KUNI NA MKAA HUSABABISHA VIFO VYA GHAFLA
Na Mwandishi wetu
Musoma, Mara.
Waziri wa Nishati, Mh. January Makamba akiwa kwenye siku ya kwanza ya ziara inayolenga kuhamasiha matumizi ya nishati safi nchini mkoani Mara, alipata wasaa wa kuzungumza na Daktari wa Magonjwa ya Ndani, Dkt. Mary Mahenge...