Zaburi 23
JF-Expert Member
- Feb 22, 2017
- 570
- 650
Nina mwanamke hapa ninaishi nae ana kitu kimoja, kwenye swala la kunyanduana ana masharti kibao ikiwa tiari nimemtolea mahari.
In short kile cha asubuhi mwenzenu sipewi na nikitaka basi ntalazimisha sana, ntakuja kupewa mchana na akila ndo balaa anakwambia subiri chakula kishuke unaweza kusubiri hata saa zima bado anasema chakula hakijashuka.
Kama ni usiku basi hadi utapitiwa na usingizi hujapewa jambo na pakikucha maybe alfajiri anasema haweza kunyanduana nifanye nini kwa hapo ushauri wenu.
Natanguliza shukrani.
In short kile cha asubuhi mwenzenu sipewi na nikitaka basi ntalazimisha sana, ntakuja kupewa mchana na akila ndo balaa anakwambia subiri chakula kishuke unaweza kusubiri hata saa zima bado anasema chakula hakijashuka.
Kama ni usiku basi hadi utapitiwa na usingizi hujapewa jambo na pakikucha maybe alfajiri anasema haweza kunyanduana nifanye nini kwa hapo ushauri wenu.
Natanguliza shukrani.