mtego

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Its Pancho

    JamiiForums Tanzania Yanga tumeshaingia kwenye mtego wa wachambuzi uchwara tayari

    I salute you kinsmen. Rejea uzi wangu uliopita niliposhauri kuwa tatizo la yanga hasa ni mkurugenzi wa ufundi bwana Moalim aliyeondoka.. Leo najaribu kuelewesha deep sana. Well let's goo. Huyo bwana kitaalamu ni kocha kabisa na ana vigezo vya kusimama kwenye pitch line. Huyu alikuwa na...
  2. Chizi Maarifa

    JamiiForums Tanzania Inawezekana Ile Oktoba 17 Israel ilishirikiana na Hamas wasio waaminifu kufanya ule Mtego

    Ukiangalia Israel ni kama ilikuwa inatafuta sababu iwachape wabaya wake popote walipo. Maana imewachapia Iran, Yemen, Syria, Qatar na sehemu mbali mbali. Yaani ukiwaangalia Hamas na Hezbollah hawana hamu. Iran wameuawa viongozi mle ndani ya nchi yao kama wanavyouawa tu watu wengine sehemu...
  3. Carlos The Jackal

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Vyombo vya Dola, Mna uhakika Samia hatoendelea kuwaingiza kwenye mtego wa matumizi ya Nguvu na Uvunjifu wa Haki za Raia?

    Hili Swali nililiuliza Punde tu Samia alipojiteua kua Mgombea !!. ( Unajua Mtego anaowaingiza Samia, utawafanya Vyombo Dola mnuke Damu za watu, matokeo yake mtajikuta mko Blackmailed, in turn mtajikuta nanyinyi mmeamua kutumia Mbinu za Uovu ili kuendelea kubakia Madarakani, mkiogopa kuchukuliwa...
  4. T

    JamiiForums Tanzania Makubaliano kati ya DRC na Rwanda, bado kama mtego tu

    You neutralize the FDLR, Rwanda lifts its defense measures. As for the M23, there is the Doha process between Kinshasa and the M23. Kwa miaka kadhaa, inasemekana FDLR walishaingizwa kwenye jeshi la DRC. Na intelligensia ya Rwanda, inazo taarifa kamili na majina. Rwanda inadai kwanza, FDLR...
  5. Nikola24

    JamiiForums Tanzania Leo nimeamini barabara ya coco beach ni mtego wa kifo (death trap)

    Habari za jioni ndugu na dada zangu Naandika haya nikiwa nimenusurika kufa jioni hii hii wakati navuka barabara kwenda coco beach Niseme tu barabara ile ina makosa ya kiusakama.Barabara haina hata tuta moja ,Iko flat mwanzo mwisho. Matokeo yake magari yanayopita pake ni kama yanashindana...
  6. Solo Traveller

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Huu ni mtego au mthiani?

    Nimemtongoza mdada mmoja At the first time alinikataa akasema tayari ameolewa Sikukata Tamaa mara ya pili tena nimemtongoza amesema ana mimba. Nikamuuliza mimba ya nani akasema mwenye mimba amekataa.. Kwa kumpima tu nikasema ntalea mimba Fanya mtoto awe wangu. Akasema sawa na amekubali Ila...
  7. Komeo Lachuma

    JamiiForums Tanzania Marekani na Marafiki zake wameishaingia kwenye Mtego wa Iran. Hakuna rangi wataacha kuona

    Iran ilikuwa inafanya kusudi kuruhusu ndege za israel zinazoendeshwa na mademu ziingie kuua viongozi wake na kulipua maeneo ya silaha. Ilikuwa ni makusudi ili Marekani waingie mtegoni. Israel wameharibu sana silaha za Iran. Na maeneo mengi kwa kupiga kimkakati. Si sababu Iran haiwezi zuia. Ila...
  8. Komeo Lachuma

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Yanaandaliwa Mazingira ya kufungia Mikutano ya 'No Reforms, No Election'. CHADEMA msiingie kwenye mtego

    Kuna watu wanatumwa waje wasababishe hawa ghasia au sami fujo katika mikutano yenu. Mkijidai kulala nao sambamba police wataingilia na kuwatandika kisawa sawa. Kisha next time mtanyimwa vibali vya kufanyia mikutano. Nawapa hili angalizo maana ni habari za ndani kabisa kutoka kwa mmoja ya...
  9. J

    JamiiForums Tanzania Tanzania Yatumbukia Rasmi Kwenye Mtego wa Udini

    Kwa macho ya kawaida, Tanzania inaonekana shwari. Lakini kwa waliopasua pazia la unafiki, hali si ya kawaida tena. Udini umejitokeza waziwazi, tena kwa ushawishi wa kutisha. Mawaidha ya Eid mwaka huu yameacha majeraha ya kihisia kwa baadhi ya viongozi wa dini nyingine, waliodai kuwa wamepingwa...
  10. Solo Traveller

    JamiiForums Tanzania Nawezaje kujinasua kwenye huu mtego?

