misiba

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Wakili wa shetani

    Watu wa Mbeya huu ushamba wa kutangaza misiba barabarani mmeutoa wapi?

    Kwanza poleni kwa misiba. Japo mpo kwenye huzuni lakini tuongee hili suala la kutangaza misiba barabarani. Mbeya kama msiba unasafiri, basi msafara unakuwa na gari la matangazo ambalo linakuwa na MC akitangaza msiba. Utasikia, "Ni huzuni ni huzuni kwa wafanyakazi wa benki ya NMB kufiwa na...
  2. Binadamu Mtakatifu

    Sad truth watu hujiandaa kwa mambo yajayo, mbona hamuandai misiba yenu?

    Binadamu kila ahsubuhi huwaza jinsi ya kuifanya future yake kuwa poa Hujua kuna mambo ya lazima kabisa yatamtokea mf. njaa, kuumwa au kuokota mchumba barabarani n.k Hujiandaa kwa kutembea na kinga, kuwa na bima na pesa ya kula Lakini kifo kipo mbele yetu na tunajua ni lazima kije kwanini...
  3. M

    Kwanini Yanga SC kila ikikaribia tu Kucheza Mechi Kubwa na Muhimu hupatwa na Misiba?

    Na hiyo Misiba ya hapa na pale ikiwatokea / ikitokea tu Mechi yoyote Ngumu inayokuja Yanga hushinda na pia hucheza Mpira mkubwa mno na wa Kuvutia. MINOCYCLINE nimesahau naomba kama hamtojali mnikumbushe Yanga SC inacheza Mchezo wake mwingine lini na wapi ili niishuhudie ikienda Kushinda...
  4. Mohammed wa 5

    Isingekuwa uwezo wa Mungu leo ningekuwa marehemu na mtaani kungekuwa na misiba na majeruhi wengi siku ile

    Tulikuwa tunaishi karibu na barabara kubwa ya lami, upande wa pili wa Ile barabara kulikuwa na kibanda flani Cha abiria wanakaa hapo kusubiria magari(checkpoint) ni Cha muda mrefu kilikuwa hakitumiki, Vijana tuliokuwa tunaishi maeneo Yale tulifanya Kama kijiwe Cha story,tunacheza drafti nk.(sio...
  5. Ricky Blair

    Haileti maana mtu amekufa Mtwara muanze kuhangaika kusafirish mwili hadi Arusha, au mtu kafa Kagera muanze kuhangaika kupeleka mwili Mbeya

    MISIBA YA BONGO Wawe Wakristo, Waislamu au hata wasio na dini rasmi ambao Watanzania tunapenda kuwaita Wapagani utadhani kitu kibaya, kitu kimoja ambacho kinatuunganisha kama binadamu wote popote ni Kifo na kwamba siku moja wote kitatubeba tukitofautiana Ratiba tu. Kuna ambao wanafariki wakiwa...
  6. Sky Eclat

    Uhusiano wa utitiri na misiba wafugaji wa kuku hasa wakienyeji wataelewa

    Utitiri ni wadudu wadogo sana weupe hutokea kwenye mabanda ya kuku. Unapookota mayai au kufagia banda wanakurukia. Sijafahamu wanatokana na nini lakini huwa wanakera sana. Ukitokea msiba, ukienda tu msibani ukirudi utitiri umetoweka. Hili ni fumbo lililonisumbua sana utotoni.
  7. sky soldier

    Taratibu za misiba, ni nguo zipi anavalishwa marehemu

    Huwa najiuliza sana ni nguo zipi ambazo marehemu anavalishwa hususan kwa wakristo maana waislam inajulikana tayari. Ni nguo aina ipi marehemu huvikwa ?
  8. BabaMorgan

    Nini hukumu ya mtu anayeshindwa kurudi kwao kushiriki katika shughuli za kifamilia kama sherehe au misiba?

    Katika hali ya utafutaji imesababisha watu kutoka katika mikoa yao ya asili na kwenda mikoa ya mbali au hata nchi tofauti na walikozaliwa na kama ilivyo kwenye kutafuta wapo waliofanikisha kupata huku wengine wakiwa bado wanatafuta. Kwa mtu ambaye yupo mbali na kwao panapotokea msiba au sherehe...
  9. Y

    Misiba ya sasa inasikitisha sana

    Natumai hamjambo wakuu. Wakuu, misiba ya sasa imekua majanga sana, yaani badala ya watu kwenda msibani kusitiri na kuwafariji wafiwa badala yake misiba imegeuka vijiwe vya majungu na kuwajadili wafiwa A-Z Sasa mi najiuliza kuna manufaa gani kuwajadili wafiwa tena in negative way? Zamani...
Back
Top Bottom