mtu

  1. The redemeer

    Mtu na kujitambua

    MTU NA KUJITAMBUA. Watu wengi siku za Leo,wamekuja na shauku ya kutaka kujitambua,je twajua au hatujui maana yake?. Utambuzi wa mtu upo wa Namna nyingi sana. Kuna kujitambua kifikra,Kuna kujitambua kiroho ,Kuna kujitambua kiakili,Kuna kujitambua kimwili nk nk. Sasa ninachotaka kuongelea ni...
  2. youngkato

    Je unafahamu Mteja ambaye ameelekezwa na mtu mwingine ni rahisi kumfanya alipie bidhaa yako kuliko mteja anayekuona direct kwa mara ya kwanza?

    Je unafahamu Mteja ambaye ameelekezwa na mtu mwingine ni rahisi kumfanya alipie bidhaa yako kuliko mteja anayekuona direct kwa mara ya kwanza? Tuangalie the power of Patnership Katika online business Ndio maana mara nyingi huwa tunawatumia watu wengine kuwafanya wapost huduma zetu kwenye...
  3. Miss Zomboko

    Malawi: Kupokea shahada ya Heshima hakumfanyi Mtu kustahili Cheo cha "Profesa" au "Daktari."

    Baraza la Taifa la Elimu ya Juu (NCHE) limewaonya vikali wananchi wa Malawi, likifafanua kuwa kupokea shahada ya heshima hakumfanyi mtu kustahili moja kwa moja kutumia cheo cha "Profesa" au "Daktari." Katika taarifa iliyotolewa jana, NCHE ilisisitiza kuwa shahada za heshima ni tuzo za ishara...
  4. kyagata

    Hivi unapomuomba mke wa mtu number ya simu akakupa anakua na maana gani?

    Wakuu Eti hili jambo la mke wa mtu kugawa number yake ya simu kwa mwanaume asiyemfahamu lina maana gani?
  5. B

    Tafakuri: Hivi mfano hapa Tanzania tuseme kila mtu alie juu ya miaka 18, aende jela kwa makosa aliowahi fanya, jela zitatosha?

    Habarini, Nimewaza kwa mfano itokee system ya kugundua na kuthibitisha makosa yaliyofanywa na watu wote nchini walio above 18, ambayo adhabu zake zimeainishwa kwenye penal code k.v 1)Kufanya mapenzi na wanafunzi 2)Ulawiti/kulawitiwa/sexual indecency 3)Forgery 3)Kuzini na maharimu 4)Wizi...
  6. The Father of All

    Je uliwahi kupenda mtu hadi ukamchukia?

    Pamoja na uzee wangu, wanangu, nina swali dogo. Je umewahi kumpenda mtu, ukamsifu, ukamtukuza, ukajikomba hata kujidhalilisha halafu ukamchukia? Nauliza hivi kutokana na ninayoshuhudia kuhusu wapendwa wanene wetu. Wanasifiwa hata pale wanapopaswa kulaumiwa. Wanadanganywa hadi wanadanganyika...
  7. Money Penny

    Hivi mtu akisema una mashavu mtoto mzuri anakuwa anamaanisha nini, kwenye mapenzi??

    Naomba jibu wanafunzi Na mashavu yenyewe ni haya pembeni ya mdomo au kuna mengine
  8. ELI COHEN

    Miaka 20 iliopita mtu angekuambia kuwa kuna watu Tz hii hawaamini Mungu yupo ungemcheka sana ila sasa idadi imekuwa maradufu. Ipi inaweza kuwa sababu?

    Exposure ktk elimu, sayansi na Tech? Kuathirika na utapeli wa kidini? Exposure ktk Atheism literature? Globalism na World wide sharing? ????????????????????????????????
  9. Lugano Edom

    ZIJUE sababu za kwanini haipaswi kuilinganisha na mtu mwingine?

    Kujilinganisha na wengine kunaweza kuwa na madhara makubwa kwa ustawi wako wa kihisia na kisaikolojia. Hapa kuna sababu kadhaa kwa nini ni muhimu kuepuka tabia hii: * Kila mtu ni wa kipekee: * Kila mtu ana safari yake ya kipekee, yenye nguvu zake na udhaifu wake. * Kulinganisha maisha...
  10. W

    Vitu gani unazingatia unapoanzisha mahusiano na mtu mtandaoni ili kuepuka kutapeliwa?

