Mkuu wa mkoa wa Mbeya Albert Chalamila, amesimamia zoezi la kubomoa nyumba ya Atony Lyuba mkazi wa Kata ya Inyala, Halmshauri ya Wilaya ya Mbeya, baada ya kukaidi agizo la kubomoa kwa hiari nyumba yake.
Mkuu wa mkoa wa Mbeya, Albert Chalamila.
Uamuzi wa RC Chalamila, ulitokana na Lyuba...