Sawa, wala sijali unaamini nini, naheshimu unacho kiamini.
Ila kama unaamini vitu ambavyo wewe mwenyewe haukuwahi kushuhudia sasa kwanini unakataa kuamini vitu vingine vinavyoaminiwa na watu wengine walio kama wewe ingawa wana itikadi tofauti.
Sasa nani mshamba? wewe unaepata maelekezo ya mtu...
Wakuu,
Tusubirie kusikia na huyu ameshambuliwa kwa sababu ya kusema ukweli? Tusubiri kusikia na huyu amepigwa vibaya na kuchukuliwa na watu wasiyojulikana sababu amesema ukweli?
Wataumiza na kuua wangapi mpaka wajue hawawezi kunyamazisha watu kusema kweli isipokuwa tu kwa kubadilisha mienendo...
agenda
father
kuelekea 2025
kusema
mama samia
mungu
padri muchunguzi
padri samwel muchunguzi
samia
siasa
siasa na dini
siasa za tanzania
watumishi
watumishi wa mungu
Mungu Huokoa na pia Huadhibu
Mfano wa Mungu alivyookoa Waisraeli kule Misri
Waisraeli walikwenda Misri kupata chakula, kutokana na njaa iliyokuwa kubwa nchini mwao. Wakakaa kwa amani kwa miaka 30. Walipoongezeka na kuwa wengi, Farao wa Misri wakawatesa kama watumwa kwa miaka 400. Jumla, walikaa...
Hapa tunaongelea Ugunduzi na mchango wa technolojia zilizobadilisha maisha ya watu dunia.
Waisrael wapo milion 15 tu duniani katika dunia yenye watu Billion 8.
Lakini mchango wao kwenye hii dunia hasa wa uvumbuzi wa vitu na technolojia umekua n mkubwa kupitiliza….. kwa uchche wao ndio lakini...
Je unajua? Ukifanya mambo yafuatayo, yakauharibu mwili wako, Mungu atakuangamiza.
Ushahidi huu hapa:
1 Wakorintho 3:17
"Mtu yeyote akiliharibu hekalu la Mungu, Mungu atamwangamiza; kwa maana hekalu la Mungu ni takatifu, na ninyi ndio hilo hekalu.”
Miili yetu ni hekalu la Roho Mtakatifu...
https://youtu.be/gRFTQaTOCUg?si=7yOQzFaQ7gsU5Y8a
Rais wetu na mama yetu mpendwa, Dr. Samia Suluhu Hassan, kama Serikali yako ni sikivu na wewe mwenyewe ni msikivu, hebu sikiliza sauti hii ya mtume wa Mungu.
Kwa imani yako kama Mwislamu unaye mwabudu Allah, naomba utafakari ushauri huu wa...
Ni mimi wako UWESUTANZANIA ✍️
Kila kitu nikiuliza kwa Masheikh na mapadri na wachungaji na hata katika forum mbalimbali mnanifungulia KITABU,
Ina maana Mungu alikosa njia zote za kujieleza katika dunia na watu wake bila ya KITABU tu?
Ndugu msomaji naomba tumia akili kidogo unaposoma...
----------------------------------
Johann Wolfgang von Goethe alikuwa mshairi, mwandishi wa riwaya, mwanafalsafa, mwanasayansi, na mwanafalsafa wa Kijerumani aliyeishi kati ya 1749 na 1832. Anachukuliwa kuwa mmoja wa watu muhimu kabisa katika fasihi ya dunia na maarufu sana katika harakati ya...
Mungu anatwala.
Haugui
Hafi
Hachoki
Hazimii
Hatishwi
Matendo yote ya heshima na inada uyaelekezwe kwa Mungu asiyekufa.
Viongozi wa kidini na kiserikali wapewe heshima za kibinadamu. Heshima kuu irudi kwa Mungu Muweza wa Yote.
Kwa Mujibu wa Biblia. Baba mtakatifu (Yohana 17:11) sio mtu.
Ni...
