mbao

  1. mtataina

    JamiiForums Tanzania Kampuni ya ZANREC RECYCLING tunajishughulisha na utengenezaji wa mbao na nguzo za plastiki

    Kampuni ya ZANREC RECYCLING tunajishughulisha na utengenezaji wa mbao na nguzo za plastiki, ni mbao imara na zinadum kwa mda mrefu kama ilivyo plastiki huishi zaidi ya miaka 50, mbao hizi zinatumika kawaida kama mbao zingine, uzuri wa hizi mbao haziozi, haziliwi na wadudu, pia ni rafiki kwa...
  2. Mshana Jr

    JamiiForums Tanzania Ubunifu: urembo wa sebuleni.. Tv show case za mbao

  3. Mkalukungone Mwamba

    JamiiForums Tanzania Moto Wateketeza Vibanda 30 Katika Soko la Mbao Sabasaba, Mwanza

    https://www.youtube.com/watch?v=TLSD0tQq_Es Moto ambao bado chanzo chake hakijafahamika umeunguza vibanda vya wafanyabiashara zaidi ya 30 katika soko la mbao Sabasaba Wilaya ya Ilemela mkoani Mwanza. Akithibitisha kutokea tukio hilo leo Jumatatu Machi 17, 2025, Kaimu Mkuu wa Jeshi la Zimamoto...
  4. BB_DANGOTE

    JamiiForums Tanzania Je, Gharama kiasi Gani inaitajika kujenga frame ya mita za mraba 40 Kwa kutumia mbao laini.

    Habari wana JF Kwa anaejua au mwenyewe uelewa juu ya Gharama za kujenga frame ndogo kwaajili ya biashara. Kwa kutumia mbao laini anisaidie ufafanuzi tafadhar. Karibuni...
  5. Pdidy

    JamiiForums Tanzania Ukienda kununua mbao nenda na Mita yakoo binadamu wamekuwa Simba nwdays

    SIO MBAYA wajenxi kukumbushana wapendwa Najua mpaka tunajenga tunahangaika sana sana kuweza kujenga Hizi changamoto utazikuta wakati WA ujenzi Ukiwa unaenda kununua mbao hasa pale buguruni Nenda na mtr yako..na usiwambie kama una MITA yako malizeni ku bargain sh ngapi kwa futi mkifika kupima...
  6. Mshana Jr

    JamiiForums Tanzania Ubunifu wa meza sehemu ya pili: Mbao asilia.. Ufundi uliotukuka..

  7. stabilityman

    JamiiForums Tanzania Nauza mbao za dawa buguruni

    Tunauza mbao zilizokomaa zadawa buguruni 2/2 2900 2/4 5000 1 by 8 12000 1by10 16,000 Misumali inch 4 bei 3500 Misumali ya bati ya rangi pakt kg1 bei 10,000 .. Zote hizo ni ft 12 Piga sim 0743257669
  8. Mshana Jr

    JamiiForums Tanzania Part 2: Ubunifu utokanao na miti, magogo na mbao… Kazi za viwango

    Huu si ubunifu wala usanifu wa kubahatisha wala kukurupuka.. Kila mkono uliogusa mojawapo wa hizi kazi akili yake ilikuwa imetulia na roho ni nyeupe... Huwezi kufanya hizi kazi kwa ufanisi huu kama rohoni mwako na kichwani mwako umejawa na stress za kila aina ... Na hata kununua pia😀
  9. Mshana Jr

    JamiiForums Tanzania Ubunifu: samaki wa mbao

  10. Mshana Jr

    JamiiForums Tanzania Ubunifu; vigoda vya mbao, miti

    Hivi vigoda/stuli ni very special. Hakuna msumari hata mmoja uliotumika na bei yake ni kichaa.. Na wengi huvitumia kama urembo na si matumizi halisi ya kukalia.. Hivi havipigwi polishi bali hupakwa Silla
  11. Mshana Jr

    JamiiForums Tanzania Ubunifu: vyombo vya mbao kwa kutumia miundo ya wanyama

  12. Mshana Jr

    JamiiForums Tanzania Ubunifu saa za ukutani za mbao na miti

  13. mr pipa

    JamiiForums Tanzania Kijana Mwenye kuhitaji kuwekeza kwenye soko la mbao, nguzo za umeme kwa mtaji wa milioni mbili tu nipo hapa nitamsaidia

    Vijana kama unatamani mafanikio na unamtaji mdogo na unatamani kuwa mfanya biashara mkubwa mimi kijana mwenzenu nipo hapa kukusaidia najua kuna wengine mna mitaji hamjui wapi muwekeze na mpate faida ya haraka Karibuni tuwekeze kwenye soko la miti ya mbao pamoja na nguzo za umeme Kwa mtaji...
  14. Mshana Jr

    JamiiForums Tanzania Sanaa bunifu inayotokana na Mbao, masalia ya mbao, miti, magogo na mizizi ya miti

    Fenicha, urembo vitu na nyenzo mbalimbali.. Kwa wapenzi wa asili na wana mazingira
  15. chiembe

    JamiiForums Tanzania Manula, kaa sawa Camara anapata uraia, Taifa Stars utakalia mbao tu

    Manula, kaa sawa Camara anapata uraia, Taifa Stars utakalia mbao tu( Bechi)
  16. M

    JamiiForums Tanzania Mnatumia mbao za aina gani kuezeka nyumba?

    .
  17. dalaliadam

    JamiiForums Tanzania Nauza kitanda cha mbao ngumu 4×6

    Ukubwa ni 4×6 Bei 65,000 Kipo Mbezibeach Tangibovu 0687614981
  18. Brojust

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mchepuko wangu anahitaji ushauri kuhusu biashara ya mbao

    Jamani huyu ni mchepuko wangu wa muda mrefu sana. Sasa alinunua shamba la miti huko iringa miaka mingi nyuma, na this time ndio ile miti imeshakuwa kwenye stage ya kuvunwa. Sasa walikuja wachina wakataka kumpa M50 akachomoa. Ndio jana baada ya penzi letu zito akiwa amelala kifuani mwangu...
  19. zeck john

    JamiiForums Tanzania Nauza marine boards, mirunda na mbao zilizotumika

    Habari.Nauza mirunda, mbao, na marine boards zilizotumika. Marine boards ziko size 18mm, Mbao zipo size 2x2, 4x2, 1x9, na 1x 10. Bei maelewano. Vifaa vimetumika mara moja tu, nategemea kuezua slabu yangu tarehe 23/11/2024 site ipo Msumi Dar. Mawasiliano 0747109975.
  20. MaduhuJ

    JamiiForums Tanzania Nauza mbao za mti wa Eucalyptus/Mkaratusi kwa bei ya shambani

    Habari, nauza mbao za mti wa Eucalyptus, kwa majina ya kiswahili unajulikana kama Mlingoti, Mkaratusi, Mti Mbao, Mbao nyekundu. Mbao zina ubora, size zimejaa na bei ni rafiki (ya shambani). Mbao hizi ninachana mwenyewe maeneo ya Mgololo, Mufindi (Iringa) na Uchindile, Mlimba (Moro). SIFA ZA...
Back
Top Bottom