mtandaoni

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. hungary

    JamiiForums Tanzania HUDUMA YA AFYA MTANDAONI

    Karibu Dr'sonline polyclinic Online Clinic – Huduma za Afya Mtandaoni, Haraka na Salama Karibu kwenye kliniki ya kisasa ya mtandaoni inayokupa huduma bora za afya ukiwa popote ulipo. Kupitia simu au mtandao, unapata ushauri wa kitabibu, vipimo, na dawa bila kulazimika kufika hospitalini...
  2. Heritage123

    JamiiForums Tanzania Jinsi ya Ku-Automate Biashara Yako ya Mtandaoni ili Upate Mauzo Bila Kuwa Mtumwa wa Simu Kila Siku

    Jinsi ya Ku-Automate Biashara Yako ya Mtandaoni ili Upate Mauzo Bila Kua Mtumwa wa Simu Kila Siku Utangulizi Karibu kwenye zama mpya za biashara za mtandaoni, ambapo teknolojia inaweza kufanya kazi kwa niaba yako 24/7 — hata ukiwa umelala! Ikiwa umechoka kujibu inbox kila saa, kufuatilia malipo...
  3. excel

    JamiiForums Tanzania Kwanini JF hamkopi kwenye App za mtandaoni?

    Nawashangaa sana. Kuna Hela Huku halafu nyie mmelala tu hadi mnataka kujiua sababu ya ugumu wa maisha. Sajili Line Mpya kabisa kisha itumie ku download Hela
  4. R

    JamiiForums Tanzania Kupotea kwa Mdude: Tuhuma za kuhusika kwa Askari katika kupotea kwa Nyagali, Uchunguzi mkali waanza, kikosi chatumwa, kutoka mtandaoni

    1. Huyu askari most likely hakuwa na ugomvi binafsi na Mdude, , alikuwa anafanya aliyotumwa na wakubwa. Sema ilibidi ajiongeze "asimuue" hata kama alipata amri hiyo! 2. Hizi ni drama tu hakuna lolote la maana litakalofabyika kumpata Mdude 3. Most likely by 1,000,000,000% he is dead... machozi...
  5. S

    JamiiForums Tanzania Mbinu za kujificha mtandaoni na kwa social media

    Hizi ni mbinu za kuficha ID yako: 1. Tumia VPN (Virtual Private Network) kila mara Inaficha IP address yako halisi. Inaifanya shughuli zako zisifuatiliwe kirahisi. VPN nzuri: NordVPN, ProtonVPN, ExpressVPN. 2. Tumia Browser ya TOR Huficha utambulisho wako kwa kuzungusha mawasiliano yako...
  6. Papaa Mobimba

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Waziri Bashungwa: Serikali kuwasaka waliosambaza Waraka feki wa TEC, Waliomshambulia Fr Kitima na aliyesema "siku za Kitima zinahesabika"

    Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Innocent Bashungwa amelaani vikali tukio la kushambuliwa kwa Katibu Mkuu wa Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania (TEC), Padre Dkt. Charles Kitima na kuliagiza Jeshi la Polisi kumtafuta na kumhoji mtu aliyeandika kwenye mitandao ya kijamii kuwa "siku za Kitima...
  7. Tanzanian kid

    JamiiForums Tanzania Fursa za biashara mtandaoni kwa wajasirimali vijana

    Kuongezeka kwa Biashara Mtandaoni: Fursa kwa Wajasiriamali Vijana Katika dunia ya sasa, mitandao ya kijamii si mahali pa kupoteza muda tu—ni sehemu ya kujenga maisha bora. Vijana wengi wanaanza biashara zao mtandaoni kwa kutumia simu tu na akili ya ubunifu. Huhitaji duka, huhitaji mtaji...
  8. Allen Kilewella

    JamiiForums Tanzania Jessica Magufuli: Nilipata taarifa za kifo cha baba kupitia mitandao ya kijamii

    Akihojiwa kupitia Ayotv mtoto wa Hayati John Magufuli , Jessica Magufuli, amesema kuwa taarifa za kifo cha baba yake alizipata wakati huo akiwa Dodoma kupitia mitandao ya kijamii kama watanzania wengine walivyopata.
  9. Genius Man

    JamiiForums Tanzania Kwanini Tundu Lissu hakukamatwa kimtandao kama kesi ni ya mtandaoni ?

    Jengo la mahakama tunalo na nafasi ipo tele ya kutosha ya kuingia wanasheria na mthumiwa na watu wengine, sasa kuna sababu gani za kesi kuendeshwa mtandaoni kwani mahakama imefurikwa na mafuriko ? au jengo lime waka moto au kuyayuka ? Kama kesi ni ya kimtandao kwanini Lissu asikamatwe mtandaoni ?
  10. FestoKaguo

    JamiiForums Tanzania App tano unazotakiwa kuwa nazo kama mfanya biashara

    Kama wewe ni mmiliki wa biashara ndogo, kuna apps ambazo ni lazima uwe nazo kwenye simu yako. App hizi zinaweza kukuokolea muda, kukuongeza ufanisi wa kazi pamoja na kukurahisishia maisha ya kila siku kwenye biashara yako. Nakuwekea list ya app hizi tano ambazo hautakiwi kuzikosa kabisa...
  11. N

    JamiiForums Tanzania Watanzania zaidi ya 5500 live mtandaoni mda huu kufuatilia chama makini Tanzania (CHADEMA)

