mungu

  1. ELI COHEN

    Madogo mliomo JF chukueni mbili tatu kuwahusu warembo ili iwasaidie katika safari yenu ya mapenzi

    1: Penzi la age-mate wako litakutesa sana. Kuna namna kiasili mwanamke unae lingana nae anakuwa vibrant kukuzidi na pia anakuwa anakuona chalii katika experience ya maisha thus anakuwa triggered zaidi na wanaomzidi umri. 2: Binti kama anakukubali na bado hauja mu-approach atakuset ili ionekane...
  2. Financial Analyst

    Kama asili ya mwanadamu ilikuja kabla ya dini kuja kwanini akubali imuendeshe? then ukitaka kumjua Mungu wa kweli achana na mambo ya dini

    Ushawahi kujiuliza kuwa wale watu waliokuwepo kabla ya dini yako kuja wataenda wapi? Mbiguni au motoni? Dini inakufanya ukae mbali na Mungu wakati umekaa nae hapo pembeni yako. Dini inakufanya ukae mbali na ukweli wa asili yako ili ukumbatie stori za kusadikika na kufikirika. Dini...
  3. Samson Ernest

    Mungu Akikuita Amekuamini Usijitazame Ulivyo Analijua Hilo Na Akakuchagua

    Yer 1:6 SUV [6] Ndipo niliposema, Aa, Bwana MUNGU! Tazama, siwezi kusema; maana mimi ni mtoto. Watu kama Yeremia wapo wengi Leo, wanaotazama hali zao za nje, au mazingira yao, udogo wao, na mambo mengine mengi. Wanapochaguliwa na MUNGU kumtumikia katika eneo Fulani, huanza visingizio vingi vya...
  4. The Father of All

    Gwajima katapeli watu akidhani anaweza kumtapeli Mungu sasa yako wapi?

    Josephat Gwajima, askofu kidhabu wa kujipachika aliwahi kusema kuwa kazi yake ilikuwa bora na kubwa zaidi ya urais. Alipopewa ubunge alisahau yote. Alisahau kuwa maneno yanaumba. Sasa ameumbuliwa. Nadhani sasa ameamini kuwa Mungu si wa kudhihakiwa. Gwajima kafanya utapeli mwingi. Mara...
  5. Moto wa volcano

    Muombe Mungu mabaya yaliyowakuta wengine wewe usikutanayo

    Maisha ni safari ambayo unakutana na matukio mengi njiani , muombe Mungu mabaya uliyowahi kuyasikia yakiwakuta wengine wewe yasikukute na pia usifurahie matatizo ya wengine maana kesho yako ni fumbo , usiseme ukamaliza weka akiba ya maneno
  6. H

    Kati ya Yesu na Muhamad nani ni msaada kwa Waafrika?

    Iwapo kuna makundi mawili makubwa ya wafia dini wa Yesu na wa Muhamad je ni kundi lipi ambalo liko sahihi na linapata msaada zaidi ya lingine kutoka kwa kiongozi wao? Na kwanini kuwe na makundi mawili kwa wafia dini wa kiafrika wakati Mungu ni mmoja tu? Je makundi ambayo hawako kundi la Yesu...
  7. Kangosha

    Yanayoendelea Nepal, je kutokea na Tanzania?

    Kwa wale tunaofuatilia habari za kimataifa tumeona jinsi raia wa Nepal hasa vijana walivyoiangusha Serikali Yao kutokana na ugumu wa maisha. Hali kama hio naiona ikija kutokea Tanzania. Nasemea hivi kwa sababu zifuatazo:- 1. Vijana wengi wanamaliza vyuo,shule za secondary na hata msingi ila...
  8. M

    Huu hapa ufundi wa Mungu juu ya pua yako !

    - Mungu aliona aweke mashino mawili ambayo yote yameunganishwa kwenye pipe moja ya juu hivyo shimo moja likiziba jingine litatumika kama dharula. Mungu akaona kuwa pua inapaswa kuwa na uwezo wa kugundua harufu mbalimbali za kipekee, hivyo akaongeza seli maalum za harufu ambazo sio tu zinatambua...
  9. ELI COHEN

    Unafundishaje watu kuwafanya wenzao watumwa halafu unawafundisha kuheshimu na kumuomba Mungu huyo huyo ambae amewaumba hao utakaowafanya watumwa?

    Cha kwanza wanafuta utashi asilia kichwani mwako alafu wanakubandikia ustadi mpya katika fikra yako, kinachofata unadhani unasimama katika uelevu na utimamu ila kuhakika ni utumwa wa kifikra.
  10. LUKAMA

    VPN: Mungu awabariki wazungu kwa hii kitu

    Kwema hapo wakuu, nimekaa nje ya JF toka waifungei Sasa natafakari tangazo la kuifungia JF Kuna statement moja inasema hatutapatikana ndani ya Tz kwa muda wa siku tisini. Wazo likaja kumbe nikiwa Malawi naweza ipata JF, kwa Sasa nipo Malawi waku na wasalimu.
  11. JanguKamaJangu

    KERO Maktaba ya Mkoa wa Lindi mmh! Ni Mungu tu ndio anajua wanaoitumia wanajisikiaje, ni mbovu na si salama

