MASTER (Mobile Astronomical System of Telescope-Robots) is a Russian network of automated telescopes in five Russian cities, and in South Africa, Argentina and the Canary Islands. It is intended to react quickly to reports of transient astronomical events. It started its development in 2002 and it is in fully autonomous operations since 2011.On 17 August 2017, an autonomous MASTER telescope in Argentina successfully recorded a collision of neutron stars some 130 million light-years away.
Hello bosses and roses.
Huyu kijana anachezea Memphis ni hatari, aina yake ya mchezo ni ngumu sana kuiona kwa wachezaji wengine sasa na miaka kadhaa iliopita. Na bado ni kijana mbichi, 23 years.
Jamaa anafanya anachotaka uwanjani, uwezo wake wa kuruka juu ni mkubwa sana.
Last week kwenye...
walichangia pia kuua mziki na vipaji vya wengi kwa kiwaringia na kunyanyasa wasanii chipukizi maana wkt huo kuonana na hao ni kama kuonana na rais na waliringa mno saabu wakikuwa wao tu, yaani ukigombana nao tu hata iwe sababu ya mademu unabaki ndio imeisha hio ama ukikaza basi ni options chache...
Wakuu Salaam!
Kuna kamsemo wazungu wanakipenda kukisema 'If you not making money then your making nonesense.
Naomba wenye highlights na dondoo chache just in brief summary watufahamishe ni jinsi gani mtu anaweza kufanya shughuli hii ya ushereheshaji katika masherehe, misiba(burial ceremony)...
Kocha Nasridine Nabi ni kocha wa viwango, ni kocha asiyetabirika, ni kocha master sana wa kuusoma mchezo na kumalizia kazi yake kwa uweledi mkubwa, Leo kaingia uwanja wa Uyo na back 3 akijua rivers watakuja kwa kasi sana kwenye goli la yanga kutafuta mabao hivyo akaweka viungo wa shoka, baada ya...
Wakuu mambo vipi?
Naomba ushauri wenu kuhusu jambo lifuatalo:-
Mimi ni muhitimu wa chuo kikuu (Bachelor of Environmental Disaster Management - UDOM) nilikua naitaji kwenda kusoma Master ningeomba mnipe uzoefu, ni program gani nzuri yenye tija na ipo chuo kipi ninayoweza kwenda kusoma, pia mimi...
GOD IS THE MASTER PLANNER OF OUR LIVES.
[Mungu ndiye mtaalamu wa mipango ya maisha yetu]
Kama kijana au kama binadamu yeyote wa kawaida ni lazima kuna mipango fulani itakuwa umejiwekea kwenye maisha.
Mipango yako inaweza kuwa mizuri kwa ufahamu wako wa kawaida lakini upo uwezekano wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.