Nchi mpya inaweza kuundwa ndani ya shirikisho la nchi za Afrika mashariki.
Shirikisho la Afrika Mashariki, ni muungano unaopendekezwa wa nchi sita wanachama wa Jumuiya ya Afrika Mashariki kuwa nchi moja ya shirikisho ifikapo 2023.
Mataifa haya saba yatakuwa Burundi, Kenya, Rwanda, Sudan...