Wadau kuna baadhi ya machawa huwa wanadhani kusifia viongozi kwa manufaa yao binafsi hawawezi kupata madhara.
Sasa machawa wa club ya Simba akina kisugu, mzaramo, mwijaku na wengine wanapaswa kuona kama taifa tumeshindwa kukarabati uwanja wa mkapa unakataaje ajenda ya no reforms no election...