Hamna kama unahitaji nakutumia pm au watsup kwenye no yangu kama hujapenda hakuna shida kama utapenda sawa tunapeana maelekezoNdio iyo picha yake? Kiongozi
Asante
Hapana bossUnapngisha mlango?
Umeme unajitegemea, vyumba viwili ni sebule pamoja na master, mwenye nyumba anaishi hapo hapo ila kwenye nyumba yake nyingine kubwa tofauti na nyumba hio kodi inalipwa kuanzia miezi sita . Asante kwa kunikumbusha mkuu pia natumai nimejibu maswali ya wengiHaujaeleweka.
Nyumba ya vyumba vingapi?!
Vipi umeme inajitegemea au wa kushare?!
Mwenye nyumba yupo hapo au hayupo?
Kodi inalipiwa miezi mingapi kwa kuanzia ?
Umeandika tangazo bila details muhimu unahisi kila mtu anapajua hapo.
Ok sawa mkuu nashukuruacha tamaaaa ww.. uswahilin uko ndani kabisa unataka elfu thelasin..nimekaaa pale kama utapata mtu Kwa iyo bei
Usimpangie mtu jinsi mambo yake anafovanya kama hauna uhitaji unaweza ukaa kimya au usingepita hapa kwa hiyo boss mind your own business.Kwani ungesema unakikodisha kwa buku kwa siku ungepungukiwa nini....!??
Usimpangie mtu jinsi mambo yake anafovanya kama hauna uhitaji unaweza ukaa kimya au usingepita hapa kwa hiyo boss mind your own business.
Mbezi beach tangibovuUpo maeneo gn