Habari zenu, Mimi ni Kijana wa miaka 23 nipo chuo. Ombi la kuandika uzi huu ni kutaka mbinu nayoweza kuitumia ili kujikusanyia kiasi cha pesa hizo. Sina kazi zaidi ya kuwa mimi ni mwanafunzi tu.
Nahitaji pesa, pesa, pesa.
NB: Kama una mawazo ya kimaskini usichangie mada hii, na wale...