawishi mwekezaji tukafanya kitu kwa mkataba maalumu. Nimeandaa album kamili yenye nyimbo zaidi ya 12. Bado nipo kwenye tafakuri aidha nianze na album au EP (Extended...
  8. K

    Live music performance Bongo

    Mimi ni Mpenzi wa muziki na nikiwa na nafasi huwa nahudhuria events kadhaa ambazo top artists wa bongo wanaperforme, nimenotice jambo ambalo ni utaratibu ambao sielewi ulianzishwa na nani lakini wasanii karibu wote wameuiga, suala la kuperforme huku bodyguards na videographers wao...
  9. M

    Music production

    Natafuta mtu wa kufundisha mdogo wangu music production Dodoma aniachie namba
  10. W

    Tuzo za Trace Music Awards zilikatishwa kutokana na maji kujaa karibu na Jukwaa

    Ninachojiuliza ni kwamba hawakujua au hawakufanya Survey ya eneo kabla ya kuweka Jukwaa ————————————— Tuzo za Trace kwa wasanii wa Afrika zilizofanyika usiku wa kuamkia leo Visiwani Zanzibar, Tanzania, zilikatishwa kutokana na maji kujaa karibu na jukwaa. Tuzo hizo zilizoonekana kuchelewa...
  11. Nifah

    Trace Awards 2025: 26 February Mora Resort, Zanzibar

    Jioni ya leo February 26 kutakuwa na kilele cha msimu wa pili wa tuzo za muziki zinazojulikana kama Trace Awards huko visiwani Zanzibar. Tukio hilo litakalofanyika viunga vya hadhi ya juu kistarehe, Mora Resort zitahudhuriwa na mastaa wakubwa Afrika wakiwemo Davido, Rema, Fally Ipupa, WizKid...
  12. Khanji kapoor

    Eti beyonce ameshinda tuzo ya album bora ya music wa county!!!!!!!!

    Juzi nilikuwa live kufuatilia utoaji wa tuzo za grammy uko kwa beberu trump Matukio mengi yalienda sawa kabla ya bwana Ye kuingia na demu wake redcarpet akiwa uchi ad wakatimuliwa Ila tukio la kuvunja moyo ni beyonce kushinda tuzo la album bora la music wa country 🤣🤣 Inamaana wamarekan...
  13. L

    JF Music Awards 2024: Karibu uwajue washindi wa tuzo hizi za muziki

    Hello! Leo ndio ile siku ya kujua wasanii waliofanya vizuri katika tasnia ya muziki Tanzania kwa mwaka 2024. Tuzo hizi zimeandaliwa na wanachama wa jf ku represent jukwaa letu hili la jamii. Washindi wa vipengele mbalimbali wamepatikana kutokana na utafiti na ukusanyaji wa maoni mbalimbali...
  14. Introvert Music

    Wakuu naombeni mnitajie app ya kudownload music

    Naombeni mnitajie app ha kudownload music naona Vidmate inanizingua Kila nikidownload nyimbo inaishia nusu naona kama app hii imeshakua mizinguo inakera
  15. Isaack Newton

    Natafuta music academy kwa hapa dar

    Habari wakuu, natafuta chuo au sehem ambayo wanafundisha muziki. Nina mtoto wangu wa kiume anapenda drums sana. Kwa hapa dar es salaam ni sehem gani naweza pata?
  16. G

    Music albums zilizouza sana nchini Kenya kwanzia '70s hadi '90s

    Music albums zilizouza sana nchini Kenya kwanzia '70s hadi '90s. Pata pale aipate.
  17. L

    JF MUSIC AWARDS: Upi wimbo bora wa mwaka 2024 kutoka kwa wasanii wa kurap Tanzania?

    Karibu kwenye kipengele hiki kizito cha upi wimbo ulio bora na umefanya vizuri kwa wasanii wetu wa kurap Tanzania. Piga kura ili tumpate mshindi. Tuzo za Tanzania huwa zinalalamikkiwa kwa kukosa uwazi, sasa hizi atakeyekuwa na kura nyingi ndie ataibuka mshindi. Malengo siku moja, sisi wanachama...
  18. L

    JF MUSIC AWARDS: Upi wimbo bora wa mwaka Afrika kutoka kwa msanii wa kike?

    Helo! Zoezi la upigaji kura kwa ajili ya tuzo hizi umeanza. Pigia kura wimbo wako bora kati ya wasanii hao waliofanya vizuri Afrika kwa mwaka wa 2024.
  19. L

    Karibu kwenye JF Music awards 2024

    Hello the Bosses and Roses. Katika kuelekea kuufunga mwaka wetu huu wa 2024, embu twende pamoja katika kuwapa tuzo wasanii wetu wa Muziki kwa kuwa wanafanya kazi kubwa kuhakikisha jamii yote inaburudika, inaelimika na pia inafuraha kutokana na talanta za sauti zao walizopewa na Mungu. JF Music...
  20. ELI COHEN

    80s: The Golden Age Of Music

    https://youtu.be/7p2HqW9J1iU?si=pOEEM02j3_0drEEo https://youtu.be/dQw4w9WgXcQ?si=RFM8SB91acdbDsfi https://youtu.be/izGwDsrQ1eQ?si=WJHXqKGxbjlIbiaY https://youtu.be/k2C5TjS2sh4?si=SckIBrA-XQm7Q9yq https://youtu.be/Ewg1LTLBGkE?si=rHQp5RoarU88YvxI https://youtu.be/r7XhWUDj-Ts?si=ivye5Z2M8wvzcqWX
Back
Top Bottom