GTs,
Wananzuoni, Great thinkers, eleweni adui yetu pamoja ni huyu mwenyekit wetu ambaye hakuchaguliwa na wala hakupigiwa kura na kamati kuu, hivyo hata sisi wana CCM hatumtambui na kura hatukumpigia kabisa.
Tunaomba tuelewane sisi siyo adui wa watanzania na wala siyo adui wa GEN Z, bali...