mapenzi

  1. JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mapenzi ya kweli ni adimu kama dhahabu na wengi tunayagundua baada ya kuyapoteza

    Frank ni mtoto wa mwalimu na baba yake alimkazia sana kwenye elimu yeye na ndugu zake. Kwa miaka yote wakiwa shule ya msingi baba yao hakuwahi kwenda kunywa bia bar, alirudi nyumbani na kuoga na kuanza kuwa mwalimu wa watoto wake. Topic za hesabu Frank alifundishwa mwezi mmoja kabla ya wenzake...
  2. Z

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ndugu yangu anamwambia mke wangu kuwa sisi tunalala tu hatufanyi mapenzi

    Huyu ndugu yangu amekuja kwangu kunitembelea, lakini kutwa ni kumzonga mke wangu. Hata mimi hana story zaidi ya kumuongelea mke wangu. Leo mke wangu ameniambia nikiwa sipo anamwambia eti muda wote sisi ni kula hatufanyi mapenzi. Anajaribu kumweleza yeye anavyomshughulikia mke wake muda wote...
  3. JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Dondosha hapa changamoto yako ya mapenzi ya ujanani tusaidiane kuitatua

    Nikiwa kijana w miaka 2e nilipata kazi nzuri sana kwenye taasisi moja ya fedha ya mtu binafsi. Mkurugenzi wa taasisi hiyo nilikutana naye kanisani. Hali yangu ya maisha Ilikuwa ngumu sana, sikuwa na Pesa, elimu ya kutosha wala sikuwa na biashara yoyote. Kanisani sikuwa nadhicu, mavazi yangu...
  4. JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mapenzi yanauma sana kuachwa na uliyempenda kwa dhati

    I hope wote wazima wana JF, Twende moja kwa moja kwenya mada yetu ya leo. Kama hujawah kuumizwa kwenye mapenzi ndugu yangu yaskie tu kwa mwenzako usije kuomba yakukute. Kuachwa na mtu uliempenda kwa dhati maumivu yake hayaelezek sikuwah kufikiria nitakuja kuumia kias hiki. Nina visa viwili...
  5. JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Siku hizi wake wanawaita waume zao "baba chanja", si "mume wangu" tena kama ilivyokuwa zamani

    Nimekua nikimsikia mama akimtaja baba kama mume wake. Anaweza sema " mume wangu" anapokuwa akizungumza na wenzake. Wamama wa siku hizi sasa, utasikia anasema " baba chanja wangu" Tena wengi wetu tunaitwa baba chanja. Hata mimi leo nimesikia nikiitwa baba chanja alipokuwa akiongea na mwenzie...
  6. JamiiForums Tanzania Video ya kuchefua ya Dada wa Kiafrika Dubai

    Kuna video imesambaa sana kwenye social network especially Twitter. Ambayo kwa mtu yoyote akiitazama kwakweli itamharibia siku. Katika video hiyo fupi ya dakika kadhaa inamuonyesha mwanadada wa kiafrika akiwa chini ya makalio ya mwanaume mwenye asili ya kiarabu, akipokea gogo (haja kubwa)...
  7. JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Jinsi gani mapenzi yaliweza kukurudisha nyuma kimaendeleo au kuvuruga maisha yako?

    Kuna ukweli katika msemo wa kwamba "Bora ukosee vyote ila usikosee kuoa au kuolewa. Mapenzi ni vita, Mapenzi mabaya Wahenga wanasema hivyo na wanasistiza mapenzi yana run dunia. Kuna jamaa namfahamu alifanyiziwa ushirikina na demu wake baada ya kuachana jogoo akawa hawiki kbs, na akapata nuksi...
  8. JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ni maamuzi gani ya ajabu uliyowahi kuyafanya sababu ya mapenzi?

    Huwa napataga ukakasi sana kuandika about my love life. Na hii inatokana na ukweli kwamba, kwenye mahusiano furaha uwaga tunaiforce sana, nguvu inayotumika ni kubwa ili kuhakikisha tunamaintain furaha, Ila katika uhalisia disappointment ni nyingi Sana. Any way, tuachane na ilo, turudi kwenye...
  9. JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Hivi imeandikwa wapi kwamba sisi wanaume ndiyo tulipie mapenzi?

    Mtu umeenda zako pub moja kali sana kuna warembo wakufa mtu cha ajabu unaonesha kuwa interested na mazi flani hata kampani umnunulie kinywaji mpige stori muda uende mtu anakwambia bila aibu miimi bao moja 70,000 what the hell is this? Kwani yeye hawezi kunilipa hiyo70,000 kwa kummwagia bao langu...
  10. J

    JamiiForums Tanzania Mbunge: Ubakaji umeongezeka sasa sababu wanaume wanashindwa kununua mapenzi, mapenzi ni bidhaa

    Mbunge wa Iringa mjini Jesca Msambatavangu amesema ubakaji na ukatili wa kijinsia kwa watoto umeongezeka kipindi cha hivi karibuni Sababu ya kuongezeka huko mbunge huyo ametaja ni kutokana na wanaumne wengi njia zao za kujipatia kipato kuharibiwa na sera ambazo sio rafiki na kushindwa kupata...
  11. JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nitajie tarehe yako na ya mwenza wako nikwambie mpo vipi na hatima yenu, siri yake n.k

