Mara nyingi kama kuna pande 2 au zaidi, basi mabadiliko yoyote yakifanyika, kuna upande utanufaika zaidi na kufurahi na kuna upande utapoteza. Lakini habari ya Mbape kuhama PSG kwenda AL Hila ya Saudi Arabia,(Japo Mbape tetesi zinaonesha hakubali).kwa mtazamo wangu na upeo wangu mdogo imekuwa...