matajiri

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. BabaMorgan

    JamiiForums Tanzania Zuchu anavyogombanisha madereva na matajiri wao.

    Matajiri wanadai wanapunguza cost, madereva wanalalamika hakuna comfortability
  2. W

    JamiiForums Tanzania Kwanini ni nadra kukuta wasabato matajiri?

    Wasabato ni moja ya dhehebu lenye waumini wengi wa kikristo nyuma ya Roma na Lutheran. Tofauti na ilivyo kwa waroma na walutheran kwa nini ni vigumu kukuta Wasabato kwenye safu za juu za kiuchumi? Je, ni mitazamo, mazingira, utamaduni, imani au mafundisho yapi huchangia ?
  3. W

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Hawa wakiacha kuhonga ni matajiri, pesa zipo tatizo sketi

    1. Mafundi Ujenzi - Saiti mpya dem mpya 2. Mafundi Simu - ni tangu enzi za miaka ya 2000s nawajua vizuri, kwa kuhonga wana b+ 3. Wauza mitumba - mabalo ya mitumba yana faida kubwa sana, tatizo kuhonga 4. Boda boda - honga yao ni lift za bure na wanajuaga nani kabanwa na marejesho...
  4. Mshana Jr

    JamiiForums Tanzania Top ten ya wanasiasa matajiri Tanganyika na Zanzibar

    Nane kati yao ni ccm na utajiri umetokana na kazi zao za kisiasa.. Hapa inahitajika sacrifice kubwa na maumivu mengi mabaya kuweza kuitoa ccm madarakani.. Maana wote hawa wana mtandao mmoja mkubwa na mitandao binafsi
  5. B

    JamiiForums Tanzania Maisha ya sisi Matajiri wenye mvuto na akili yana Changamoto sana. Watu wanatushangaa kwa kila chetu

    Watu wengine wan kero sana. Mtu anakuona sehemu ume chill anakuja kukushangaa shangaa. Mara anauliza hii saa ulinunua wapi? tsh ngapi? Hizo sandals mbona kali sana? Sijui we mbona una ngozi laini kama ya mtoto unapaka nini? Na huyo anayeniuliza ni mtoto wa Tajiri mmoja huku Dubai. Mara mbona...
  6. stakehigh

    JamiiForums Tanzania Order book ya CRDB ni huzuni, matajiri wamegundua nn?

    kwa kwel kuna kitu ssio bure hawa wote wanaotaka kuuza shares zao za CRDB zenye thamani ya mabilioni wana siri gan ambayo haijulikan
  7. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania Wafahamu Viongozi na Marais Matajiri zaidi Barani Afrika mwaka 2025

    Barani Afrika, baadhi ya viongozi wenye ushawishi mkubwa si tu kwamba ni vigogo wa kisiasa, bali pia ni matajiri wakubwa. Miongoni mwao ni Mfalme Mohammed VI wa Morocco ambaye utajiri wake unakadiriwa kufikia dola bilioni 5.8, akifuatiwa na Rais wa Nigeria, Bola Ahmed Tinubu, ambaye anakadiriwa...
  8. Mstahiki Mea

    JamiiForums Tanzania Orodha ya viongozi Matajiri Duniani

    💵 Top 15 Richest World Leaders currently in office 🌍 1 🇷🇺 Vladimir Putin - $200B 2 🇰🇵 Kim Jong Un - $5B 3 🇺🇸 Donald Trump - $4.9B 4 🇨🇳 Xi Jinping - $1.5B 5 🇬🇶 Teodoro Mbasogo - $600M 6 🇦🇿 Ilham Aliyev - $500M 7 🇹🇷 Recep Erdogan - $500M 8 🇷🇼 Paul Kagame - $500M 9 🇿🇦 Cyril Ramaphosa - $450M 10 🇰🇪...
  9. Nyani Ngabu

    JamiiForums Tanzania GDP ya Tanzania na matajiri wake

    Takwimu zinaweza kutofautiana kutokana na chanzo cha taarifa na sababu zinginezo. Kwa mujibu wa IMF, GDP ya Tanzania ni dola [za Kimarekani] bilioni 85. Kuna watu huwa wanadai Tanzania kuna hela na Watanzania wana hela. Okay, sawa. Labda sisi wengine tuonavyo tofauti huwa hatuelewi, hatujui...
  10. Mhaya

    JamiiForums Tanzania Kwanini hakuna Hospitali au Taasisi nyingi kubwa za Kiislamu licha ya matajiri wengi kuwa Waislamu?

