menu

In a restaurant, the menu is a list of food and beverages offered to customers and the prices. A menu may be à la carte – which presents a list of options from which customers choose – or table d'hôte, in which case a pre-established sequence of courses is offered. Menus may be printed on paper sheets provided to the diners, put on a large poster or display board inside the establishment, displayed outside the restaurant, or put on a digital screen. Since the late 1990s, some restaurants have put their menus online.
Menus are also often a feature of very formal meals other than in restaurants, for example at weddings. In the 19th and 20th centuries printed menus were often used for society dinner-parties in homes; indeed this was their original use in Europe.

View More On Wikipedia.org
  1. P

    MENU YA USHINDI.

    *149*35# Unapoishiwa bando sio lazima ukope bando ili kubashiri na Sokabet, kupitia menu hii unaweza kuendelea kubashiri na ukatengeneza ushindi wako. Afu mchongo mkubwa wa hii menu ni hii apa, kila Alhamisi, Ijumaa na Jumamosi kuna Jackpot za kutosha zenye ushindi mkubwaaaa mno...
  2. Ricky Blair

    Kulipa bill before menu

    Yaani huu mfumo wa kulipa kabla ya huduma iwe rule kwa kila establishment Km KFC na wengine coz yaliyonikuta🤧🤧🤧🤧 Nimefika sehemu nimeagiza kinywaji Uyo dada kaja na kinywaji chake akaanza kuniongelesha na tukaongea weee Kumbe katoa signal Nipo naye which means bills on me. Me Sina hata habari...
  3. Analogia Malenga

    Nachukia sana wauza chakula wanaoleta utaalamu wa afya kwenye menu yangu

    Oya! Mimi nakuja kupiga menu, sio kufuata ushauri wako wa lishe au afya na kutishana kibwege. Kama ni chai au maziwa acha niweke sukari ninavyojisikia. Sio malalamiko kama nakula bure. I hate hii kitu kabisa kabisa. Kama nikitaka ushauri wa Afya au lishe nitaenda kwa wataalamu sio nakula...
  4. Mtafiti77

    Ninashindwa kufikia menu ya M-Pesa

    Ndugu wanajopo, Kuanzia juzi hadi sasa sijaweza kuingia menu ya MPESA inayofunguliwa kwa code hii *150*00#. Kikawaida nikibofya, ninapata maelezo haya: "USSD code is running" kisha menu inafunguka. Lakini, kuanzia jana mambo yamegeuka, kanakuja kabox kanachohitaji nijaze "carrier info." Hiki...
  5. Kijakazi

    Hivi kwa nini Tanzania hatubadilishi Menu? Ni umaskini au ukosefu wa ubunifu!

    Familia za Kitanzania kila siku chakula cha aina moja, ugali maharage/nyama au wali lije jua au mvua kama ulifikiri labda nyumbani ni shida ya bajeti kwa nini ukienda kwenye migahawa wanapika yale yale kila siku 24/7, hata ukienda kwenye cafetaria za vyuo au wanapokula Wafanyakazi town menu ni...
  6. Kurunzi

    Tozo kuingia Menu ya Benki wanakata Shilingi 100

    Ndugu Mteja, kuanzia 26 Julai 2021 kila uingiapo kwenye menyu yoyote ya Bank utatozwa Tsh100 kwenye salio lako la muda wa maongezi. Kwa taarifa zaidi piga 100 Naona Mzee wa Kuhamia Burundi amedhamiria tuhame kweli. Tusubiri treni iliyopeleka Mashaki Kigoma
  7. endrizzy

    Kuanzia Jumatatu, menu za simBanking zitaanza kutozwa

    leo nimeamka na hii Ndugu Mteja, kuanzia 26 Julai 2021 kila uingiapo kwenye menyu yoyote ya Bank utatozwa Tsh100 kwenye salio lako la muda wa maongezi. Kwa taarifa zaidi piga 100 kazi iendeleeee
  8. Mshana Jr

    Menu mbili kwa moja

    Tahadhari: KWA WANAUME TUU Ukipata muda nawe jaribu kuchunguza Yaani mdada pisi kali anaitwa mahali kustarehe, akale, akanywe afurahi... Kishapo!?[emoji848][emoji23] Vuta ile picha anapoletewa ile menu achague chakula na jinsi jamaa anavyomcheki kiaina... Anachagua cha kula kwenye menu. ...
Back
Top Bottom