    Habari zenu wana ndoa na wenye ndoto za ndoa, Yawezekana umewahi kusikia kauli maarufu sana inasema; "Kosea yote usikosee ndoa" Katika thread hii nitakupa maana halisi na siri iliyojificha nyuma ya kauli hiyo hivyo ukiweza kunitajia tarehe yako na ya mwenza wako na herufi zenu za...
  12. JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kama unataka kufurahia mapenzi, oa mwanamke asiye na kazi

    Wanawake wasio na Kazi wanakuwa hawana mambo mengi. Ukitoka kwenye mihangaiko yako anakupokea na kukukaribisha Nyumbani kwa furaha. Utakuta chakula kishaiva, utakuta Watoto wasafi kama mmebahatika kuwa nao, hata ukimuachia hela ya matumizi anatumia Vizuri tena unampa hela kwa furaha kabisa...
  13. JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Wanaume wengi wanao "date" na wanawake waliowazidi umri, wengi wao walikosa mapenzi ya mama

    Wale wanaume wanaopenda kudate wanawake waliowazidi umri wengi wao walikosa mapenzi ya mama zao tangu wakiwa wadogo mpaka wamekua. Kukosa mapenzi ya mama zao kunawafanya watafute wanawake wakubwa kiumri zaidi yao. Wanahisi wanawake hao watawalea kama mama zao. Na ndio inavokua mara nyingi...
  14. JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Taja dalili za mwanamke tapeli kwenye mapenzi

    Mambo vipi wadau natumaini mko poa kabisa, Naomba tupeane uzoefu wa kumtambua binti anaeigiza matendo ili kukufanya ujione mjuzi kwenye mahaba kumbe wapi anakuigizia tu au tapeli kabisa ili akupige mpunga mwingi, Naanza mimi:- 1. Ukimpiga denda tu anaanza kutoa miguno - broh huyo demu ni...
  15. JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nakutafuta Annrosse nikuone mara ya mwisho

    Nakutafuta Annrosse. Ni wewe tulikua tukiongea kwenye simu zamani sana. Ilikua miaka ya 2004. Ulikua ni ule msimu wa simu za bure Zantel tukiwa bado watoto Annrosse. Kuna siku nilikosea namba ukapokea wewe. Nilichukua muda kidogo nikakupigia tena kukuomba urafiki. Ulisita sana mwanzo ila...
  16. JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Wanaume wenzetu, haya mapenzi huwa mnanunua wapi?

    .Mtu Akifumania anaua .Mtu akiachwa Analia,anajiua,anaroga .Mwingine nae wivu tu kameza madonge. .Huyu nae masomo yamemshinda kapokonywa Pisi yake. Mi nilijua ni wanafunzi kumbe mingine ni Mibabu kabisa inajitamba mjini huku In Phd. Hivi hata zile Pisi za Tik tok huwa hamzioni jamani,Acheni...
  17. T

    JamiiForums Tanzania Kinachomkuta Harmonize kurudiana na Kajala si kipya katika ulimwengu wa mapenzi

    Ahlan wa Sahlan Katika kuperuzi mtandaoni nimekutana na habari zinazotrend zinazomuhusu mwanamuziki Harmonize aka Bakhresa kuwa anapigana juu chini ili aweze kurudiana na muigizaji Kajala. Kwa haraka haraka mtu anaweza kusema kuwa Harmonize anatafuta kiki ili atrend mitandaoni ila kwa jicho la...
  18. U

    JamiiForums Tanzania Nashauri Zuchu atoke WCB haraka maana Diamond anatembelea nyota yake, hakuna mapenzi

    Ikiwa dhahiri kabisa kuwa zuchu ni Kati ya wasanii watatu wakubwa Tanzania na Africa mashariki boss wake diamond plutnum amekuwa akiingia pesa nyingi sana kupitia nyimbo za zuchu au zile alizomshirikisha zuchu, hivyo diamond kiuhalisia ni chawa wa chinichini wa zuchu. Kwakuwa zuchu Sasa...
  19. JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Vita ya ujirani wa mapenzi

    Wakuu habari. Naombeni ushauri ndugu zangu, mimi na familia fulani tuko marafiki wa muda mrefu, kuanzia baba wafamilia husika na vijana wa familia Hiyo tunaishi kama ndugu. Kijana mmoja wa familia Hiyo ana mke na mke Huyo amefanikiwa kuzaa binti, Tatizo limeanzia hapa saaa, Huyo binti...
  20. JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ni kitu gani ulitarajia kabla hujaanza mahusiano?

    Wakati niko shule niliwaona watu (couples) wakiwa na furaha nyakati zote, kusaidiana nyakati zote. Nikajipa matumaini na kusema mapenzi matamu Nami nitainjoy soon. Mda ukafika kila niliyokuwa naye sikuwahi pata Yale niliotarajia nikiwa shule. Nilijua kwenye mapenzi kuna. •Utulivu •Furaha...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…