Sheikh wa Mkoa wa Dar ashangazwa na jinsi watu wanavyojipa Uaskofu hovyo hovyo mitaani

Naipendatz

JF-Expert Member
Jul 27, 2011
5,079
8,219
"Nilikuwa nadhani kupata uaskofu wa kanisa katoliki ni rahisi tu unakwenda Kariakoo ukanunua tu na kuvaa, kumbe uwe askofu unapatikana kwa kazi kwelikweli siyo kitu rahisi. Tunashida kubwa na msiba mkubwa, mitaani mtu anajipa tu uaskofu"-Alhad Mussa Salum
E_0DWTkVUAcKmuF
 
Huyu jamaa naye mpuuzi tu, hajui kuwa huku uraiani kila muisilamu anajiita sheikh? Mbona hajaliona Hilo,Hadi Mimi mwenyewe sijui vigezo vya mtu kuwa sheikh,au labda ukiwa muisilamu Basi wewe tayari Ni sheikh? Maana hapa kazini kwangu tuna waislamu wawili lakini wote wanaitana sheikh!! Sheikh!!
 
Huyu jamaa naye mpuuzi tu, hajui kuwa huku uraiani kila muisilamu anajiita sheikh? Mbona hajaliona Hilo,Hadi Mimi mwenyewe sijui vigezo vya mtu kuwa sheikh,au labda ukiwa muisilamu Basi wewe tayari Ni sheikh? Maana hapa kazini kwangu tuna waislamu wawili lakini wote wanaitana sheikh!! Sheikh!!
Kunywa maji mengi utulie kivulini.

Halafu ukishatulia, jiulize; hao wanaojiita masheikh kazini kwako wana misikiti yao?
 
Vipi kuhusu yeye na Usheikh wake alinunua wapi? Vipi ahadi yake kuhusu Mange? Mbona bado anadunda kitaa?

"Nilikuwa nadhani kupata uaskofu wa kanisa katoliki ni rahisi tu unakwenda Kariakoo ukanunua tu na kuvaa, kumbe uwe askofu unapatikana kwa kazi kwelikweli siyo kitu rahisi. Tunashida kubwa na msiba mkubwa, mitaani mtu anajipa tu uaskofu"-Alhad Mussa Salum
E_0DWTkVUAcKmuF
 
Huyu jamaa naye mpuuzi tu, hajui kuwa huku uraiani kila muisilamu anajiita sheikh? Mbona hajaliona Hilo,Hadi Mimi mwenyewe sijui vigezo vya mtu kuwa sheikh,au labda ukiwa muisilamu Basi wewe tayari Ni sheikh? Maana hapa kazini kwangu tuna waislamu wawili lakini wote wanaitana sheikh!! Sheikh!!
Pia usisahau ndevu zilipakwa rangi na kale kakofia ka-kihamza
 
"Nilikuwa nadhani kupata uaskofu wa kanisa katoliki ni rahisi tu unakwenda Kariakoo ukanunua tu na kuvaa, kumbe uwe askofu unapatikana kwa kazi kwelikweli siyo kitu rahisi. Tunashida kubwa na msiba mkubwa, mitaani mtu anajipa tu uaskofu"-Alhad Mussa Salum
E_0DWTkVUAcKmuF
Tuanze na Askofu Gwajima wa Mtaa wa Saba.
 
"Nilikuwa nadhani kupata uaskofu wa kanisa katoliki ni rahisi tu unakwenda Kariakoo ukanunua tu na kuvaa, kumbe uwe askofu unapatikana kwa kazi kwelikweli siyo kitu rahisi. Tunashida kubwa na msiba mkubwa, mitaani mtu anajipa tu uaskofu"-Alhad Mussa Salum
E_0DWTkVUAcKmuF
siyo uongo anaongea kweli ndiyo maana maadili yanapolomoka kama kweli uko commited na uaskofu huwezi kufanya upuuzi bagonza , mwamakula nao ni maaskofu
 
Back
Top Bottom