Kubwa la Maadui
JF-Expert Member
- Aug 13, 2019
- 7,915
- 15,652
Nilienda dukani kununua mahitaji ya hapa na pale leo wikiend, mara pap kapita boda kapakiza dada anamzigo kama wote, ghafla nikasikia wamama wauza vitafanwa na supu wanasema " YALE MAKEBO YATAVUNJA SPRING ZA BODABODA"
Nikatoka pale nacheka sana moyoni kwahyo huu msemo wa Makebo ushakua serious hivi?
Jumapil njema ndugu zetu walokole
Nikatoka pale nacheka sana moyoni kwahyo huu msemo wa Makebo ushakua serious hivi?
Jumapil njema ndugu zetu walokole