moto nkali
JF-Expert Member
- Aug 15, 2012
- 311
- 94
Waungwana...
Natumaini Mungu anazidi kutupigania kila siku, na maisha yanasonga.. Niende kwenye mada.. 👇
Ninaomba mwenye kufahamu anisaidie maarifa nitoe tongotongo... maana tunatofautiana uzoefu na access to information.
Biashara ya ukwaju ipoje? Masoko yake yakoje hapa kwetu? Na je taratibu za kupata masoko kama ni nchi za nje zinakuwaje?
Ninaongelea soko la kutoa malighafi shamba kuja mjini, na kama kuna uchakataji kuongeza thamani nifahamishwe pia..
Na taarifa zingine zenye kusaidia nitashukuru pia..
Nawasilisha
Natumaini Mungu anazidi kutupigania kila siku, na maisha yanasonga.. Niende kwenye mada.. 👇
Ninaomba mwenye kufahamu anisaidie maarifa nitoe tongotongo... maana tunatofautiana uzoefu na access to information.
Biashara ya ukwaju ipoje? Masoko yake yakoje hapa kwetu? Na je taratibu za kupata masoko kama ni nchi za nje zinakuwaje?
Ninaongelea soko la kutoa malighafi shamba kuja mjini, na kama kuna uchakataji kuongeza thamani nifahamishwe pia..
Na taarifa zingine zenye kusaidia nitashukuru pia..
Nawasilisha