Algiers, Algeria – Julai 17, 2025
Naibu Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Mhe. Geophrey Mizengo Pinda (Mb), ameiwakilisha Tanzania katika Mkutano Mkuu wa 44 wa mwaka wa Taasisi ya Shelter Afrique, uliofanyika jijini Algiers, Algeria kuanzia Julai 15 hadi 17, 2025.
Mkutano huo wa...