Aen Urner
JF-Expert Member
- Aug 31, 2016
- 358
- 351
Aisee, naomba kushare kitu... kuna mdada alikuwa jirani yangu tumekua na kucheza pamoja tukiwa watoto, tumesoma wote darasa moja primary school, secondary school tumesoma shule tofauti kwa vile zilikuwa day schools tulikuwa pia na muda mwingi wa kuonana na kupiga stories, lakini hatukuwahi kuwa na mahusiano ya kimapenzi.
Baada ya kumaliza form 4 ndio ukawa mwisho wa kuonana nae mpka sasa ni takribani miaka 10, sijaonana nae wala kuwasiliana nae. Kwa sasa yeye ameolewa mkoa fulani na ana watoto 2, ni mtumishi wa serikali.
Issue ni hii... Toka nimeanza kuota ndoto nyevu (Kubalehe), mtu ninaeota nafanya nae mapenzi ni yeye mara nyingi. Toka enzi hizo tupo wote mtaa kukiwa shule, mara nyingi nilikuwa naota nafanya nae mapenzi na nikishtuka nakuta nimemwaga kabisa, mpka sasa ni kijana mkubwa tu lakini hata usiku wa kuamkia leo nimeota namgegeda na nmeshtuka nmemwaga!
Kuna maswali mengi sana najiuliza ila majibu sipati, linaonekana ni swala la kiroho sana, kuna wakati nahisi nina yale mapepo machafu.
Wakuu kuna issue gani hapa na kama ni mapepo kwanini yatumie sura ya huyu dada mara zote???
Baada ya kumaliza form 4 ndio ukawa mwisho wa kuonana nae mpka sasa ni takribani miaka 10, sijaonana nae wala kuwasiliana nae. Kwa sasa yeye ameolewa mkoa fulani na ana watoto 2, ni mtumishi wa serikali.
Issue ni hii... Toka nimeanza kuota ndoto nyevu (Kubalehe), mtu ninaeota nafanya nae mapenzi ni yeye mara nyingi. Toka enzi hizo tupo wote mtaa kukiwa shule, mara nyingi nilikuwa naota nafanya nae mapenzi na nikishtuka nakuta nimemwaga kabisa, mpka sasa ni kijana mkubwa tu lakini hata usiku wa kuamkia leo nimeota namgegeda na nmeshtuka nmemwaga!
Kuna maswali mengi sana najiuliza ila majibu sipati, linaonekana ni swala la kiroho sana, kuna wakati nahisi nina yale mapepo machafu.
Wakuu kuna issue gani hapa na kama ni mapepo kwanini yatumie sura ya huyu dada mara zote???