mitandao ya kijamii

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. A

    PreGE2025 Je mitandao ya kijamii inalaghai vyama pinzani?

    Je nitakuwa nipo sahihi au nitakuwa nimepotoka? Nikisema mitandao ya kijamii inatudanganya sisi vyama pinzani Maana ukiaangalia tunavyopata uungwaji mkono mitandaoni ni tofauti na kwenye maisha ya uhalisia uku mtaani wananchi wengi hawana muamko wala uelewa wa mambo ya nchi yanavyokwenda wao...
  2. LIKUD

    Video : Popoma anazidi kutrend kwenye mitandao ya kijamii

    Watu wa kanda ya ziwa huwa nawakubali Sana jinsi wanavyo ongea. They are so funny. Check video ya huyu popoma kutoka kanda ya ziwa inavyo trend. Tunasubiri interview kama Abass Chionda.
  3. Carlos The Jackal

    TCRA mpo kweli Nchi hii? Mnaachaje Watu wanazungumza public Ngono kinyume na maumbile kama jambo linalofaa Ndani ya Jamii namna hii ?

    Kwann mnaacha Hawa watu wenye umaarufu ,wautumie Umaarufu wao kueneza habari zinazomomonyoa Maadili namna hii?. Nini hii?? Kwanini akili zenu na Focus zote zimemtazama LISSU kasema nini mtandaon ?. Kwanini hamlindi watoto ?? Kuna ugumu gani wa kuwalinda watoto dhidi ya unyanyaji wa kiakili...
  4. B

    Kwanini ni rahisi kwa wadada wengi ku-post mtandaoni marafiki zao wa kike, kuliko ku-post wachumba zao au hata waume zao?

    Habarini, Kuna hii ishu nime-observe kwenye online status za wadada wengi za Whatsapp na insta.. Naweza sema 80% ya wadada ninaofahamiana nao kikazi, waki-post watu, sana sana wana-post rafiki zao wa kike kwenye Whatsapp status, unakuta wanapost wanapata dinner na rafiki zao wa kike kwenye...
  5. Muimba SINGELI

    Kumbe ndiyo maana mastaa wengi husema hawajibu ujumbe kwenye peji zao katika mitandao ya kijamii

    Ni masiku machache tu nimeanza kuweka maudhui katika mitandao ya kijamii, lakini napokea jumbe za wadada hadi naogopa. Nilikuwa na account ya FB muda mrefu tu ambayo ina jina linalo endana na maudhui yangu japo Nilikuwa natumia kikawaida tu, ina marafiki kibao ambao tunafahamiana. Baada ya...
  6. Mr Why

    Nashindwa kumwelewa Mwamposa kwa kauli yake ya kutaka Serikali ichuje maudhui ya Mitandao ya kijamii

    Bado nashindwa kumwelewa Mwamposa kwa kauli yake ya kutaka Serikali ichuje maudhui ya Mitandao ya kijamii Ni kazi gani hii ambayo haijawahi kuonekana tangu dunia iumbwe? Unawezaje kuchuja maudhui yote yanayochapishwa mitandaoni? Ni binadamu wa aina gani ambao hawajawahi kuonekana duniani...
  7. Cute Wife

    PreGE2025 Serikali acheni kumtumia Mwamposa kutafuta uhalali wa kudhibiti na kufungia mitandao ya kijamii

    Wakuu, Sasa mnaanza kumtumia tapeli Mwamposa kutafuta namna ya kufungia mitandao ya kijamii! Eti watanzania waanze kutumia mitandao ILIYOPIMWA! Mnataka kupitisha agenda ya kuanza kuchunguza watu na kudhibiti mambo ambayo watu wanaona! Eti watanzania waanze kutumia mitandao ya kijamii ambayo ni...
  8. U

    PreGE2025 Mwamposa ataka Mitandao ya Kijamii idhibitiwe. Adai inafanya watu kuwa wavivu

    Muhubiri wa Kanisa la Arise and Shine International, Boniface Mwamposa, amesema Watanzania wanapaswa kubadilisha mtindo wa maisha na kuachana na uvivu unaowafanya kupoteza muda mwingi kwenye mitandao ya kijamii badala ya kujikita katika maendeleo. Akihubiri leo Jumapili kanisani Mwamposa...
  9. Chibike

    Vijana wa kileo acheni kuweka weka picha na video zenu mitandaoni, usije ukapatwa kama yaliyompata huyu binti

    Utangulizi Vijana wa kileo wanaita utandawazi...kwa kijana wa kileo aidha awe binti ama mwanaume, ukifungua simu yake, asilimia 98 kama hutakuta Wana apps hizi maarufu za kujianika mitandaoni kama Facebook, TikTok, Snapchat, na apps zingine za kutafuta wapenzi mitandaoni, humo wenyewe ni...
  10. Nikifa MkeWangu Asiolewe

    Wanawake huwa mnajisikiaje ku-Edit picha zenu kisha kuzituma kwenye mitandao ya kijamii hali ukijua siyo halisi?

    Kwenye mitandao ya kijamii zimejaa picha za wadada wengi ambazo si halisi!! Mimi Nina ndg zangu wa kike kwenye ukoo ukimuona mtandaoni na picha zake halafu ukutane nae live lazima ukimbie. Picha nyingi zimejaa filter editing za kutosha kiasi kwamba mtu anageuka kuwa mrembo wakati siyo. Jambo...
  11. S

    Kwanini contents nyingi katika Mitandao ya kijamii ni ya kuhamasisha ngono?

