Mafanikio mengi ya Subaru yametokana na ujuzi wake wa kukidhi mahitaji ya vikundi maalum -- na vilivyojitolea sana -- vya wanunuzi wa magari. Miundo kama vile Outback kwa kawaida imekuwa ikilenga watu wanaotaka kitu cha kistaarabu cha kutosha kwa usafiri wa kawaida wa mijini, lakini ni iwe gari...
Kama wewe ni chicken farmer unayefuga kuku wa mayai au nyama, au unafanya biashara ya kuuza mayai au kuku wa nyama kwa jumla, na unachangamoto ya mauzo au unataka kuongeza mauzo kwenye biashara yako. Ninaweza kukusaidia kupata buyers wa uhakika kama restaurants, hotels, supermarkets, catering...
Kuna haya maneno nimesikia kutoka kwa mdau mmoja akisema "Hawa wanatoa maziwa na mayai, wanapaswa kukaa jikoni ndiyo sehemu yao, huku kwingine tunalazimisha tu"
Ni kauli ya kufikirisha sana. Inawezekana ni kauli ambayo imepitwa na wakati au inawezekana ina ukweli fulani tunaoukataa.
Tujadili...
VITU TISA
Kutotolesha mayai si kuweka mayai kwenye boksi lenye taa joto, kama ambavyo Wengi wanajaribu kufanya na kusubiri siku 21:
Tengeneza mfumo.
Ni vitu tisa.
Kwa sababu hapa, tunatengeneza mazingira yanayoleta uhai ndani ya mayai ya kuku, na uhai una tabaka,
na kila tabaka hutaka...
Kwa mfugaji mmoja mdogo, kifaa kimoja kilimuokoa kati ya hasara nakuleta matumaini.
Andiko hili linahusu kitu ambacho wafugaji wengi hukipuuza mwanzoni — udhibiti sahihi wa joto na unyevunyevu. Kitu kinachoonekana cha kawaida, lakini madhara yake ni makubwa sana.
Kuna mfugaji mmoja, alikuwa...
Sikutegemea kama usiku huu wa kuamkua 2026 mwaka mpya utanivuruga kisaikolojia
Nilizoea kufurahia baruti za mwaka mpya lakini kwa mara ya kwanza nimehuzunika
kila ninaposikia milio ya baruti, akili inarudi kwenye milio ya 29 Oktoba mwaka jana
Sisi watoto wa Dar,Mabachelor Mlo wetu main ni Ugali na Mboga Ya Mayai. Na kama ilivyozoeleka Yai kiini chake ni cha Njano ila Tangia Juzi nikinunua Mayai kiini ni cha Rangi ya Chungwa (Orange) na halina Shombo hata Kidogo nawaza haya mayai ya nini au Tuhamie Kwenye Kienyeji,
Hell
Tupike chapati za mayai za kukanda
Kwanza utaweka unga wako ulio chekechwa kwenye bakuri uta weka na blue band then chukua mayai yako yakologe pembeni kisha uweke pia the kanda kama huna blue band una weza weka mafuta ya kupikia ukipata ya alizet itakuwa poa sana
Kanda pole pole mpaka...
Mdau wa JamiiForums.com ametaka kupata uhalisia endapo mayai ya nyoka ni salama kwa bonadamu.
"Inasemekana Mayai "Egg's" yote yakiwa fresh ni salama,Sasa swali linakuja jee hata Mayai "Egg's" ya Nyoka "Snake" yakiwa fresh yanafaa kwa binadamu kula na asipate madhara yeyote?Kwa wale wataalamu wa...
De-beaking kwa Kuku wa Kutaga (Layers)
De-beaking ni kitendo cha kukata sehemu ndogo ya ncha ya mdomo wa kuku.
Kwa nini hufanywa?
✔ Kuzuia kula mayai (egg eating) - kuku wengine huanza kuvunja na kula mayai.
✔ Kupunguza kudonoana (cannibalism) - kuku
hushambulia wenzao wakipata msongamano...
Mayai ni chanzo cha lishe mwilini, lakini ulaji wa mayai kupitiliza ni hatari.
Hivi karibuni mtu mmoja kutoka India amefariki dunia baada ya kujaribu kula mayai 50 kwenye mashindano ya kula mayai huko nchini India, alianguka na kupoteza fahamu baada ya kula mayai 42.
Marafiki wawili waliweka...
Wakuu nipo hapa kupokea nondo zenu sijawahi fuga kuku wa mayai.
Najua kuna dawa wakipewa huwa zinawazuia kuku kutaga sio dawa tu hata booster pia nyingi huwafanya wanenepeane na kuwa na mafuta na mwisho kuwafanya kuku wasitage
Nakaribisha Elimu zenu tujifunze
Kuna mnigeria amekuja Tanzania amesema moja ya vyakua alivyovipenda chips mayai ni kimoja wapo
Kwanini kama nchi tusibrand vyakula kama chips mayai yaani kikafanyiwa maboresho kwenye kupikwa yaani kukawa na standard ya kupika chips mayai
CHIPS MAYAI INAJUMUISHA VIAZI AMBAVYO NI CARBOHYDRATES...
Ya Mungu Mengi, ya Kuku Mayai
Utangulizi
Methali ya Kiswahili isemayo "Ya Mungu mengi, ya kuku mayai" ni methali yenye maana pana na yenye mafundisho tele. Methali hii hutufundisha kwamba Mungu ndiye chanzo cha baraka nyingi na kubwa, wakati viumbe kama kuku wana uwezo mdogo wa kutoa vitu vya...
Huyu bwana wakati wa Mchengerwa aliteuliwa kuwa Mkurugenzi wa Wizara ya Habari, Sanaa, Utamaduni na Michezo, wengi wakaona kwa sababu amecheza mpira basi ataimudu nafasi hiyo, lakini cha kushangaza muda sio mrefu tangu apewe cheo hicho kikubwa wizarani inaonekana ameondolewa, sasa kama...
Mdau wa soka Ally Mayai Tembele ambaye alichukua fomu ya kugombea nafasi ya Urais wa shirikisho la soka Nchini (TFF) amesema hata yeye amekosa endorsment hivyo anasubiri mamlaka ziamue.
"Nimekosa Endorsement, kwa sababu nilichukua fomu nilipaswa kuirejesha.Kwa sasa imekuwa ngumu.Zamani chama...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.