MTOTO WA MO AKIJIANDA KUENDESHA MALI ZA FAMILIA ZILIZO TAFUTWA TANGU ENZI ZA MABABU ZAKE HUKU MIMI NIKIJIANDAA KURITHI JINA NA UKOO NA LAANA WANAZO NIPA NDUGU AMBAO SIWAPIGII SIMU.
Kitu kipekee Masikini anachorithi wazazi wakiwa hai ni Uchawi na Matatizo na wala sio mali
Nini hasa sababu ya wapinzani kughadhabishwa mno na wanaCCM kukichangia chama chao mabilioni ya fedha ndani ya masaa kadhaa tu?
My friends, ladies and gentleman,
Chama cha siasa ambacho kimeshindwa na hakiwezi kujikomboa chenyewe kiuchumi kwa mikakati yake na hazina ya wanachama wake, kamwe...
Bila shaka kibwagizo cha wimbo tuliipenda wenyewe, kinaendelea kujidhihirisha kwa kasi ya 5G.
Mungu atupatie uhai tushuhudie yatakayotokea nchini.
HIVI NINI MAANA YA STATE CAPTURE?
Ukweli ni kwamba Polepole ameanza kunikumbusha enzi za Nyerere katika misimamo yake na kuonyesha anasimamia sheria na taratbu na miiko na maadili (integrity) katika uongozi.
Sasa anazidi kujionyesha kuwa tofauti sana na genge la wahuni walioishika serikali na nchi kwa ujumla, na ni wazi...
Wazungu wanamsemo wao unasema " Scratch my back I Scratch yours " hii kwa kiswahili inaitwa nipe nikupe.
Hicho ndo maCCM wanafanya dhidi ya matajiri. Je watakuja kulipa nini. Wakikwepa kodi or whatever watawafanyaje?
Wafanyabiashara wa kiafrika wanamakandokando mengi sana ukiwachekea...
Nimesthushwa sana humu jukwaani wanaoshabikia michango inayoitwa ya matajiri kukifadhili chama cha mapinduzi.
Ukweli ni kwamba tajiri hata mara moja hata kwa bahati mbaya hajawahi kuwa na mapenzi mema kwa maskini
Siku zote huwaza namna ya kumtumikisha na kumakuma huyu maskini hadi tone lake...
Mtandao wa Billionaires.Africa umetaja majina ya watu 10 matajiri zaidi nchini Tanzania, ukizingatia vigezo vya uwekezaji, ushawishi, na mchango wao katika maendeleo ya uchumi wa taifa. Orodha hiyo, inaonyesha mabilionea hao wanatoka katika sekta mbalimbali zikiwemo viwanda, mawasiliano...
SIRI WANAZOTUMIA MATAJIRI WAKUBWA WA KARIAKOO KUENDELEA KUWA MATAJIRI NA KUTOSHIKIKA
Usipozijua utaendelea kuwashangaa
Ukitaka kujua Tanzania kuna matajiri, Nenda kariakoo. Hizi ni baadhi ya siri tu wanatumia kuendelea kukuza utajiri wao...
1. Group Buying ya Nguvu
wanaungana makundi na...
SIRI WANAZOTUMIA MATAJIRI WAKUBWA WA KARIAKOO KUENDELEA KUWA MATAJIRI NA KUTOSHIKIKA
Usipozijua utaendelea kuwashangaa
Ukitaka kujua Tanzania kuna matajiri, Nenda kariakoo. Hizi ni baadhi ya siri tu wanatumia kuendelea kukuza utajiri wao...
1. Group Buying ya Nguvu
wanaungana makundi na...
Wazee hata kipofu wameona na viziwi wamesikia kilichotokea kwenye uteuzi wa haya majina ya wagombea ubunge. Nimepitia list nzima ya majina kiukweli wamejaa watoto wa waliokuwa viongozi kwenye awamu zilizopita na hata watoto wa viongozi wa sasa.
Pia hata nikizaliwa mara ya pili sitaamini kuwa...
Nilifika dubai kuingia super market kuna friji zimepangana za vinywaji baridi yani kukuta mpaka coca cola inayofanana na maji ya kunywa hipo.
Sasa hawa wa kwetu nikafikiria yani friji zilizopangana kama behewa na kila aina ya kampuni wanaweza kupeleka bidhaa zao kushindana ukiachana na mazao.
1. Watu wenye tabia za uoga
2. Watu wenye fikra za kimaskini
3. Watu wanaopenda kuzaa watoto wengi.
4. Watu wanaopenda kuwa kwenye mahusiano ya kimapenzi na watu wengi.
5. Watu wanaoamini kuwa utajiri ni bahati.
6. Watu wasiomwamini MUNGU
Salaam, mara nyingi nimekuwa mpenzi mtazamaji hapa JF, leo nkaona nidondoshe uzi kwa mara ya kwanza, nilipotaka weka uzi platform ikanitaka niwe a registered member basi nikafanya hivyo nakusubiri approval na siku ya leo ndio my JF ac imekua approved. Direct to the topic.
Tanzania na Afrika kwa...
Kwa ambae hajui Pandora paper ilikua n siri zilizovuja juu ya utajiri mkubwa wa watu walioupata ambao wanaajalibu kuuficha .
Kenya ilihusisha familia ya Kenyata.
Je hamna tanzania tajiri ambaye alitajwa na ubadhifu wote huu
Hata waislam pamoja na siku kuu ya kuabudu kuwa Ijumaa, biashara zinaendelea kama kawaida, saa sita mchana ataenda kuswali, atarudi kuendelea.
Wasabato wengi wanafunga biashara kabisa siku za jumamosi.
Jumamosi ni siku ambayo watu wengi wapo free kufanya shopping, kupeleka magari gereji...
HELLO JF
Wiki hii kumekuwa na wimbi kubwa la watu maarufu na matajiri kukimbilia kuchukua fomu za kugombea ubunge, jambo lililoibua mijadala mitandaoni huku wengi wakiuliza: "Kuna siri gani kwenye Ubunge?"
Inawezekana sababu mojawapo ni uchu wa kuwatumikia wananchi, lakini ukweli ni kwamba...
Wasabato ni moja ya dhehebu lenye waumini wengi wa kikristo nyuma ya Roma na Lutheran.
Tofauti na ilivyo kwa waroma na walutheran kwa nini ni vigumu kukuta Wasabato kwenye safu za juu za kiuchumi?
Je, ni mitazamo, mazingira, utamaduni, imani au mafundisho yapi huchangia ?
1. Mafundi Ujenzi - Saiti mpya dem mpya
2. Mafundi Simu - ni tangu enzi za miaka ya 2000s nawajua vizuri, kwa kuhonga wana b+
3. Wauza mitumba - mabalo ya mitumba yana faida kubwa sana, tatizo kuhonga
4. Boda boda - honga yao ni lift za bure na wanajuaga nani kabanwa na marejesho...
Nane kati yao ni ccm na utajiri umetokana na kazi zao za kisiasa.. Hapa inahitajika sacrifice kubwa na maumivu mengi mabaya kuweza kuitoa ccm madarakani.. Maana wote hawa wana mtandao mmoja mkubwa na mitandao binafsi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.