    Katika Videos kumi utaka-zoplay either FACEBOOK, INSTAGRAM e.t.c, Saba katika videos hizo ni za kuhamasisha ngono. Je, Ni kuwa watu wamewekeza sana katika ngono. Karibuni tujadili hili Wanajamiiforums wenzangu.
  12. Davidmmarista

    Dalili za Mtu Mwenye IQ Ndogo Kwenye Mitandao ya Kijamii na Jamii kwa Ujumla – Je, Utamjuaje?

    Habari wadau wa JamiiForums, Katika dunia ya sasa, tunakutana na aina nyingi za watu kwenye mitandao ya kijamii na jamii kwa ujumla. Wengine ni wasomi, wengine wamepitia changamoto mbalimbali za maisha, lakini cha kushangaza ni kwamba hata mtu aliyesoma anaweza kuonyesha dalili za IQ ndogo...
  13. Stephano Mgendanyi

    Tauhida Gallos: Vijana Tumieni Vizuri Mitandao ya Kijamii Kujiingizia Kipato

    Mbunge wa Viti Maalum Mkoa wa Magharibi, Mhe. Tauhida Gallos Nyimbo akiwa Wilaya ya Magharibi A tarehe 06 Machi, 2025 amewataka Wazazi na Walezi kuwashajihisha Vijana wao kutumia vizuri mitandao ya kijamii ili kujipatia kipato. Mbunge Tauhida Gallos Ameyasema hayo mara baada ya kukabidhi...
  14. Chris Lukosi

    Itumie mitandao ya kijamii vizuri iwe ajira kwako

    Ndugu zanguni Ni muda sasa sijapost humu kwani nimekua bize sana na kazi Nimekua nikiona na kusikia vijana wakilalamika sana kuhusu ajira. Napenda kuwajuza tu kua moja ya ajira ambazo huhitaji kutuma maombi wala elimu ni kuitumia mitandao ya kijamii kama ajira Mimi nadhani wengi mnanifahamu...
  15. Fbn

    Mitandao ya kijamii (social network) kwa dunia ya sasa inalipa watu kwa maudhui ya wateja kwa nini jamiiforum wasiingie.

    Ili kupata watumiaji wengi mitandao ya kijamii imekuwa ikivutia watu wengi kwa malipo ya maudhui na idadi ya wafuasi waliopo kwenye maudhui. Kutokana na sisi kulala na yeye jamiiforum kuzidi kuchuma kwetu maudhui bila malipo kutungwe sheria ili kulipwa kwa wanaotoa maudhui. Yeye anafaidika na...
  16. Tlaatlaah

    PreGE2025 Unadhani kwanini vijana wengi wanasiasa, hususan wa CHADEMA, hukosa ujasiri kujitambulisha field kuliko kwenye mitandao ya kijamii?

    Je, huwa wanajua na wanafahamu kabisa kwamba hawaaminiki, hawaelewekagi wala hawakubaliki mbele ya wananchi? Nini kifanyike kuondoa unyonge huo wa wanachama wa chadema hasa wakiwa mitaani bila viongozi wao? Na kipi hupelekea vijana hao kupata mihemko na makasiriko ya kiwango cha kurusha ngumi...
  17. Dalton elijah

    DOKEZO Je, ni sahihi kwa wamiliki wa Night Club kurusha picha au video za wateja wao kwenye Mitandao ya Kijamii?

    Kwa Miaka Ya Hivi Karibuni Kumeibuka Wimbi Kubwa La Wamiliki kuchapisha Picha Au Video Za Wateja Wao Katika Mitandao ya Kijamii Hali Ambayo Kwa Namna Moja Sio Nzuri Kwa Baadhi Ya Wateja. Unaweza Kwenda Kwenye Baadhi ya Kumbi za Starehe Kipindi Ukipata Kinywaji Iadara Ya masoko Na Habari Wao...
  18. Mindyou

    Wanasiasa na Wakurugenzi hamtumii mitandao ya kijamii ndo maana Gen Z wanaishia kuwaona kina Gigi Money na Baba Levo kama Role Models wao

    Wakuu, Juzi umeme ulikuwa umekatika kwangu, ikabidi niende kwa jirani yangu kupoteza muda kidogo nikisubiri umeme urudi. Jirani yangu (anaelekea utu uzima) ana watoto 3. Mmoja yuko nursery na hao wengine wawili wapo shule ya msingi. Wakati nimekaa pale nikawa napiga story mbili tatu na wale...
  19. Mkalukungone Mwamba

    PreGE2025 Mwenyekiti wa Kampeni ya Mama asemewe awaagiza Wanavyuo Kutumia Mitandao ya Kijamii Kueleza Mafanikio ya Serikali ya Awamu ya Sita"

    Mwenyekiti wa Kampeni ya *Mama Asemewe, Ndugu Geofrey Kiliba, amewataka wanavyuo kote nchini kutumia mitandao ya kijamii na elimu zao kueleza mafanikio makubwa ya Serikali ya Awamu ya Sita chini ya Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan. Soma Pia: Pre GE2025 - Kuelekea Uchaguzi 2025: Vijana tunafanya...
  20. Kabende Msakila

    Kufanya kura za maoni mtandaoni kwa kulinganisha wanaosemwa kugombea URAIS nchini Tanzania ni makosa?

    Team; Salaam! Sheria ya mitandao ya kijamii na Sheria zingine zinasemaje kuhusu kura za maoni kwa wamaotajwa kugombea URAIS mwaka 2025? Kama itakuwa kitu kinachoruhusiwa kufanyika basi ningeomba Hashim Rungwe Spunda; Zitto Zuberi Kabwe Tundu Antipas Lissu Dkt Samia Suluhu Hassan Ibrahim...
Back
Top Bottom