mitaani

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Erythrocyte

    JamiiForums Tanzania Wananchi kuweka Mageti ya ukaguzi mitaani ni ishara ya kushindwa kwa Jeshi la Polisi

    Sasa hivi maeneo mengi ya Mkoa wa DSM wananchi kwa umoja wao wameamua kuajiri walinzi binafsi na kuweka Vizuizi vya ukaguzi kwenye mitaa, ukifika kigamboni au Mbezi Beach ni lazima wenyeji wako wathibishe ujio wako mbele ya walinzi , vinginevyo utaishia njiani . Pamoja na pongezi hizi kwa...
  2. Nyankurungu2020

    JamiiForums Tanzania Kuna shida kubwa ya maji Chato. Waziri Kalemani hajali kitu, anachojali ni kusambaza taa za mitaani

    Kama kuna waziri anayepwaa katika uongozi basi ni Dk Kalemani. Maana hana maono ya uongozi. Kiongozi mwenye busara utasambaza taa za mitaani huku wananchi hawana uhakika wa kupata maji? Yapata wiki sasa maji hayatoki mambombani, yakitoka yanatoka usiku kidogo tu. Kama mbunge kwa nini hautatui...
  3. M

    JamiiForums Tanzania SoC01 Mbinu Endelevu za Kuwaondoa Ombaomba Mitaani na Kuwafanya Wajitegemee kwa Kipato

    UTANGULIZI: Kwa muda mrefu kumekuwapo na wimbi la ombaomba katika miji na majiji nchini kwetu. Pamoja na serikali kuchukua hatua mara kadhaa kuwaondo ombaomba hawa lakini tatizo limekuwa likijirudia kila wakati na kubakia kuwa tatizo sugu lililokosa ufumbuzi endelevu. Pengine ni kutokana na...
  4. B

    JamiiForums Tanzania Je kuna usalama kwa mlaji kwenye mbogamboga tunazonunua mitaani na sokoni?

    JE, MAJI WANAYO TUMIA KUMWANGILIZIA NA KUOSHEA MCHICHA UNAOKULA UNAYAJUA? Siku moja nilipata wasaa wa kutembelea maeneo ya Buguruni-marapa,Dar es salaam katika bonde kubwa ambalo watu wa maeneo ya pale utumia kulima mbogamboga. Furaha yangu ilifika kiwango cha juu sana baada ya kukutana na...
  5. Analogia Malenga

    JamiiForums Tanzania Wanajeshi waingia mitaani kudhibiti vurugu zinazohusiana na Rais Zuma kufungwa

    Watu sita wameripotiwa kufariki baada ya kuwa na vurugu zilizosababishwa na kufungwa kwa aliyekuwa Rais wa Afrika Kusini, Jacob Zuma Wanajeshi wame;azimika kuingia mitaani ili kudhibiti vurugu zinazoendela ambapo hadi sasa watu 219 wamekamatwa katika vurugu hiz Katika Jimbo ambalo Zuma...
  6. S

    JamiiForums Tanzania Madai ya Katiba Mpya: Viandaliwe vipeperushi kuhusu umuhimu wa Katiba Mpya na visambazwe mitaani na sehemu zenye mikusanyiko

    Mbali na kutumia mitandao na makongamano au mikutano kudai Katiba Mpya, nashauri wanaharakati, wanasiasa na wadau wengine waandae vipeperushi vyenye kueleza umuhimu wa katiba mpya na kuvisambaza kadri inavyowezekana. Vipeperushi vieleze mapungufu yaliyoko katika katiba ya sasa na hatari au...
  7. Infantry Soldier

    JamiiForums Tanzania Watoto ni chanzo kizuri sana cha taarifa. Unapokuwa kazini wao wanazurura mitaani

    Good afternoon jamiiforums Hivi unafahamu ya kwamba watoto wadogo hao unaowaona kama bado hawaijui dunia vema wanaweza kuwa wanajua mambo mengi sana yanayoendelea mitaani kuliko watu wazima? Wakati wewe upo kazini, watoto hawa wanazurura mitaani hivyo wanakutana na mambo mengi sana. Ukiwa...
  8. OLS

    JamiiForums Tanzania Michezo ya bonanza(Dubwika) imekuwa mingi mitaani watoto wanaathirika, serikali iangalie hilo

    Mchezo ya Mchina, maarufu kama dubwika iko mingi sana mitaani kutokana na namna yetu ya maisha inawaathiri watoto kwa kiasi kikubwa Bodi ya Michezo ya Kubahatisha Januari 23, 2019 iliamuru kutokuwa na matangazo ya kwenye redio na tv kwa michezo ya kubahatisha ambayo walilenga michezo ya biko na...
  9. Analogia Malenga

    JamiiForums Tanzania NEMC yawaonya wanaoanzisha madampo kiholela mitaani

    Baraza la Uhifadhi na Usimamizi wa Mazingira (Nemc) limepiga marufuku uanzishwaji holela wa madampo mitaani na mabondeni na watu wanaodai kukabiliana na mafuriko yanayotokea wakati wa mvua. Kwa mujibu wa Nemc madampo hayo holela yamekuwa yakihatarisha afya za wakazi waliyo jirani na maeneo...
  10. M

    JamiiForums Tanzania Tafadhali hizi Kanzu Nyeupe nyingi Mitaani leo zifanye hata Roho zetu ziwe Nyeupe kwa Mungu hadi Funga ijayo 2022

    Ni matumaini yangu makubwa Krav Maga hivi ninavyopishana na Kanzu nyingi nyeupe Mitaani leo basi hata Wahusika nae kwa Miezi 11 ijayo nao Roho zao zitakuwa Nyeupe hivyo hivyo. Ushauri wa bure wengine ambao huwa hampendi Kuvaa Kanzu au hamjazoea Kuzivaa basi muanze Kuchukua Mazoezi taratibu ya...
  11. anonymousafrica

    JamiiForums Tanzania N'golo Kante: Toka kuzoa taka mitaani hadi kuwa mchezaji bora anayetegemewa

    Ng'olo Kante, alitamani kombe la dunia lichezwe nchini Ufaransa kila mwaka, kwasababu mwaka 1998, alifanikiwa kuzoa taka nyingi kuliko miaka yake yooote ya kuzoa taka mitaani. Kante alizaliwa Machi 29, 1991, huko mjini Paris nchiniUfaransa. Wazazi wake walikuwa wahamiaji kutoka nchini Mali...
  12. hamis77

    JamiiForums Tanzania Corona: Maiti za Waafrika zitatapakaa mitaani – Melinda Gates

    MELINDA GATES, mke wa bilionea Bill Gates wa Marekani, ameonya kwamba iwapo dunia na hususani Afrika haitachukua hatua za haraka za kukabiliana na janga la virusi vya Corona vinavyosababisha ugonjwa wa COVID-19, maiti za Waafrika zitatapakaa katika kila mitaa ya Afrika mijini na Vijijini. Bi...
Back
Top Bottom