Visa vya Homa ya Nyani (MonkeyPox) vimeongezeka zaidi ya mara tatu katika kipindi cha wiki mbili zilizopita Barani Ulaya. Hayo yamesemwa na Mkuu wa Shirika la Afya Duniani (WH) Kanda ya Ulaya, Dkt. Hans Kluge.
Amesema inahitajika hatua za haraka kukabiliana na kuenea kwa ugonjwa huo ikielezwa...