    Wakuu natumia account ya Crdb bank, na hiyo account nilitumia kuomba mkopo kwaiyo Huwa wanakata moja kwa moja mara baada ya hela kuingia. Sasa Kuna mtu anataka kunitumia hela kwa account hiyo nawezaje kukwepa hela isikatwe?? Mana inakatwa na mfumo nitumie njia gani hela hii isikatwe na mfumo...
  11. H

    JamiiForums Tanzania Jinsi ya Kuepuka Huu Mtego Unaozidi Kutafuna HELA za Vijana Wengi .... Hadi Mafao ya Wazee Wetu Hayajasalimika Kwenye huu Mtego

    Mtego Huu Si Mwingine ni Huu Hapa Chini . Ni uwekezaji wa kitapeli (Ponzi schemes) . Ponzi scheme Nini utauliza?? . Well, Ponzi scheme ni mfumo wa kitapeli ambapo watu wanaahidiwa faida kubwa, ya uhakika (guaranteed) na risk yake ni ndogo, . hali hii inayowafanya wengi kuvutiwa na kuweka fedha...
  12. Mlalamikaji daily

    JamiiForums Tanzania Pamoja na kuruhusiwa watu kwenda kusikiliza kesi ya Lisu : chadema kuna mtego wametegewa! Ngoja niwasanue sasa

    Kama mlivyosikia mahakama hatimaye dakika za jioni kabisa imekubali hoja za mawakili wa Lisu .. Sasa iko Hivi.. Serikali na Sisiemu sio wajinga kukubali mpira uende kati kizembe. Wanakuja na plan B... Kumbuka katika zile amri za mahakama pia ipo ile ya kuwa watulivu na kutofanya fujo aina...
  13. T

    JamiiForums Tanzania Nilivyonasa kwenye mtego wa simu za mkopo

    Baada ya simu yangu ya tecno kuharibika sikuona haja ya kupoteza hela kuipeleka kwa fundi kwa sababu nilikuwa nimeitumia kwa miaka mitatu hivyo nikaona ni bora tu nikatafute simu nyingine mpya ya kutumia...
  14. Fbn

    JamiiForums Tanzania Kuelekea uchaguzi na kupandisha mishahara kwa walimu ni kama mtego 2025

    Mambo yanapoelekea ni kama kuchanganyikiwa kwa Rais kulazimisha kukubali kuwa CCM ni tatizo na yeye ni tatizo. Walimu wamedai haki yao muda mrefu ila kama yakipuuzwa sasa wakaona wakifanya hivi kwa kuwa ndio wanakuwa kwenye uchaguzi wamuunge mkono kwenye magoli ya mkono.
  15. Jidu La Mabambasi

    JamiiForums Tanzania Rais, hili la Lissu umeingia mtego, ilitakiwa uendelee kuwa mvumilivu

    Wana CCM tuna ile kitu wakati mwingine tunaita mob psychology. Tunaamua mambo kwa kuyaficha chini ya carpet , tukitegemea yataindoka yenyewe. Kusafisha makosa ya kisiasa inakuwa ngumu sana. Mwalimu aliwahi kufungua mkutano mkuu wa CCM kwa kauli mbiu TUJISAHIHISHE. Sasa anapotokea kinyangarika...
  16. Dialogist

    JamiiForums Tanzania CHADEMA kwenye mtego mkubwa mwingine...

    Namfatilia Hapa Mkurugenzi wa Tume Ya Uchaguzi, iNEC Bwana Ramadhan Kairima, live kupitia UTV, anasema kesho ni siku ya kusaini kanuni za maadili ya uchaguzi, Na Kwamba Kama Kuna Chama Hakitashiriki Kwenye Kusaini Basi Hakitapata Nafasi Ya Kushiriki Uchaguzi Huo.. Hii Ni Kwa Mujibu Wa Kanuni Ya...
  17. eli -DEFIANT- cohen

    JamiiForums Tanzania VIDEO: Jamaa kashtuka saa nane usiku dali limefungulia na panya mkubwa kaingia chumbani kwake.

  18. E

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Hivi ndivyo CHADEMA yaweza kujinasua kwenye mtego wa kupasuka

    Ni wazi kwamba mambo si shwari ndani ya Chadema. Hiyo ni kutokana na kuibuka kwa kundi la G55 linalohusisha makada wa chama hicho wakipinga kampeni ya No Reforms No Election inayoendelea. Kwa mujibu wa msemaji wa kundi hilo linalojiita la watia wa kugombea ubunge na udiwani, John Mrema amesema...
  19. K

    JamiiForums Tanzania Chama cha Mapinduzi Tuepuke Kunasa kwenye Mtego wa Chadema Siku ya Uchaguzi.

    CCM tusije tukanasa kwenye mtego ambao Chadema wanauandaa.Wao wanataka wapiga kura wasijitokeze kupiga kura siku ya uchaguzi. Lakini wanataka kuhamasisha maandamano nchi nzima kama kampeni ya kuzuia uchaguzi hiyo siku ya uchaguzi. Ikitokea vyombo vya ulinzi na usalama vimesambazwa kuzuia...
  20. figganigga

    JamiiForums Tanzania Panya wa Kichina wamevamia Dar es Salaam. Hawali sumu yao pia wanajua mtego. Serikali itusaidie

    Kuna panya wamevamia Jiji la Dar Es Salaam. Hawa panya hata uwatege kwa sumu ya panya hawali. Wanajua mitego yote ya panya. Na ukimfuata bila tahadhari anakurukia kukung'ata. Huwezi kuwanasa labda uwapige na nyundo au fimbo. Inadaiwa ni panya wa Kichina na Wametoka China. Wanapiga kelele...
Back
Top Bottom