MuDA was the acronym of the Museum of Digital Art, an art space dedicated to digital arts. The institute was opened in February 2016 in Zurich by the non-profit Digital Arts Association. It closed by the end of June 2020.
Anakataa kila mwanaume wa kawaida kwa maneno ya “Siwezi date mtu asiye na gari.”
- Wewe mwenyewe una miguu ya bure, lakini unataka gari ya mtu mwingine?
Utasikia anasema “Mimi siwezi teseka na mwanaume. Nimejitambua.”
-Toka huko, ulijitambua kwenye TikTok au?
Wanaulizaga “What can you do for...
Mbona watu wa Dar muda wote wako mbiombio? Shida nini hasa?
Ni kama wamekanyaga kaa la moto!
Kifupi imenishangaza sana.
Yaani muda wote watu wa Dar wapo resi. Kila mtu ni fulu mwendo.
Utaona watu hawa wanaingia kwenye madaladala wengine wanaingia shop almradi muda wote watu wapo kwenye...
Makamu wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Taiwan asema kuwa China iko karibu kuivamia, hii inatokana na mitikasi ya China kuizunguka Taiwan hivi karibuni.
Je Taiwan itaweza mzuia China asifanye jambo lake?
China atakubali aibishwa na Taiwan?
Je washirika wa Taiwan watamsaidia?
Katika harakati zetu Rubaba Media kuelimisha na kushauri wakulima na wafugaji kote nchini, tukishitikiana na Koudijs safari yetu ya hivi karibuni ilitufikisha mkoani Mara — hasa maeneo ya Tarime, Nyamongo, na vitongoji vyake. Tulikutana na wafugaji wapya na waliopo tayari waliodhamiria kwa dhati...
Kuna zile moment unakuwa na hela nyingi ghafla halafu ulizimiss kushika mkwanja mrefu sasa kuziacha Katika account NI kama roho hairidhiki unatamani uzishike shike uzioneone yaani uwe nazo karibu cash Tu mambo ya tozo na makato na miamala kwa muda uyasahau.
Sasa kimbembe kinakuja pale sehemu...
Taifa huru linaundw na katiba iliyo bora
Muda wa installation ya new version ya checker unahesabika,hakuna mtu atakaye amini tukio la ajabu toka nia kuundwa na waasisi wenye assigning number one,ambao kete zao zenye assigning number zimeshapigwa,hakuna atakaye amini awe rice promax one ,au...
Pengine baada ya mkeka huu wa leo, utafungua mengi sana tuliyokuwa hatuyajui katika ulingo wa siasa za chama kikongwe,
Tuwe na staha katika kuwasema waliokatwa, kwenye siasa chochote kinaweza kubadilika kwa muda wowote! na wakati usiotarajiwa!
Tuwape muda...pengine ukarasa mpya wa mabadiliko...
Ni jambo la kushangaza sana kuona watu wanaosema kwamba vitabu vya Injili vina makosa, vimejaa contradiction, na haviaminiki — lakini hao hao ndio wanatumia muda wao mwingi kuvisoma, kuvichambua, na kunukuu mistari ya Injili.
Kama mtu haamini kitabu fulani, kwa nini anakisoma kwa bidii kila...
Wabunge wanaomaliza muda wao. Walipambania Chama Enzi za DP World. Tuwarudishe Bungeni kuendeleza 4R
OktobaTUNATIKI
Mshana Jr
Lucas Mwashambwa
Mpwayungu Village
Chuo cha Ulinzi cha Taifa (National Defence College - NDC) kimehitimisha rasmi mafunzo ya muda wa wiki 47 (kuanzia Septemba 2024 hadi Julai 2025), kwa viongozi waandamizi wa Jeshi, vyombo vya ulinzi na usalama pamoja na viongozi wa Serikali, kutoka Tanzania na mataifa mengine.
Mafunzo hayo...
Wale ambao kununua bando kwao ni kipengele kuna VPN ambazo unaweza kuzitumia kama mbadala wa kununua bando.
Kwa wale ambao tuliwahi kutumia VPN kama
1. ursa net vpn
2. biddinet vpn
3. ommanova vpn
4. geo tunnel vpn
Sina shaka nafikiri munaelewa. sasa kuna VPN zingine mbali na hizo...
Kama kurekebisha Katiba yenu jambo ambalo ni kubwa Sana ndani ya mwaka mmoja mmeweza kufanya mara mbili, kwa nini hamtaki kurekebisha baadhi ya vifungu vya Katiba Tanzania pamoja na Sheria za uchaguzi?
CCM inaogopa uchaguzi huru na wa haki kuliko inavyoogopa kifo.
Majeshi majeshi!
VAENI SILAHA ZOTE ZA IMANI KUPIGANA NA YULE MUOVU!
Elewa neno SILAHA ZOTE (MASHINE mpya yesu na analogi za maombi ya sadaka na karamu za zamani katika agano la kale hatuwezi kuzipuuza)
Kama mulivyoona ibada iliyopita wana wa anaki bado wapo na sisi kutufuata fuata!
Muda wa...
Mfano niliwahi kusikia system administrator wa Chuo kazi yake kwa kiasi kikubwa ni kuangalia tu system haina matatizo (Monitoring), Anapata muda mwingi wa kupumzika, anawahi kuondoka na mshahara mzuri.
Yani wakishaseti Server, Database na Network kinachobaki huwa ni kutazama kila kitu kinaenda...
Mwenyekiti wa wa zamani wa NCCR Mageuzi, James Mbatia amesema yanayofanyika na akina Polepole, Gwajima na wengine ni baraka ndani taifa letu, hali inayoendelea kuelekea uchaguzi mkuu ni hatari kwa taifa letu.
ULIMWENGU WA SASA MATUMIZI MAKUBWA NI YA ARTIFICIAL INTELLIGENCE (ROBOT) NOW WHATSAPP KUNA ROBOT MAARUFU KAMA WHATSAPP BOT.
""baadhi ya features zilizopo kwenye whatsapp bot""
1. VIEW STATUS HERSELF THEN JUST NOW 🙄📱Ina uwezo wa kuview status hata ukiwa offline muda wowote.
2. TUMA NYIMBO KWA...
Jinsi ya Kutunza Betri ya Gari Ili Iweze Kudumu Muda Mrefu
Betri ni moyo wa gari lako – bila betri yenye nguvu, gari halitaweza kuwaka wala kuendesha mfumo wake wa umeme. Kutunza betri vizuri ni muhimu sana ili iweze kudumu muda mrefu na kuepuka matatizo yasiyotegemewa barabarani.
1. Angalia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.