mbovu

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Tony Yeyo

    JamiiForums Tanzania KERO Agha Khan Hospital Iringa huduma zenu ni mbovu sana

    Ninapenda kutoa malalamiko kuhusu huduma duni niliyoshuhudia katika Hospitali ya Aga Khan Iringa. Nilimpeleka mke wangu siku ya Jumamosi majira ya saa 10:30 jioni. Tulipofika, tulikuta dada wa mapokezi akiondoka bila kutoa maelezo yoyote kwa wagonjwa waliokuwa wakisubiri. Cha kushangaza...
  2. M

    JamiiForums Tanzania Kampuni ya TiGO, sasa yas by mix ina huduma mbovu za kifedha!

    Habr wanajukwaa, napenda kuwasilisha malalamiko yangu kwa kampuni ya TiGo sasa yas by Mix. Nimekuwa mteja wa kampuni hii since 2006, sijawahi kupata usumbufu kama huu nilioupata jana baada ya kutuma hela kwenda airtel. Muamala mpaka sasa hivi haujamfikia mlengwa na ni mtu ana shida ya...
  3. jT0078

    JamiiForums Tanzania NANUNUA LAPTOP MBOVU KAMA SPARE. 0767953873

    LETE LAPTOP MBOVU NIKUPE PESA BEI MAELEWANO. ILALA - KARUME 0767953873
  4. GENTAMYCINE

    JamiiForums Tanzania Rais Samia una hii Taarifa muhimu ya Umoja wa Ulaya (EU) kuzuia Ndege za ATCL kutua Ulaya yote kutokana na kutokuwa salama kwa Abiria na mbovu?

    Nilidhani Msemaji wako (wa Serikali) Gerson Msigwa angekuwa busy kutueleza Watanzania kwanini EU wamezuia Ndege zako Unazozifaragua nazo kila Siku za ATCL kutua nchi zote za Ulaya kutokana na kutokuwa salama kabisa kwa Abiria na badala yake yuko busy kutishia Watanzania wanaoandika Mitandaoni NO...
  5. Crocodiletooth

    JamiiForums Tanzania Gwajima alipiga hesabu mbovu!

    Kama ilivyo kawaida maisha ni fedha, kwa lissu, mbowe, Lema na wote mnaowaona wanapiga kelele kwa kivuli cha Demokrasia, Bwana Gwajima alishayaona ya mbeleni ya kwamba kwa kuwa hakuna alilowafanyia Wana Kawe lolote lile la msingi, kurudi kwake bungeni itamuwia vigumu sana, ukizingatia wakati...
  6. D

    JamiiForums Tanzania KERO Tanzania ya sasa barabara ni mbovu hadi wananchi tunaogopa kusafiri

    Yani hii Tanzania sio kabisa ukiambiwa miaka mitano nyuma tulikuwa tunateleza tu hutaamini barabara ni mbovu sana. Watu wamegoma kusafiri bila emergency payment maana wanajua hali ikibadilika, safari ya siku 3 itakuwa ya week. This is shameful, hatuna highway hata moja nzima, ni potholes...
  7. jT0078

    JamiiForums Tanzania NANUNUA LAPTOP MBOVU KAMA SPARE

    KAMA UNA LAPTOP MBOVU LETE NIKUPE PESA BEI MAELEWANO NIPO ILALA - DSM 0767953873
  8. Mkalukungone Mwamba

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Dudubaya: Katiba imeruhusu kuwa na wabunge wajinga

    Msaani Dudubaya amesemea kwamba Katiba ya nchi imeruhusu mtu akijua kusoma na kuandika anaruhusia kugombea ubunge kitu ambacho kimezalisha wabunge wasiojuwa sheria na katiba. Ukijua kusoma na kuandika darasa la saba uwe ubunge kwa dunia ya sasa kwa sababu ubunge umekuwa ni biashara, jitu...
  9. MO11

    JamiiForums Tanzania Ligi ya Hispania ni mbovu kulinganisha ya Uingereza

    Kila nikiangalia la liga nachoka sana. Yani flop za uingereza ndio zinasumbua Spain yaani Raphinha na Antony Hii ligi wanapeana nafasi sana yani mtu anapewa nafasi mpaka unashangaa sekunde 10 mtu anajifikiria cha kufanya yupo kwenye box la timu pinzani. Huo muda hupati uingereza yani weekend...
  10. jT0078

    JamiiForums Tanzania KAMA UNA COMPUTERS AU PRINTERS MBOVU NICHEK NIKUSAIDIE KUONDOA UCHAFU

    Kwa wale wenye Computers au Office Machines mbovu kama Printers,Photocopy Machines,Binders,Laminations, Monitors,Laptops zipo stores tu! nichek nikusaidie kuondoa uchafu Usikae na vitu vibovu hasa vya Electronics ni hatari. Nipo Ilala - Dsm 0767 953873
  11. M