    Juzi kati nilienda Mkoani Lindi kumtembelea ndugu yangu wakati huu wa likizo, kuna jambo nililikuta huko na kuniacha mdomo wazi. Wenyeji wangu waliniambia kwa kuwa wao wako bize walilazimika kwenda kuwatafutia uanchama Watoto wao kwenye Maktaba ya Mkoa ili wapate nafasi ya kujisomea, lakini...
  12. Genius Man

    Tukio la kupatwa kwa mwezi ni miongoni mwa dalili za kutokea kwa Mungu kufikia mwisho wa dunia

    Unabii umekwisha timia Yesu naelezea baada ya mateso ya wakristo kipindi kile cha rumi ya kale mungu angerudi upesi lakini kuna dalili alizitaja. Mathayo 24:29-30 – Yesu anazungumza kuhusu nyakati za mwisho: “Mara baada ya dhiki za siku zile, jua litatiwa giza, na mwezi hautatoa mwanga wake...
  13. kanonb

    Hili ndilo neno la Mungu kwa JamiiForums

    Kumbukumbu la Torati 20:1 [1]Utokapo kwenda vitani kupigana na adui zako, na kuona farasi, na magari, na watu wengi kuliko wewe, usiwaogope; kwa kuwa BWANA Mungu wako, yu pamoja nawe, aliyekukweza kutoka nchi ya Misri. When thou goest out to battle against thine enemies, and seest horses, and...
  14. Bess

    Code ya Mungu

    Imekuwa kawaida kwa watu kuficha ujumbe kwenye codes ili tu ufikiwe na kundi lengwa. Vivyo hivyo Mungu naye hutumia Codes kuwafikia watu wake. Code yake ni Roho wake. Ukiwa naye unafahamu mambo yake, unajua analotaka ufanye, unasikia anachosema wakati wowote na mda wowote. Ni vigumu sana...
  15. Samia atosha tukutane2030

    CRDB Mungu anawaona. Mnatunusisha mahela halafu mnayatoa

    Nadhani ma IT wa CRDB Leo ndio siku ambayo wameona ugumu wa ajira yao. Asubuhi leo watu wameamka mamilionea ghafla jamaa wakachomoa betri kwa kukata baadhi ya huduma.
  16. KING MIDAS

    Tofauti Kati ya Mungu wanayemwabudu Wayahudi na Mungu wanayemwabudu Wakristo na Mungu wanayemwabudu Waislam

    Kwa mtazamo wa Wayahudi (Uyahudi): 1. Mungu kwa Wayahudi ni nani? Wayahudi wanamwamini Mungu mmoja aliye wa milele, asiyeonekana, mwenye nguvu zote, aliyeumba ulimwengu. Anaitwa kwa majina kama: YHWH (Yahweh) – Jina takatifu sana, huwa halitamkwi kwa sauti. Elohim – Linamaanisha “Mungu” kwa...
  17. Setfree

    Jifunze hapa jinsi ya kuwajibu kisomi, wanaosema kwamba Yesu sio Mungu na wala hakufa msalabani

    Huku na kule duniani, kuna watu wanaokiri kuwa Yesu ni miongoni mwa manabii wakuu. Watu hao wanaamini kwamba Yesu alipewa Injili na alifanya miujiza. Hata hivyo hawakubali mafundisho yanayoeleza kwamba Yesu alikufa msalabani na kwamba siku ya tatu alifufuka. Wanasema Yesu sio Mungu na hawakubali...
  18. Samia atosha tukutane2030

    Mambo muhimu 2 ya kuzingatia katika ulimwengu huu wa watu kupenda fedha kuliko kumpenda Mungu

    Kwanini nimeandika Uzi huu? Kuna Uzi mmoja nimeusoma humu na kuna jambo moja wiki iliyopita lilitokea. Jamaa mmoja tulionana kujadili issue fulani ya kibiashara (dili). Jamaa anaona kama namtupa kwenye game akataka kujua kikwazo nini. Nilimweleza jambo la kawaida tu ila jamaa akawa serious...
  19. J

    Majaribu 10 ya Waisraeli kwa Mungu tangu Misri hadi Kanaani

    Majaribu 10 ya Waisraeli kwa Mungu tangu Misri hadi Kanaani Musa ni nani katika safari kutoka Misri hadi Kanaani Musa ni mtu mmoja maarufu zaidi katika Agano la Kale. Wakati Ibrahimu anaitwa "Baba wa Imani" na mpokeaji wa agano la Mungu lisilo na masharti la neema kwa watu Wake, Musa alikuwa...
  20. Setfree

    JF-Expert members - mnaujua ukweli huu? Maneno yote tunayosema na kuandika, Mungu anayarekodi. This is serious!

    Mada hii ni maalum kwa ajili ya JF-Expert members. Kuanzia leo, tambua kuwa maneno unayo-post humu, licha ya kuhifadhiwa na servers za JF, yanatunzwa pia kwenye "servers" za mbinguni. Yesu mwenyewe alisema, “Lakini nawaambia, katika siku ya hukumu watu watatoa maelezo kuhusu kila neno walilonena...
Back
Top Bottom