Kiboko ya Jiwe
JF-Expert Member
- Apr 7, 2020
- 12,709
- 36,166
Hili kundi la bodaboda a.k.a Maafisa usafirishaji mostly ni watu wakatili na wenye roho mbaya.
Kijana mwenzao kapata pikipiki ya mkataba akipeleka pua tu kwenye kijiwe wanamtoza laki 2, 3, 4 au aondoke haraka kabla hawajamwitishia mwizi.
Laki 3 kijana ambaye ni jobless ndio kwanza kapata pikipiki ataitoa wapi? Bodaboda huyo anayemtaka mwenzake atoe laki 3 hajawahi kuishika hiyo pesa cash tangu azaliwe.
Hili kundi wakimshika mwizi wanamuua kama kuku, unaona kabisa hakuna utu ndani yao.
Hii hali ni magonjwa ya akili au ni msongo wa mawazo kutokana na maisha magumu?
Kijana mwenzao kapata pikipiki ya mkataba akipeleka pua tu kwenye kijiwe wanamtoza laki 2, 3, 4 au aondoke haraka kabla hawajamwitishia mwizi.
Laki 3 kijana ambaye ni jobless ndio kwanza kapata pikipiki ataitoa wapi? Bodaboda huyo anayemtaka mwenzake atoe laki 3 hajawahi kuishika hiyo pesa cash tangu azaliwe.
Hili kundi wakimshika mwizi wanamuua kama kuku, unaona kabisa hakuna utu ndani yao.
Hii hali ni magonjwa ya akili au ni msongo wa mawazo kutokana na maisha magumu?