    Redflags zangu nikijaribu kuwa karibu na mtu ninakutana nae Online: -Akiwa mtu wa kukwepa mkutane au hataki kabisa videocall -Hata hamjazoeana anaanza kukuomba au anataka umkopeshe hela -Mtu anaeniuliza taarifa zangu binafsi, nablock -Naangalia kama taarifa zake ziko kwenye mitandao mingine ya...
  11. R

    Mnyukano ligi kuu ya TRA sio wa kitoto !! kama huna connection hakikisha nje ya uwezo wako umshikilie sana Mungu wako ama urudi kwa babu kujiongeza

    LIGI KUU YA KUWANIA AJIRA ZA TRA Academic officer II= 3/2375 - Atapita moja kwenye kundi la watu 791 Accountant = 2/712 - Atapita moja kwenye kundi la watu 356 Accounts officer II = 12/2894 - Atapita moja kwenye kundi la watu 241 Administrative officer II = 3/2045 - Atapita moja kwenye kundi...
  12. Mohamed Ismail

    Heshimu kila mtu, watu ni walewale - Dotto Biteko

    Anaandika Mo Mlimwengu. Heshima si utumwa ni miongoni mwa hekaya za wahenga. Waliona umuhimu wa heshima kwamba kumuheshimu mtu haikufanyi uwe mtumwa wake, lakini bado wakaongezea kwamba 'Heshima ya mtu ni utu wake' unapoheshimu wengine unajijengengea heshima yako mwenyewe. Naibu Waziri Mkuu na...
  13. Torra Siabba

    CPA Makala kutangazwa kuwa mtu wa Hovyo Tanzania

    Nimeskia Mkutano wa Chadema Huko Mbeya wanasema Ndani ya siku 7 Makala asipoomba radhi kwa chadema kwa kauli yake ya kuwa Chadema wanachangishana ili walete virusi vya Marbug na vingine watamtangaza kuwa mtu wa Hovyo Tanzania. Hii ikoje 😂😂🤣🤣🤣
  14. Scared

    Hivi wakuu inawezekana mtu kuijiandikisha kupiga kura zaidi ya kituo kimoja na mashine ikakubali

    Hivi huwa najiuliza mfano mwaka huu mtu mmoja ujiandikishe zaidi ya kituo kimoja je hii inawezekana na ukapatiwa kitambulisho Mimi naona kama hili jambo haliwezekani sababu Kuna finger print tulikua tunabishana Ili swala na wadau kijiweni wengine wanadai inawezekana wengine wanasema haiwezekani...
  15. Mhafidhina07

    Kuna uwezekano Miaka ijayo mtu akamuozesha mke wake mwenyewe kwa jamaa mwengine

    Naona zipo dalili kwa wanaume kukosa misimamo katika ndoa zao,jambo ambalo linenifanya nifikirie mbali zaidi kwa kuona Tunaweza kuingia katika utamaduni mpya wa ndoa. Wengi wataozesha wake zao kwa sababu za kifedha au kuendeshwa na wake zao ama wazazi. #UziTayari
  16. Choosen85

    Huwa sibembelezi mtu

    Wakuu NO REFORM........NO......👂 Binafsi Sina muda wa kubembeleza mwanamke au mshikaji ukizingua nikakutema ujue ndo imetoka hiyo hasta salamu sihitaji kabisa Hasa wanawake nikimtongoza akazingua mara mbili nafuta namba na kila kumbukumbu yake then naendelea na mambo yangu hasta tukikutana...
  17. ndege JOHN

    Kuwa dalali au mtu wa madini

    Ipo kazi nzuri kati ya hiyo kwa mtu ambaye ana ari ya kupambana kutoboa kirahisi.changamoto ninayoijua Mimi kwenye madini ni kwamba lazima uyajue madini lazima uyajue aidha uyasomee au uzoefu.na hata udalali uwe mzoefu na mwenye NGUVU ya ushawishi MPAka kuachiwa kuendesha mchongo. All in all...
  18. Knock life

    Viongozi wa serikali na watumishi acheni kauli chafu , teknolojia imekuwa kubwa , unamtukana mtu kumbe anakurecord dakika sifuri hauna kazi .

    Hii naongea ili kutoa alert kwa viongozi wote wa serikali na watumishi wa umma. Unamtukana mtu na unampatia huduma mbovu kumbe anakurecord na mwishowe unaishia kufukuzwa Kazi au kusimamishwa. Be alert mtaani ni pagumu ukirudi mtaani unabidi uende VETA ndo ujiajiri.
  19. Faana

    Kipanya: Kila mtu ataweka title yake mwenyewe

  20. P

    Anahitajika mtu wa kuuza kwa kukopesha sabuni za maji

    Anaitajika mtu wa kukopesha sabuni za maji . 1.Target chupa 60 za Lita moja 2.Mshara 150,000 3.Ela ya chakula atapewa kwa siku 2,500 Anaitajika kwa yule aliyetari na anayejua kazi kwa moyo Mawasilino: 0657010002 au tuma CV mazingirapacha@gmail.com.
Back
Top Bottom