Nina miaka 34 sasa nikiwa mama wa watoto 3, hakika sina budi kukubali kuwa mapenzi hayanitaki tena hayanipendi kabisaa, japo niliyapenda na kuyapa thamani katika maisha ila nimeangua sina budi kuyaacha rasmi kuanzia leo.
Historia yangu kwa ufupi,
Mpenzi wa kwanza.
Huyu alinionesha mapenzi...
Kuna jamaa yangu alikuwa na demu wake mzuri kweli, ila demu akasema hataki sex mpaka waoane.
Jamaa yangu akaona sio hiyana akaamua kumwoa, sasa katika usiku wa fungate wakiwa huko Kruger national park si ndio kumbananisha demu atoe mzigo, katika purukushani ya vuta nikuvute kamvua demu!
Duh...
Habari wana jukwaa
Naomba msaada tafadhali wale waliomaliza Chuo bila kua na mahusiano ya kimapenzi waliweza vipi? Na wale ambao walikua na mahusiano lakini baadae wakaacha na wakamaliza single walifanya nini?
Msaada kwa kweli nauhitaji, nijiokoe mimi pamoja na Mabinti zenu muwaokoe maana...
Kwema Wakuu!
Baada ya kushauri Vijana wa Karne hii ya 21+ mambo ya kuzingatia ili wasijekuuwa na kujiweka matatizoni, Leo nitamalizia na Wanawake ili mambo haya yapungue.
Andiko hili nitaliandika Kwa makundi mawili ya watu(wanawake) kundi la Wafuata mifumo ya Kiimani, kundi la pili ni...
Kitu mapenzi haina formula;
Usisikilize ushauri wa mtu hata kama ni nani!
Fanya mapenzi yako kwa style yako!
Chimbuko kubwa la anguko katika mapenzi ni kufurahisha au kusikiliza maoni ya watu!
Ukipenda kusikiliza story za rafiki yako anavyochepuka ni rahisi sana kuchepuka! hivyo ACHA...
Sikujua ni wale golden girls katika familia, amesoma elimu yake yote kwa msaada kidogo wa wazazi na msaada mkubwa shukran kwa serikali. Alipomaliza shule alibahatika kupata kazi katika taasisi ya umma. Ana kazi yenye heshima na kipato kizuri tu.
Miaka 13 iliyopita alikutana na Raymond, kijana...
1. Usinyoe nywele sehemu za siri.
2. Usile chakula kingi Muda mfupi kabla ya kuelekea kumpelekea moto au kupelekewa moto(kugongwa).
3. Usije ukanywa dawa za maumivu ikiwa unahali ya kuumwa/Homa achana na kufanya tendo hilo Hadi hapo hali itakapotengemaa.
4. Usile vitu au vyakula vyenye viungo...
Unapomfukuzia mwanamke kuwa makini sana na jibu lake la kwanza kutolewa kinywani mwake.
Ukikataliwa, ukipewa excuse, ukiambiwa "mimi sikupendi", ukiambiwa "shika adabu yako", ukiambiwa "aku mm nina mtu wangu" ama jibu lolote linalofanana na hayo LIHESHIMU. Ukikomaa utakuwa na mpenzi ama mke...
Wapendwa habari zenu.
Mimi ni mwanamke mwenye miaka 33, ni mwajiriwa wa sekta binafsi mkoani Rukwa. Mimi ni mkristo na Nina mtoto mmoja. Ninajitokeza kwenu nikiwa nahitaji mwanaume mwenye hitaji kama langu. Awe mkristo mwenye umri kuanzia miaka 33-49, mwenye kipato halali, awe na utayari wa...
Adhabu hii aliyopewa professor wa Princeton ni kwa kosa alilofanya miaka 15 iliyopita. Tanzania tukitoa adhabu kama hizi kwa waalimu wa vyuo vyetu waliojihusisha kimapenzi na wanafunzi wao ndani ya miaka 15 iliyopita tunaweza kubaki na waalimu wachache sana. Lakini ni adhabu ambayo inabidi tuwe...
Heheheee hii Dunia tushinde game za home zote ni hatari nina demu anampenzi na Mimi nina mpenzi. Ukimuuliza umenikubalije hapati jibu ila tunabutuana vizuri japo kanaubahili wa shoo. Alhamdulillah nakashundua sio mbaya three nights a week and two excursions days.
Hii game ikoje leteni visa...
Kichwa cha habari chahusika.
Natafuta mwanamke mwenye uhitaji wa kuwa na mwanaume kwa malengo ya ndoa na kujenga familia bora.
Sifa za huyo mwanamke :
1. Awe mwenye hofu ya Mungu
2. Awe kabila lolote lile
3. Umri kuanzia miaka 22 - 35
4. Asiwe single maza
5. Elimu yake iwe kuanzia form iv
6...
Ni huyu jirani yangu mama Sikujua hapa Kwamtogole. Alikwenda kwa mganga ili kumuweka sawa baba Sikujua asifurukute. Maganga alimpa mama Sikujua dawa ya kuweka kwenye maji ya kuoga.
Siku ya tukio mama sikujua aliamka alfajiri na kupasha maji moto. Aliyapeleka bafuni akitangulia na sabuni ya...
Nusu yanigeuze chizi, Ilibaki kidogo niwe teja!
Nakumbuka kipindi hicho 2019, Hakuna mwanadada niliewahi kumpenda kama Modesta, Mama yangu alilifahamu hili,
Wazazi wake hawakuwa na kipingamizi chochote cha mimi kuwa karibu naye, Kwa kuwa nilikuwa mfano wa kuigwa katika jamii,
Mwenye tabia...
Sababu kubwa ya ugomvi ni baada ya kutoka shambani, nikapitiliza kilabuni.
Nimerudi nipo bwax nikakuta amenuna.
Kwakua alikua hajakula niliamua nimuandalie roast samaki, chips, kachumbari ili ashushie na juice ya matunda mchanganyiko.
Hapa kaisha maliza kula wakuu, ngoja nitoe vyombo...
Haipiti muda bila kukutext limemisi uchakataji, ata ukitoka kuichakata ikipita masaa kadhaa lazima likutext limemisi tena,
Muda wote papuchi iko hot, haijawahi kuishiwa Oil kamwe kaah, Ata kama napenda mapenzi sio kwa style hiyo, ni sawa ana body sex linaloshawishi, tako kubwa, mbuno ya maana...
Na ndipo napata kuamini kwamba kumbe hata mwanamke mwenye miaka zaidi ya 30 anaweza kuolewa vizuri tu! Kikubwa ni ku fall in love (Sina maana kuwa thirty plus mjipe moyo, ila ni kwa vile nimeangukiwa na kitu kizito chenye ncha kali ilhali siyo kawaida yangu)
Siku chache zilizopita nilianza...
Sijajua sababu ni nini. maana leo nimewaza kuwa pengine nina nyota ya Buzi. Kila nikifahamiana na msichana nikatamani tuanze mahusiano hazipiti siku mbili utasikia anaomba pesa ya kodi.
Simu imeharibika au ada ya chuo. tatizo langu nini lakini? Maana inanifanya nihisi pengine sipendwi. Why kuna...
Kamwe, mwanamke ambaye hajatokea kukupenda ama ambaye hujamvutia, hawezi kukupatia namba yake ya simu, anapokupatia anasubiri utayari wako tu kama utamuhitaji kimapenzi zaidi!", ilikuwa ni sauti ya mwanadada ambaye nimezoeana nae, tu majilani!
Huwa namshirikisha mambo mengi kuhusu mahusiano...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.