Wanabodi
Kwa kadri siku zinavyozidi kwenda, ndivyo ninavyozidi kumkubali mtu huyu, amenyooka kama reli!, hakika mtu huyu ana roho wa Mungu ndani yake!, mtu bila kuwa na roho wa Mungu, bila kuongozwa na Roho Mtakatifu, huwezi kumpa makavu live tena bila kupapasa, kwanza kumtambulisha mbunge...
Wakuu nipo hapa natafakari msiba wa papa Francis,nimejiuliza huko kwa Mungu kweli tutapewa haki sawa?
Yani mimi ambae muda wote nawaza wanawake na pombe nihukumiwe sawa na papa Francis ambae maisha yake yote kajitolea kumtumikia Mungu?
Ebu tuache kujifariji kwa hizi nadharia please.
Zab 145:14 SUV
[14] BWANA huwategemeza wote waangukao, Huwainua wote walioinama chini.
Moja ya sifa nzuri aliyonayo Mungu ni huruma aliyonayo kwa watu wake, wale watu wanaofika wakati wanavunjika moyo kutokana na mambo mbalimbali wanayokutakana nayo katika maisha yao, Yeye huwainua tena.
Mtu...
Itoshe kusema katazo lako la wimbo wa kuchochea chuki baina ya wananchi wa vyama pinzani limenipa maono kuwa Taifa hili lina hazina kubwa ya busara na hekima ndani ya watu wake!
Tupo salama, tuchape kazi na Mungu atubariki
Najiuliza maswali haya:
Yesu alisema tukimuomba Mungu kwa Jina lake Yesu tutapewa (Yohana 14:13-14). Kwanini sasa tunamuomba Maria atuombee?
Maria yuko wapi kwa sasa?
Kuna ushahidi gani wa kibiblia kwamba pale Maria alipo anatusikia na kutuombea?
Aliye na majibu ya maswali hayo, anijuze. Ila...
Zab 143:7 SUV
[7] Ee BWANA, unijibu hima, roho yangu imelegea; Usinifiche uso wako, Nisifanane nao washukao shimoni.
Tunafahamu kuna wagonjwa wa dharura, wagonjwa ambao huwa hawapangi foleni kama wengine, kutokana na shida waliyonayo, madaktari hutumia kila njia kuokoa maisha yao.
Mgonjwa wa...
https://youtube.com/shorts/WWmBwoKcRi4?si=MXTAzBwxQMUNtmyg
Kwanza kabisa Mungu atusamehe kwa yale yote mabaya tunayoyafanya . Lakini ifahamike mitume na manabii wanajaribu tu kumuelezea tu huyu Mungu mkuu ambae hakuna anaemjua wala kuwahi muona .
Kwa kifupi hata dini zetu za asili zilikuwa...
Swali la kwanza:
Kwenye kitabu chako cha Qur-an, unasifia kuwa ni kitabu ambacho hakiwezi kubadilishwa maneno yake na maudhui yake Abadan Abadan, je ilikuwaje ukaanza na kushusha kitabu chako cha INJILI ambacho kiliweza kubadilishwa kiurahisi?
Swali la pili:
Kwanini katika kitabu chako...
Usiku wa mtoko wa pasaka matukio mengi yamefanyika kichawa sana :4WeirdJam: tulitegemea iwe sehemu ya kuusifu utukufu wa Mungu kwa kumtoa mwanaye wa pekee aliyetukomba kwa msalaba dhidi ya madhambi yetu lakini unasikia kwaya inamsifu Rais Samia na kuimba apewe mitano tena, hovyoo:AAAA::AAAA:
Uzi huu natamani hata usomwe na mtu mmoja tu ntafurahi,
Ilimradi mtu huyo mmoja spare ufahamu juu ya ukweli juu ya Baraka alizokirimiwa mtu MWEUSI na namna mtu mweus alivyo ongelewa kwa uzuri ktk biblia .
Kuanzia sa nne naanza kupost taratibu, Sasa uuonapo Uzi huu comment kitu chochote ili...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.