Habari zaa mudaa huu....Mimi ni DAKTARI WA MIFUGO nipo Dar es salaam
Kwa mtu atakayehitaji ushauri wa kidaktari karibunii sana,ofisi ipo Tegeta azania ila tunafika popote ulipo.Tunahudumia wanyama wote mbwa,paka,ng'ombee,mbuzi,kuku,kondoo,sungura
Kwa mawasiliano:0684918177