ni gereji ya mtaani, sio kubwa sana, ni ukubwa wa kiwanja cha nyumba
hivi karibuni nimejua mmiliki moja wapo wa hizi hereji ana maisha mazuri tu, watoto wake wanasoma shule private, ana nyumba mbili, gari prado na mke wake anayo ya kawaida, n.k.
nilikuwa nazichukulia gereji kawaida sana