Ndugu zangu nimekuja hapa kuomba msaada wa mawazo.
Siku hizi niliachwa na mke wangu, lakini sasa kabla ya kuwa na mke wangu kuna dada fulani ambaye niliwai kumtongoza kipindi cha nyuma akanipiga chini tena kwa kunizarau kinoma.
Nikaona siyo case nikaachana naye, nikatafuta maisha yangu nikaja...