Nasubiri majibu hapa Nina kamkopo changu za hazina million kumi nataka chote nikajengee niwe na kwangu familia inakuja ya watoto mapacha sio poa kichwa kinauma
Mbona hakana chumba hata kimoja mkuu...🤔 au wewe unaonaje...🙄Mkuu Zemanda , kuna kale kanyumba ulikaweka humu, kanavutia Sana japo ni contemporary roof. Vipi kanafaa kwa hii plan yangu?
View attachment 2622774
Kana vyumba vingapi haka?
Haka katamu kweli upige furniture za ukweli mbona unaenjoy ukikaribisha warembo hawachomoiMkuu mzabzab , ulifanikisha kujenga haka karamani?
View attachment 2623088
Naona ni kazuri kwa mkaazi asiye na vitu vingi. Kana store?
Nahitaji ramani nzuri simple kwaajili ya bachelor life:
*Master bedroom
*Self bedroom (normal room yenye Choo)
*Sebule ( kubwa)
*Jiko
*Study room (library)
N.B: Public toilet itakuwa nje for wageni incase.
Yaani wewe unawazaga warembo tu🙆🙆🙆Haka katamu kweli upige furniture za ukweli mbona unaenjoy ukikaribisha warembo hawachomoi
Sasa sii ndio maua ya dunia jamani.Yaani wewe unawazaga warembo tu🙆🙆🙆
View attachment 2627263
Boss haka apa Kako na master bedroom, self room, living room kubwa ,jiko na dining
Mwachora ramani kwa bei gani?Leteni hela tufanye kazi..sio mnataka ramani za bure bureeView attachment 2631791View attachment 2631793