    Habarini za mchana wana jamvi.... CDM inaonekana kukonga mioyo ya watanzania wengi ambao wamechoka na ufedhuri na dhuruma ya CCM. Hii ni dalili njema kwamba kumekaribia kupambazuka, tuendelee kumwomba sana Mungu wetu wa haki. Simba wa nyika Tundu Lissu na Heche kila waungurumapo CCM inapagawa...
  12. Poluyakhtov

    JamiiForums Tanzania Ushahidi kuhusu kampuni za mikopo mtandaoni

    Habari wana JF, Ngoja nisonge kwenye mada, kwa kipindi cha miezi ya hivi karibuni nilikumbwa na changamoto iliyohitaji fedha ya haraka. Basi katika pita pita zangu nikaangukia kwenye kampuni za mkopo mtandaoni ambazo ni PesaX pro na Zimacash. Nilikopa na kulipa kwa wakati. Baada ya hapo...
  13. M

    JamiiForums Tanzania Mwandishi wa Star Tv, Aloyce Nyanda aamriwa kumlipa fidia DED Tsh bilioni 2 kwa udhalilishaji wa mtandaoni

    Mahakama ya Hakimu Mkazi Mkoa wa Mwanza imemhukumu Mwandishi wa habari kituo cha runinga cha Star Tv, Alocye Nyanda kulipa faini ya Sh 2 bilioni baada ya kutiwa hatiani kwa kosa la kufanya udhalilishaji wa kimtandao. Hukumu hiyo iliyosomwa leo Aprili 11, 2025 na Hakimu Mkazi Mwandamizi Mkoa wa...
  14. Maleven

    JamiiForums Tanzania Malipo ya mtandaoni kwa tanzania ni pasua kichwa sana

    Nilikua nafannya malipo ya game, sasa kutoka na uizi mtandaoni, wanakata kwanza pesa kidogo, kisha unatakiwa kuingiza hicho kiasi cha pesa kilichokata kuthibitisha kweli ndio mmiliki wa hiyo kadi. Sasa kimbembe kimekuja, wao wamekata salio kwa usd, ila kwenye kuweka kiwango unachagua sarafu...
  15. W

    JamiiForums Tanzania Kwanini utumie "Hashtags" unachapisha Maudhui Mtandaoni

    Kutumia hashtag vizuri ni kama viungo kwenye mitandao ya kijamii, vinaweza kuongeza ladha na kusaidia maudhui yako kufikia hadhira yako na kuwafikia watu wengi zaidi. Hii itakusaidia kuongeza wafuatiliaji "Followers" wapya na kurahisisha upatikanaji wa maudhui yako kwa urahisi. Kutumia...
  16. Samia atosha tukutane2030

    JamiiForums Tanzania Kama unatafuta pesa kwa njia za analojia umaskini uko mlangoni kwako.Pesa ziko mtandaoni.

    Kama unataka utumie nguvu zako au jasho lako kupata utajiri sahau. Kama kazi yako kusafiri na mizigo kutoa hapa kwenda kule sahau utajiri. Kama unataka ukalime mpunga sahau utajiri. Pesa ziko online. Waache walime wewe tumia mitandao kuuza hayo mazao yao . Usihangahike na mikorokoro, . USIKAE na...
  17. contask

    JamiiForums Tanzania Kama ni mwanaharakati wa fedha za mtandaoni hutakiwi kukosa hivi vitu

    Habari wakuu Kama kichwa kinavyojieleza vitu hvyo ni kama vifutavyo ✅Good profile ✅Goodsite kama vile upwork,fiverr na zingineezo ✅Skills ✅Mullavid VPN ✅Tor browser ✅Crypto wallet kama vile binance ✅burner phone ✅Proxy 5 ✅Good OPSEC ✅RDP ✅Cc cleaner Vingine tuendelee kuvishusha kwenye comment...
  18. F

    JamiiForums Tanzania Inaumiza sana mzazi kusomesha mtoto degree ya udaktari, ajira hapati anaishia kuwa muuza pafyumu kwa kucheza cheza mtandaoni wateja waone bidhaa

  19. Robert Heriel Mtibeli

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Vijana mjifunze Kutongoza. Mmenisikitisha Sana kwa waliomfuata Binti Kimoso. Mbinu za kutongoza Mwanamke mtandaoni ni hizi;

    Habari za Jumapili! Hatukatai nanyi ni wanaume mnapenda wanawake wazuri Sana. Hatukatai wanaume tumeumbwa kuwajaribu wanawake kuona yaliyomo yamo na anamsimamo au Hana! Kama mwanaume kutongoza kupo damuni. Sisi Watibeli hatuzuii wake zetu au wachumba zetu kutongozwa kwa Sababu kuu mbili...
  20. W

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Vitu gani unazingatia unapoanzisha mahusiano na mtu mtandaoni ili kuepuka kutapeliwa?

    Redflags zangu nikijaribu kuwa karibu na mtu ninakutana nae Online: -Akiwa mtu wa kukwepa mkutane au hataki kabisa videocall -Hata hamjazoeana anaanza kukuomba au anataka umkopeshe hela -Mtu anaeniuliza taarifa zangu binafsi, nablock -Naangalia kama taarifa zake ziko kwenye mitandao mingine ya...
Back
Top Bottom