JOTO LA MOTO
JF-Expert Member
- Apr 11, 2018
- 758
- 551
Habari nyote. Mimi ni Mjasiriamali na hivi karibuni nimeanzisha shughuli ya kuzalisha Mkaa mbadala kwa kutumia unga wa mbao, chenga za mkaa na makaratasi.
Nahitaji Mtu au Watu wa kushirikiana nao, ikiwezekana Mtu Mwenyeji au aliye na wenyeji maana mimi sio Mwenyeji sana hapa Dar.
Ninaamini kukiwa na uzalishaji mzuri soko lipo maana Dar ina wakazi wengi...nimeshaanza uzalishaji mdogo mdogo, hivyo Mshirika akisaidia kupata eneo kwa ajili ya kuzalisha na kuanika kwa wingi itakuwa jambo jema.
Nahitaji Mtu au Watu wa kushirikiana nao, ikiwezekana Mtu Mwenyeji au aliye na wenyeji maana mimi sio Mwenyeji sana hapa Dar.
Ninaamini kukiwa na uzalishaji mzuri soko lipo maana Dar ina wakazi wengi...nimeshaanza uzalishaji mdogo mdogo, hivyo Mshirika akisaidia kupata eneo kwa ajili ya kuzalisha na kuanika kwa wingi itakuwa jambo jema.