    Waislamu ni wagumu sana kutengeneza kitu cha kunufaisha jamii nzima, licha ya wao kuwa na matajiri wengi kama kina Bakresa na wengineo hapa Tanzania lakini linapokuja suala la kurudisha kwa jamii wanakuwa ni watu wazito sana, sanasana watatengeneza maendeleo kwa ajili yao tu. Hakuna sehemu hapa...
  11. Kichwa Ze Don

    JamiiForums Tanzania Nchi 11 tajiri Afrika kulingana na GPD

    Orodha ya nchi kulingana na pato la taifa; 1. Afrika Kusini $410.34b 2. Egypt $347.34b 3. Algeria $268.89b 4. Nigeria $188.27b 5. Morocco $165.84b 6. Kenya $131.67b 7. Ethiopia $117.46b 8. Angola $113.34b 9. Côte d'Ivoire $94.48b 10. Ghana $88.33b 11. Tanzania $85.98b
  12. matunduizi

    JamiiForums Tanzania Kwa nini Yesu alipenda kuingia Nyumba za MATAJIRI na SIO masikini rafiki zake?

    Kuna mchungaji mmoja nilimuuliza KWA nini unapenda kutembelea Nyumba za MATAJIRI na Sio masikini akasema hata Yesu aliifanya hivyo. Mwingine Nigeria anashambuliwa KWA kutoa kauli kama hiyo. Ikabidi nizame kwenye NENO kumchunguza Yesu. Nikagundua.... Yesu alipokutana na Tajiri Zakayo...
  13. M

    JamiiForums Tanzania Kwa Utajiri wa Stellenbosch(Johann Rupert) , Simba(MO Dewji) ni Timu ya Masikini , Huwezi shindana na Matajiri

    Nimeamua kuongea ukweli wa wazi wazi, kwanza Mjue kuwa simba ni timu ya mtu tajiri katika nchi masikini, utajiri wa Mmiliki wa Simba MO Dewji bado ni mdogo na hajafikia utajiri mmiliki wa Stellenbosch Ndugu yetu, na rafiki yetu kaburu Johann Rupert. Utajiri wa Johann Rupert ni $15Bilioni, Huku...
  14. B

    JamiiForums Tanzania Kwa nini Matajiri na Watawala Huogopa Mabadiliko?

    Asalaam Aleykum wana JF, Ama baada ya salamu hizo, niingie kwenye hoja. Mara nyingi na kwenye jamii nyingi, matajiri na watawala huogopa mabadiliko kwa sababu yanatishia maslahi yao tofauti na wanyonge ambao wengi wao hawana cha kupoteza zaidi ya kupoteza umaskini na unyonge wao. Haya yaliwahi...
  15. N

    JamiiForums Tanzania Hili ni pengo kati ya matajiri na masikini au ni mwanya?

    Huu mtaa wa loresho jijini Nairobi unaonesha kuna pengo kubwa kati ya masikini na matajiri au ni mwanya mkubwa?😁😁😁 Wakenya tunaomba mkija Tanzania kila mkitembea hatua 5 mpige saluti
  16. H

    JamiiForums Tanzania Kwanini wachungaji,maaskofu,manabii,mitume,nk wa Kiafrika ktk ukristo ni MATAJIRI na wafuasi wao wa Kiafrika ni MASKINI?

    au Mungu hawajui hao waumini bali wanajipendekeza kwa yesu hawajui hao waumini??
  17. Yoda

    JamiiForums Tanzania Mungu anahusikaje na watu kuwa masikini au matajiri kama invyosemwa kwenye dini?

    Kuna ukweli gani kwamba Mungu ndiye huwafanya baadhi ya watu kuwa matajiri mamilionea, mabilionea hadi matrilionea huku akiwafanya wengine kuwa masikini mafukara wa kutupwa, omba omba na homeless?! Wengine wanasema sijui hizo ndio kudra/kadara za Mnyazi Mungu, wengine wanasema sijui ndio baraka...
  18. H

    JamiiForums Tanzania Siku makanisa yakijaa waumini matajiri na kuongozwa na nabii mmoja aliye masikini basi yesu atakuwa alikuwepo kweli!!

    Siku ikitokea waumini wote wa mwamposa wakawa matajiri kumshinda mwamposa basi itakuwa ni ishara ya wazi kuwa yesu alokuwepo na anafanya kazi. Kinyume na hapo ni ujinga tu ma hadithi za kusadikika!!
  19. Jerry magere

    JamiiForums Tanzania Car4Sale INAUZWA Landcruiser V8 inauzwa matajiri, karibuni sana

    LANDCRUISER V8 DJH YEAR 2011 UPGRADE TO 2016 ENGINE SIZE 4.5L ENGINE CODE 1VD-FTV DIESEL ENGINE✅ AUTOMATIC TRANSMISSION LEATHER SEATS✅ OPEN ROOF✅ NEW TYRES✅ PRICE 138M
  20. Fbn

    JamiiForums Tanzania Hivi kwa nini waliofanikiwa au matajiri wanakwambia walipofikia ni hesabu magazijuto

    Katika mambo ambayo huwa sipendi na naelewa sana usiende kuomba msaada kwa nini yeye amefikia hapa. Ni wachache sana watakao kupa ufikie labda sio biashara zinazo fanana. Miaka ya nyuma sana kuna jamaa alikuwa anatuambia kwenda china lazima uwe na milioni 50 ila tulipokuja kugundua sababu...
Back
Top Bottom