    JamiiForums Tanzania Kilichofanya Magufuli apendwe mwanzoni wa utawala wake ni kupambana na utendaji mbovu wa serikali, na kilichomdidimiza ni kupambana na vyama upinzani

    Watanzania wengi pale walipomuuona anapambana na utendaji mbovu wa sekta zote...walimuona kama malaika... Hawakutaka kusikia tena vyama vya upinzani....Sijui ni nani alimuingiza kwenye Huu ujinga wa kuacha kile alichoanza nacho..Maana vyama pinzani vilikuwa vinaenda kujifia vyenyew bila nguvu...
  12. F

    JamiiForums Tanzania Natafuta Stethoscope ya daktari used ya kununua, hata ikiwa mbovu sawa tu. Doctors mwenye Stethoscope mbovu atucheki

    Habari wadau. Natafuta Stethoscope used. Hata ikiwa mbovu haifanyi kazi nahitaji pia. Tunaitumia kushutia igizo la sanaa. Pia kwa wanaojua wapi used zinauzwa naombeni mniambie Najua humu kuna watu wengi.. kwa mwenye nayo anauza anipigie namba 0754003715
  13. jT0078

    JamiiForums Tanzania NANUNUA LAPTOP MBOVU KAMA SPARE. 0767953873

    Lete Laptop mbovu nikupe pesa, bei maelewano ilala - Dsm 0767953873
  14. BabaMorgan

    JamiiForums Tanzania Hamilton na Ferrari prove that hakuna dereva mzuri kwenye gari mbovu

    Sir Lewis Hamilton anaendelea kustruggle huku watoto wa McLaren wakiendelea kuwasha moto lawama ni kwa engineers na mipango ya team. Ukisoma comments nyingi za wapenzi wa F1 ni kuwa Sir hapati ushirikiano na agenda ni kumtoa kwenye reli huyu bingwa mara 7 hapo ndio utajua kuwa roho mbaya haipo...
  15. Bila bila

    JamiiForums Tanzania Kefa Kayombo, refa mbovu anayebebwa na mfumo.

    Mechi ya Namungo Vs Dodoma Jiji ilipaswa kuwa ya mwisho huyu binadamu kuchezesha. Amechezesha zaidi ya Mechi 7 Kwa kiwango kibovu lakini bado Mamlaka zinamfumbia macho. Coastal, KMC, Tabora Utd, Fountain Gate, Mashujaa, JKT na Pamba ni wahanga WA maamuzi mabovu ya Kayombo, lakini bado YUPO!
  16. A

    JamiiForums Tanzania KERO Huduma mbovu CRDB bank tawi la LAPF Dodoma

    Bank ya CRDB tawi la LAPF Dodoma wahudumu wako taratibu sana, majibu yasiyo rafiki Kwenye foleni inakaa masaa bila huduma, yapo madirisha manne ya huduma ila kwa muda mrefu ni dirisha Moja tu ndio linamuhudumu ambaye naye muda mwingi ingia Toka ingia Toka haeleweki anafanya nini Vijana hizi...
  17. UHURUWANGU

    JamiiForums Tanzania Ni muhimu sana Watanzania waelewe kuwa: MADARAKA HAYANA KINGA YA MILELE, NA MADHARA YA MFUMO MBOVU HUMRUDIA KILA MMOJA — HATA HAO 'CHAWA' WANAUTETEA.

    UJINGA UNAOPEWA JINA: PROPAGANDA YA KISIASA MTANDAONI Katika zama hizi za kidijitali, mitandao ya kijamii imegeuzwa kuwa uwanja wa vita vya fikra. Lakini vita hivi si vya kuikomboa nchi bali vya kuilinda dhulma na kuzuia hoja za msingi kwa kutumia matusi, kejeli, na uongo. Kila siku...
  18. Komeo Lachuma

    JamiiForums Tanzania Simba akijitahidi leo ni Draw. Sioni namna Simba akipata ushindi team mbovu

    Simba mbovu. Kipindi cha pili inapigika. Ama sivyo Simba wakapark Bus. Maana wanaonekana hoi kwa sasa
  19. A

    JamiiForums Tanzania KERO Aga Khan Dodoma wana huduma mbovu, Madaktari hawaonekani

    Uongozi wa Aga Khan Dodoma, angalieni huduma mnazozitoa. Watu wanapangiwa madaktari, ila hawako ofisini, wagonjwa mpaka walalamike ndio muwape Daktari mwingine. Hapo ni baada ya kukaa muda mrefu. Mtu anafika saa tatu asubuhi mpaka saa moja hajapata huduma. Yani huduma hazieleweki. Mjirekebishe.
  20. jT0078

    JamiiForums Tanzania NANUNUA LAPTOP MBOVU KAMA SPARE. 0767953873

    Lete Laptop MBOVU nikupe pesa Bei maelewano 0767953873
Back
Top Bottom